Kashfa ya ngono UDOM - Dodoma

Jamani Presdent hauoni hili! Tatizo ni kwamba BOOM HALITOSHI..fanyeni mchakato wa kuongeza boom angalau lifike 15000 kwa siku.. TATIZO LITAKUWA BHAAAS...
 
UDOM Wanauza kweli hao hapo Chako ni chako wanakatiza wakitafuta zaidi ya jero sasa wanaona soo wanaitaja UDSM kwan ndo wamesema? mmeonekana mnaliuza jero na wanaosema wameokoka na maustadh ndo wauzaji wazuri huku wakijificha na dini mchana usiku wanaegesha kwa jero, aibu ukipita ukisema umesoma UDOM unaitwa jeri!
 
Ok, ngoja ni refer hiyo red uisemayo: House girl wa Mama yangu (mkazi wa Dodoma) siku moja alinisimulia hii kitu lakini aliniambia nisimwambie mama yangu kwani atamfukuza. Yeye (house girl) kabla mama hajamchukua alikuwa anafanya mchezo huu na waheshimiwa wetu. Mwanzoni hakujuwa (I hope she's right) kama wangemfanyia michezo ya hajabu kwani alikuwa anaonyeshwa sinema za porn halafu alikuwa anaambiwa akitaka hela zaidi inabidi aigize kama aonavyo kwenye video. Na yeye kwa kuwa ni yatima anayesomesha nduguze ilibidi afanye hivyo kwani alikuwa anapata mpaka 50,000 kwa usiku ilhali muheshimiwa kafikishwa kileleni. Wenzake ambao walikuwa si waoga walikuwa wanapata mpaka 500,000 yaani kwa wiki kwa ajili ya kuweka maisha yao rehani (provided kuwa 90% ya waheshimiwa ni wabovu kiafya). Hose girl wa mama alipopata pesa za kutosha akanunua mashamba na kuachia nduguze wajiendeleze. Kwa kuwa yuko na Mama miaka 9 kwa sasa ni kama dada yetu na tunasomesha hapa Dar. Waheshimiwa ni wachafu sana. Zamani walikuwa wanatudanganya oh eti wanamuziki ni wahuni na malaya kumbe walikuwa hawataki kushindana, wanataka kula wao tu kwa dau lolote wakati wenzao (wanamuziki) wanapendwa kwa mvuto.

Asante kwa stori nzuri
 
Acheni uzushi, mimi nimesoma Bachelor UDOM na Master UDSM, kiukweli, UDSM kimebaki jina tu, hakuna mpya lolote! Wahadhiri hawafundishi, wengi wanaofundisha wanatumia yellow material, yaani limebaki jina tu, sina mchango kwa Mzumbe, SUA na kwingineko kwani sijasoma huko!
Kweli wewe umesoma UDOM...Hapa kinachojadiliwa ni ukahaba wa Udom wewe unazungumzia mambo ya Wahadhiri. Labda kama ulikuwa unamjibu mtu..Kama ndivyo ulipaswa kuquote hiyo post vinginevyo unaonekana kilaza kweli
 
Sipendi Ubishi ila huwezi Compare UDSM na UDOM...bdo udsm wapo juu interms of resources:Labs,workshops,human resources,na vingine vingi hata best lectures bdo wapo udsm na Mzumbe...hyo ya kujiuza na biashara ya ivo Udom wameipiku udsm nowdays kiukwel;ustaarabu umerudi mlimani siku hizi sio kama miaka ya 2000.all in all hzo mambo za kujiuza ni hulka ya mtu binafsi chuo hakihusiki.:mad::mad::mad::mad::mad:
 
Ni ukwel usio pingika, na tatzo sio kwamba hawana hela, tatzo ni ushamba na tamaa..wafanyakaz asilimia kubwa sio wazee wala vijana wana mademu udom, kama kwenu ni dodoma na home mnagari uktaka demu udom ni kama vile unakamata kuku wa kisasa..ukimtoa out mtoto wa udom mfn umpeleke..master pub,free point,rainbow,unq pub,cafe latino, yani hautumii hata elfu 20! Unamfanya unacho taka..naongea kitu ambacho nimekiona kwa macho yangu..hasa mwaka watu ndio warahisi! Cha kusikitsha girls wanao fanya hivyo ni wazuri kupindukia..
 
Sipendi Ubishi ila huwezi Compare UDSM na UDOM...bdo udsm wapo juu interms of resources:Labs,workshops,human resources,na vingine vingi hata best lectures bdo wapo udsm na Mzumbe...hyo ya kujiuza na biashara ya ivo Udom wameipiku udsm nowdays kiukwel;ustaarabu umerudi mlimani siku hizi sio kama miaka ya 2000.all in all hzo mambo za kujiuza ni hulka ya mtu binafsi chuo hakihusiki.:mad::mad::mad::mad::mad:

girls wa udom ni chip kinoma..we nenda dodoma ujionee, uwezi amini kuna vitoto kazi yao ni kuzurura town...huwa wanatembea vground, watu, wawili,
 
Kweli wewe umesoma UDOM...Hapa kinachojadiliwa ni ukahaba wa Udom wewe unazungumzia mambo ya Wahadhiri. Labda kama ulikuwa unamjibu mtu..Kama ndivyo ulipaswa kuquote hiyo post vinginevyo unaonekana kilaza kweli

udom kwa ukahaba ni mwisho wa matatzo...kama unataka thbtsha nenda mwenyewe..ujionee! Kama unataka kufa kuwa na demu udom ama mchumba %80 wote ni wachafu
 
  • Thanks
Reactions: SG8
UDOM Wanauza kweli hao hapo Chako ni chako wanakatiza wakitafuta zaidi ya jero sasa wanaona soo wanaitaja UDSM kwan ndo wamesema? mmeonekana mnaliuza jero na wanaosema wameokoka na maustadh ndo wauzaji wazuri huku wakijificha na dini mchana usiku wanaegesha kwa jero, aibu ukipita ukisema umesoma UDOM unaitwa jeri!

udom ni janga' hata madereva wa mabusi wana badilsha grls wa udom kama mboga.
 
Jamani Presdent hauoni hili! Tatizo ni kwamba BOOM HALITOSHI..fanyeni mchakato wa kuongeza boom angalau lifike 15000 kwa siku.. TATIZO LITAKUWA BHAAAS...

tatzo sio boom' ni tamaa na ushama, kuna demu yupo vzuri kfedha na kiurembo, yeye gari ndo uchiz wake...wenye hela ndo warahc kupndukia
 
Jamani kama jamii mzima ya Watanzania kama msomi usifanye janga kuwa furaha katika akili za watu. Wanaposema wasichana wanaojiuza si Udom peke yake mkoa wa Dodoma una vyuo visivyo pungua kumi, sasa ninani kafanya research na kuona wasichana wanaofanya ukahaba ni wanafunzi wa udom tu.

Jamani tuache ushabiki usiokuwa na miguu. Sasa leo unasema hivyo kesho ndo wewe unaangaika na mabinti ukimwi haujui huyu ni udom au udsm chamsingi ni kuwa makini na kutoa ushauri kwa dada zetu especially wanaosoma vyuo vikuu nchi mzima. "Tanzania ni yetu"



jamani udom wamezd
 
Wana UDSM acheni kupaka matope chuo cha waelevu na critical thinkers UDOM, tatizo la wanaUDSM wakishaishiwa boom kwa ajili ya kuuzia sura basi wanaingia JF na kuanza kuiponda UDOM.
Hakika mbinu zenu chafu za kuichafua UDOM kamwe hazitafanikiwa na mkae mkijua UDOM sio size yenu nyie majuha na kama huu ndio utumbo mnaokaririshwa nkurumah hall na vilaza wenu wakina prof shivji basi mjue hamtofanikiwa. Ebooo toekn hapa koz nyie mnaboa sana yani hamna vyuo vingine yan daily ni UDOM tu ndio mmeona? Au mna wivu na majengo ya kimataifa? Na msipoangalia ipo siku tutawafungia safari tuje tuwape kichapo mpaka wote mlale hoi kama walevi wa mirungi na hapo nadhan ndipo heshima itakaporudi na kuanza kutuheshimu.
Too sad.

tatzo udom makahaba wamezd
 
Sipendi Ubishi ila huwezi Compare UDSM na UDOM...bdo udsm wapo juu interms of resources:Labs,workshops,human resources,na vingine vingi hata best lectures bdo wapo udsm na Mzumbe...hyo ya kujiuza na biashara ya ivo Udom wameipiku udsm nowdays kiukwel;ustaarabu umerudi mlimani siku hizi sio kama miaka ya 2000.all in all hzo mambo za kujiuza ni hulka ya mtu binafsi chuo hakihusiki.:mad::mad::mad::mad::mad:

kweli we form 6 yaani miaka zaid ya 50 ya chuo cha ud unafananisha na miaka 5 ya udom?
 
co tuwalaumu loan board pekee kwa kuchelewesha mikopo but hata cc vijana(wanafunzi) tunamatumizi mabovu sana
kwani kuna unneccessary expenses nyingi sana
mfano:kila wikendi unaenda club na huko unatumia si chini ya elfu 30,Unataka ujioneshe kuwa ww ni matawi unanunua mawigi ya 25000 na kila baada ya siku 3 unabadilisha,unataka kilasiku kulachipsi kuku#

kwa mtindo huu utaachakuwa juu ya mawe mapema?#

mfano: mm naxoma st john nimepanga gheto na ninalipa bili ya maji,umeme na kodi ya nyumba but tangu boom la kwanzalimeingia cjawahi kuomba hata senti kutoka kwa wazaz also sina source nyingine ya income na bado ninaela ya kutumia kwa kipindi cha mwezi mmoja na nusu ujao#
 
Back
Top Bottom