Watanzania wengi ikiwemo wana JF tunampenda sana Dr Ulimboka na tunaunga mkono "his cause". Tunajua matibabu yake ni ghali na familia yake pia inapata shida. Ili kuwapa moyo wapigania haki wengine, tumchangia fedha ya kutosha ili tutume ujumbe wa kutosha serikalini. Tunawaomba jumuiya ya madaktari wafanye arrangement ili tuanze kuchanga.
Mungu Mbariki Dr Ulimboka, familia yake na wapigania haki Wengine
Mungu Mbariki Dr Ulimboka, familia yake na wapigania haki Wengine