255ChampionBoy
New Member
- Dec 28, 2020
- 4
- 3
Habarini za humu, natumai mko pwa mnaendelea vizuri.
Nilikuwa nauliza Kama naweza nikapata msaada humu nina mdogo wangu amechaguliwa application za kwenda vyuo na machaguo aliyopata amefanikiwa ni kozi ya mechanical engineering pamoja na Metrology and standardization kwa wazoefu wa Kati ya hizo ipi iko na soko au hata mtu asipopata kazi anaweza jisimamia.
Ahsanteni.
Nilikuwa nauliza Kama naweza nikapata msaada humu nina mdogo wangu amechaguliwa application za kwenda vyuo na machaguo aliyopata amefanikiwa ni kozi ya mechanical engineering pamoja na Metrology and standardization kwa wazoefu wa Kati ya hizo ipi iko na soko au hata mtu asipopata kazi anaweza jisimamia.
Ahsanteni.