Chale david
Member
- Jun 12, 2023
- 51
- 28
Kati ya kwenda hge hgk au kwenda chuo course ya bussness administration au human resource qu accountancy ipi ni bora zaid naombe msaada
Acha kumtisha huyo kijana,we nenda kasome chuo kwa kozi unayoipenda ili ujitegemee mapema......mambo ya umri hayana kitu kikubwa ni wewe mwenyewe kama ushajitambua inatoshaUmri, Kama ujafika 18, achana na chuo, kuna uhuru wa ajabu chuoni, na watoto wakipelekwa under age wengi huaribikiwa, ila kama umesoma elimu ya tia maji una miaka 23 huko, soma tu chuo.
Acha kumtisha huyo kijana,we nenda kasome chuo kwa kozi unayoipenda ili ujitegemee mapema......mambo ya umri hayana kitu kikubwa ni wewe mwenyewe kama ushajitambua inatosha
Kwa program hizo ulizotaja ni swala la maamuzi tuKati ya kwenda hge hgk au kwenda chuo course ya bussness administration au human resource qu accountancy ipi ni bora zaid naombe msaada
Acha kumtisha huyo kijana,we nenda kasome chuo kwa kozi unayoipenda ili ujitegemee mapema......mambo ya umri hayana kitu kikubwa ni wewe mwenyewe kama u
Kozi gan bora kati bussness administration na accountancy na human resourceNenda zako chuo, kula bata, jifunze kozi muhim ya afisa ubashiri af rudi kitaa na cheti usubirie bahati.
Kama kwenu kuna kianzio, nenda chuo pata uelewa rudi komaa na biashara za familia n.k.
Inategemeana na malengo yako.Kozi gan bora kati bussness administration na accountancy na human resource
Kujiajili au kuajiliwaInategemeana na malengo yako.
Je ni kuendeleza miradi ya familia
Au ni kujiajiri
Au ni kuajiriwa
Kujiajiri - business adminKujiajili au kuajiliwa
Accountancy iko poah karibu (MoCU)_ ushirika moshi nitakuwa mwenyeji wakoKozi gan bora kati bussness administration na accountancy na human resource
Kama ingekua combination za science ningekushauri uende tu chuo ila za art nenda advance tu upate direct access ya kwenda bachelor utakapohitimu advance.Kati ya kwenda hge hgk au kwenda chuo course ya bussness administration au human resource qu accountancy ipi ni bora zaid naombe msaada
Mm sioni kama kuna utofauti, kwa sababu hata akienda advance atakuja kusoma course hzo hzo na Tena anaweza kuwa na uwanda Mpana wa kuchagua kulingana na ufaulu wakeKati ya kwenda hge hgk au kwenda chuo course ya bussness administration au human resource qu accountancy ipi ni bora zaid naombe msaada
Mwache aende advance tu! Chuo ni mlolongo mrefu kuja kuifikia degree plus gharamaUmri 18
Nilienda chuo na miaka 17.Umri, Kama ujafika 18, achana na chuo, kuna uhuru wa ajabu chuoni, na watoto wakipelekwa under age wengi huaribikiwa, ila kama umesoma elimu ya tia maji una miaka 23 huko, soma tu chuo.
Nilienda chuo na miaka 17.
Turned out fine and I mean very