king rockie ATL
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 260
- 25
Karibu BVM
mkuu kwa rekodi ya vyuo bora afrika ya mwaka jana na mwaka 2011 udsm ilikuwa ya 12 na baada ya udsm chuo kingine kilichomo ni hebert kahiluki hicho cha sokoinne sijakiona labda we sijui unaelezea rekodi za mwaka ganiSenetor sina hakika km unaperuzi takwimu na rank mbali mbali ya academic institutions duniani....kwa kukusaidia tu Unapozungumzia kwenye jukwaa la kimataifa kuhusu vyuo na taasisi za elimu Tanzania utaanza na chuo kikuu cha Dar es Salaam na baadaye Chuo cha kilimo cha Sokoine...na ukifunua zaidi utagundua kwamba kwa Afrika SUA imesimama sana linapokuja suala la vyou vya kilimo...Fanya utafiti kabla hujaconclude jambo!
mbona COET-Udsm,inajulikana na wkt wao nao wanapga sciance,tena sciance ile pure kuliko hyo ya sua ilyochakachuliwa?
Nadhani hujui kutafuta research paper halafu usikariri kuwa unapo publish unaandika inchi kuna journal za kimataifa zenye impact fact kubwa ambapo ndio wengi na publish research zao japokuwa mpka ipokelewe ni kazi sana ila watu wanafanikiwa ukipublish kwenye hivyo vi journal visivyokuwa na kichwa wala miguu hakuna anaye soma paper yako karibu tuwajibike mkuuNakubaliana na wewe. Wazazi wangu ni wakulima wa matunda. Tumejaribu kutafuta research papers za maembe, machungwa ambayo walinunua sua kakuna kitu. Ilibidi tutafute from websites za kilimo kenya. Hii ni aibu sana, wakati huu wa utandawazi chuo cha kilimo hakiwezi kuwasaidia wakulima.
Nilichokindua kwako hujatafuta hata muda wakujua SUA wanasoma kozi gani na zipo ngapi na zinamlengo gani, jitahidi kuwa mfatiliaji wa mambo hasa kama wewe ni msomi sifa ya msomi ni mtu wa kuongea fact, kuna kozi nyingi sana ikiwemo agricultural economics and agribussness ulizia course content zake ndio ujiulize kwanini wengi wapo CRDB plc au NMB plc n.ksua hamna pa kwenda bana,tusidanganyane,yan unataka kunambia m2 umesomea mizizi uende kuajiriwa bank alafu ulipwe sawa na m2 mwenye profesional yake ya banking..haingii akilin kabisa.
Kwanza kabisa mkuu umedanganya hapo kwenye red,Habari zenu wakuu!naomba leo tujadiliane kuhusu hiki chuo kikuu cha sokoine,kwa nini hiki chuo sio maarufu miongoni mwa watanzania,ukilinganisha na umri wake kuwa mkubwa{25yrs} lakn co maarufu kama vilvyo vyuo vingne vichanga kama mzumbe,ifm na iaa,je sababu ni kwamba kozi za sua haziuziki sokon,masomo ya sua ni magumu hvo wanafunz weng wanapaogopa au tatizo ni nin na nin kifanyike ili kuifanya sua iwe maarufu kama ilvo udsm?
anaeifaham Bsc in bio-processing and post harvest engineering au kama umechaguliwa 2kutane apa