Karibu Kumchangia Dr Ulimboka Kupitia Tigo Pesa, M-Pesa

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Watanzania wengi ikiwemo wana JF tunampenda sana Dr Ulimboka na tunaunga mkono "his cause". Tunajua matibabu yake ni ghali na familia yake pia inapata shida. Ili kuwapa moyo wapigania haki wengine, tumchangia fedha ya kutosha ili tutume ujumbe wa kutosha serikalini. Tunawaomba jumuiya ya madaktari wafanye arrangement ili tuanze kuchanga.

Mungu Mbariki Dr Ulimboka, familia yake na wapigania haki Wengine
 
kutekwa kwa ulimboka kumeanza kuwa deal .....kaa chonjo na matapeli mara nyingi waanaanza na lugha za huruma kisha majuto.
 
kutekwa kwa ulimboka kumeanza kuwa deal .....kaa chonjo na matapeli mara nyingi waanaanz na lugha za huruma kisha majuto.

Sidhani kama Mtoa hoja anataka kuchngisha yeye, ila anapendekeza watu wakaribu na Ulimboka na hasa hao madaktari walijitolea mpaka sasa kumpeleka SA waone umuhimu kuwahusisha waTanzania wengine kuchangia matibabu.
 
Yes indeed,tuisaidie familiya yake as much as we can kwa chochote tulicho nacho.

Number za uwakala ni kama zilivyotolewa before

1. M-Pesa agent number 31915 belonging to Christine Hobokela
2. Tigo Pesa agent number 05416 belonging to Hedaya Stephen Mwaitenda.
3. For those who want to send foreign currency (USD) please send to Dr. Hobokela Stephen, Stanbic Bank Tanzania
Limited Account number: 024003849360, SWIFT CODE: SBICTZTX
 
i concur with you mtoa maada kuna maelezo yalitolewa awali nita ya paste hapa jamvini

Jamani matibabu kweli ni kitu endelevu hivyo michango yenu ni muhimu sana wanajamvi
Tumsaidie mwanaharakati wa kweli aliyenusurika kutolewa uhai wake na hili Genge la majambazi linaloongozwa na JANGA LA KITAIFA
KUTOA NI MOYO
TUTOE WALE TULIOGUSWA
 
Jamani kutoa ni moyo, ila hekima na busara vinatumika kabla ya kuamua kutoa ama kutotoa. Ni kweli Dr. Ulimboka anahitaji msaada, sasa:
1. How can we justify that kweli anahitaji msaada wa pesa tu na wala si dua, sala na maombi, faraja nk?
2. Kuna uhakika gani kuwa number na account zilizotolewa kweli zitapeleka hela kwake?
3. Kwani ndiye pekee mtanzania mwenye kuhitaji msaada wa pesa za matibabu? Wahanga waliokwisha kufa, (Mungu awaweke mahala pema...), waliooza miguu, matumbo, wanawake wajawazito waliopata mateso, wagonjwa wa kansa pale ocean road, ambao hali zao zimekuwa haziwezi kutibika tena kwa sababu ya mgomo wa madaktari, mbona hatukuwachangia waende hospitali binafsi wakatibiwe?

Naamini kuwa kweli Dr. Ulimboka anahitaji msaada, si pesa tu, faraja, dua, sala, na kutiwa moyo, lakini tuelewe kuwa mgonjwa anapopewa rufaa ya kwenda kutibiwa nje, na madaktari aidha, bima, serikali ama shirika lake vinamgharimia, na yeye kama mtumishi wa serikali ana bima, na sasa serikali imewapa Green Cards. Tukumbuke pia kuwa Mwandosya, Mwakyembe, nk walipata shida na wakaenda nje, sikumbuki km tuliwachangia kitu.

Tumekuwa kukiwaona wasio katika makundi hayo wakitembeza form za michango kwenda India, nk kuitibiwa na siyo mtu kwenda huko alafu aombe msaada, tuwe macho wasiliamali ni wengi
 
Hiyo namba ya simu nani anaimiliki??
Kufa kufaana,

Wengine wako mahututi S. A,
Wengine wako Wanapiga dili TZ
 
Jamani kutoa ni moyo, ila hekima na busara vinatumika kabla ya kuamua kutoa ama kutotoa. Ni kweli Dr. Ulimboka anahitaji msaada, sasa:
1. How can we justify that kweli anahitaji msaada wa pesa tu na wala si dua, sala na maombi, faraja nk?
2. Kuna uhakika gani kuwa number na account zilizotolewa kweli zitapeleka hela kwake?
3. Kwani ndiye pekee mtanzania mwenye kuhitaji msaada wa pesa za matibabu? Wahanga waliokwisha kufa, (Mungu awaweke mahala pema...), waliooza miguu, matumbo, wanawake wajawazito waliopata mateso, wagonjwa wa kansa pale ocean road, ambao hali zao zimekuwa haziwezi kutibika tena kwa sababu ya mgomo wa madaktari, mbona hatukuwachangia waende hospitali binafsi wakatibiwe?

Naamini kuwa kweli Dr. Ulimboka anahitaji msaada, si pesa tu, faraja, dua, sala, na kutiwa moyo, lakini tuelewe kuwa mgonjwa anapopewa rufaa ya kwenda kutibiwa nje, na madaktari aidha, bima, serikali ama shirika lake vinamgharimia, na yeye kama mtumishi wa serikali ana bima, na sasa serikali imewapa Green Cards. Tukumbuke pia kuwa Mwandosya, Mwakyembe, nk walipata shida na wakaenda nje, sikumbuki km tuliwachangia kitu.

Tumekuwa kukiwaona wasio katika makundi hayo wakitembeza form za michango kwenda India, nk kuitibiwa na siyo mtu kwenda huko alafu aombe msaada, tuwe macho wasiliamali ni wengi

Kutoa ni hiyari kama unaona number hizo ni za matapeli usichange lakini usishawishi watu wengine period
 
Jamani kutoa ni moyo, ila hekima na busara vinatumika kabla ya kuamua kutoa ama kutotoa. Ni kweli Dr. Ulimboka anahitaji msaada, sasa:
1. How can we justify that kweli anahitaji msaada wa pesa tu na wala si dua, sala na maombi, faraja nk?
2. Kuna uhakika gani kuwa number na account zilizotolewa kweli zitapeleka hela kwake?
3. Kwani ndiye pekee mtanzania mwenye kuhitaji msaada wa pesa za matibabu? Wahanga waliokwisha kufa, (Mungu awaweke mahala pema...), waliooza miguu, matumbo, wanawake wajawazito waliopata mateso, wagonjwa wa kansa pale ocean road, ambao hali zao zimekuwa haziwezi kutibika tena kwa sababu ya mgomo wa madaktari, mbona hatukuwachangia waende hospitali binafsi wakatibiwe?

Naamini kuwa kweli Dr. Ulimboka anahitaji msaada, si pesa tu, faraja, dua, sala, na kutiwa moyo, lakini tuelewe kuwa mgonjwa anapopewa rufaa ya kwenda kutibiwa nje, na madaktari aidha, bima, serikali ama shirika lake vinamgharimia, na yeye kama mtumishi wa serikali ana bima, na sasa serikali imewapa Green Cards. Tukumbuke pia kuwa Mwandosya, Mwakyembe, nk walipata shida na wakaenda nje, sikumbuki km tuliwachangia kitu.

Tumekuwa kukiwaona wasio katika makundi hayo wakitembeza form za michango kwenda India, nk kuitibiwa na siyo mtu kwenda huko alafu aombe msaada, tuwe macho wasiliamali ni wengi

Kama huna imani usitoe
 
Jamani kutoa ni moyo, ila hekima na busara vinatumika kabla ya kuamua kutoa ama kutotoa. Ni kweli Dr. Ulimboka anahitaji msaada, sasa:
1. How can we justify that kweli anahitaji msaada wa pesa tu na wala si dua, sala na maombi, faraja nk?
2. Kuna uhakika gani kuwa number na account zilizotolewa kweli zitapeleka hela kwake?
3. Kwani ndiye pekee mtanzania mwenye kuhitaji msaada wa pesa za matibabu? Wahanga waliokwisha kufa, (Mungu awaweke mahala pema...), waliooza miguu, matumbo, wanawake wajawazito waliopata mateso, wagonjwa wa kansa pale ocean road, ambao hali zao zimekuwa haziwezi kutibika tena kwa sababu ya mgomo wa madaktari, mbona hatukuwachangia waende hospitali binafsi wakatibiwe?

Naamini kuwa kweli Dr. Ulimboka anahitaji msaada, si pesa tu, faraja, dua, sala, na kutiwa moyo, lakini tuelewe kuwa mgonjwa anapopewa rufaa ya kwenda kutibiwa nje, na madaktari aidha, bima, serikali ama shirika lake vinamgharimia, na yeye kama mtumishi wa serikali ana bima, na sasa serikali imewapa Green Cards. Tukumbuke pia kuwa Mwandosya, Mwakyembe, nk walipata shida na wakaenda nje, sikumbuki km tuliwachangia kitu.

Tumekuwa kukiwaona wasio katika makundi hayo wakitembeza form za michango kwenda India, nk kuitibiwa na siyo mtu kwenda huko alafu aombe msaada, tuwe macho wasiliamali ni wengi
vapour of the highest order! usitutafutie ban kinguvu!
 
we kenge maji nini? hujisikii kutoa basi kaa kimya
We ndiyo mkusanya pesa nini mbona unajifanya mkali wakati hata kutoa pesa hutotoa....pamb...f.
Kila mtu anauhuru wa kutoa mawazo yake huku jamvini.
 
Usiseme jumuia ya Madaktari pekee yao hata mimi sio Daktari lakini ningependa kumchangia.
Doctor Mboka ana makundi yafuatayo:
  1. Madaktari
  2. Wasomi taaluma mbalimbali
  3. Wapenda mabadiliko ya kimfumo
  4. Tabaka la chini na la kati kiuchumi
  5. Wapambanaji wa mfumo kandamizi
  6. Wagonjwa na wagonjwa tarajali
  7. Wakristu na Waislamu wa kweli maana dinizote zinakataza kuua
Orodha ni ndefu, wote wangependa apone hivyo wanataka kuchanga
 
we kenge maji nini? hujisikii kutoa basi kaa kimya

Ukweli unauma, wakati umefika kwa watanzania kuchambua jambo kabla ya kufika kuamua na kutenda, swala siyo kuchanga, swala is to critically analyze the issue, break it into its simplest elements such that kila mtu anaelewa, ndipo achukue uamuzi. Kama umefanya matatizo ya Dr. Ulimboka mtaji, pole, bado nenda ka-revive mbinu, hapati mtu pesa ya bure
 
Msangi kazini

Duh,
Nimecheka sana, but kwa masikitiko kwa kweli.
Yaani Msangi ana bifu na Ulimboka mpaka aje azuie misaada jamaa asipone??

Wewe inatolewa tu namba ya simu, unaambiwa ni hela za kwenda kwa Ulimboka, utaamini vipi?? Tena from jina ambalo ni ID tu.

JF wameanzisha utaratibu wa "verified user" ambapo mhusika anatumia real name, kama meseji inakuja from mtu reliable na ni verified user, I am telling you nitatoa kiasi kikubwa tu!!
 
Back
Top Bottom