Kardinali Pengo: Kanisa litasema kweli bila kuogopa gharama!

Lazima alalamike maana ile misaada na flow ya budget ya serikaliiliokuwa inakwenda kanisani imekatwa sasa anatapatapa
Misaada kutoka wapi ndugu hebu tuueleze usijumlishe mambo misaada ipi na kutoka wapi,kanisa katoliki halitetereki likija swala la kiuchumi umeona mwenyewe miradi yao ilivyo ya nguvu
 
toothless.jpg
+ Siasa =
genocide.rwanda11.jpg
 
Pengo anazeeka vibaya na anajaribu kuvaa viatu ambavyo ni vikubwa kwake, 2 haikai, 3 haikai.. mi namshauri abaki kanisani na kuwaambia lolote analotaka waumini wake, kuja kwake public nafkiri he just wants media attention thats all
Hata hayo Maneno alikuwa akiwaaeleza waamini wake hakuzungumza kwanye mkutano
 
Pengo anazeeka vibaya na anajaribu kuvaa viatu ambavyo ni vikubwa kwake, 2 haikai, 3 haikai.. mi namshauri abaki kanisani na kuwaambia lolote analotaka waumini wake, kuja kwake public nafkiri he just wants media attention thats all
wewe unajua kusoma, ebu soma hapa,
PHP:
skofu Pengo alisema hayo jana  alipokuwa anaongoza Ibada ya Misa kuwaombea watu waliopoteza maisha  kwenye milipuko ya mabomu Gongo la Mboto iliyofanika eneo la Hija Pugu,  jijini Dar es Salaam.
na sisi waamini ni watanzania pia na matatizo haya yanatugusa moja kwa moja, tumia busara hata kidogo ndugu.
 
jumapili hii inayokuja..... raisi kikwete atashuhudia kuwekwa wakfu (kusimikwa) kwa askofu mpya wa kanisa katoliki jimbo la Dodoma tukio litakaloongozwa na Mhashamu baba askofu Cardinali Polycarp Pengo

source: the citizen leo
 
ni mchochezi na anachanganya dini na siasa,suala la umaskini lipo toka enzi za nyerere lakini awamu hii wanalizungumza mno,tuombe Mungu atufikishe baada ya 2015 sijui watatoa povu kama wanalotoa sasa hivi au watanyamaza kwa sababu atakuwepo mtu wao
 
Ni kweli wakati wa awamu ya kwanza kadinal pengo alikuwepo na alishuhudia wananchi wakiteseka.

lakini ujue tuliteseka wote, magumu tuliyapata wote. Ilipotokea furaha tulishiriki wote. Tuliona jinsi keki ndogo iliyopatikana ilivyogawanywa kwa kufuata haki.

Tuliona jinsi watoto wetu bila kujali kabila dini rangi walivyopewa elimu kuanzia msingi hadi vyuo vikuu bila gharama na kwa kutumia kidogo kilichopatikana.

Wakati Ule hatukuweza kumtofautisha mtoto wa raisi au wa waziri au wa mkurugenzi wa uma na mtoto wa mfugaji na wa mkulima. Wakati ule kulikuwa na haki.

Kwa hiyo kadinali pengo hakuona kiongozi wa wakati ule wakijilimbikizia mali Huku wengine wakifa kwa kukosa huduma ya chakula na matibabu. Leo hii hakuna huduma nzuri mahospitalini, hii inatokana na viongozi wengi kupata huduma nje ya nchi.

Huduma mashuleni ni duni hii inatokana na watoto wa viongozi kusoma nje ya nchi. Kwa sasa hakuna uwiano. Wizi wa Mali za uma umeongezeka sana, na serikali inachelewa kuchukua hatua hata pale inapodhihirika wazi kuwa kosa limefanyika.

Ni mambo mengi sana yamefanyika na tume zimeundwa na kubainisha ukweli ila hatua hazichukuliwi. Na ujue hizo tume zinatumia fedha nyingi za uma.

Kwa hiyo ukiwaona viongozi wa dini wakilalamikia serikali juu ya mapungufu yanayo onekana dhahiri tusiwakwaze, wana sababu ya kusema ukweli.
 
Mbeu,
Umesema kweli.

Waislam hatuna kitu na Wakristo wana kila kitu.

Kitu cha kujiuliza ni hiki.
Hali hii imekujaje.

Jambo la kujiuliza ni hili.
Je, ni kwa kuwa kwa asili yao Waislam ni wavivu na Wakristo ni watu wa bidii?

Majibu ya hayo yote yapo katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Ukijua sababu ile ajabu hotoweka.

Huu ni msemo wa Kiarabu.
Tafuta sababu ya maendeleo ya Kanisa utapata jibu.
 
Misaada kutoka wapi ndugu hebu tuueleze usijumlishe mambo misaada ipi na kutoka wapi,kanisa katoliki halitetereki likija swala la kiuchumi umeona mwenyewe miradi yao ilivyo ya nguvu

umesahau hata ule mkataba wa memorandum of understanding.......
 
Pengo kaongea sana, sijamuona akiongea ila nazani alitokwa na mapovu mdomoni...anyway kaongea vizuri ila alivyoongea ni mfano wa mtoto aliyezoeshwa na baba yake kuletewa zawadi kila siku jioni ila ghafla bila kutegemea zawadi zikakatika. halafu kaongea kwa uchungu sana na ingenoga zaidi kama angeongolea pia wale Maaskofu wanaobaka na kulawiti watoto na hawachukuliwi hatua yoyote na kanisa......free your mind
 
Mbeu,
Umesema kweli.

Waislam hatuna kitu na Wakristo wana kila kitu.

Kitu cha kujiuliza ni hiki.
Hali hii imekujaje.

Jambo la kujiuliza ni hili.
Je, ni kwa kuwa kwa asili yao Waislam ni wavivu na Wakristo ni watu wa bidii?

Majibu ya hayo yote yapo katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Ukijua sababu ile ajabu hotoweka.

Huu ni msemo wa Kiarabu.
Tafuta sababu ya maendeleo ya Kanisa utapata jibu.

22:25 13th March 2011
 
Pengo kaongea sana, sijamuona akiongea ila nazani alitokwa na mapovu mdomoni...anyway kaongea vizuri ila alivyoongea ni mfano wa mtoto aliyezoeshwa na baba yake kuletewa zawadi kila siku jioni ila ghafla bila kutegemea zawadi zikakatika. halafu kaongea kwa uchungu sana na ingenoga zaidi kama angeongolea pia wale Maaskofu wanaobaka na kulawiti watoto na hawachukuliwi hatua yoyote na kanisa......free your mind

22:25 13th March 2011
 
Wakati kanisa linaendelea kuwekeza kwenye sekta za maendeleo (elimu, afya, nk), waislamu wanaendelea kujenga misikiti na madrasa. Isitoshe hakuna asiyejua kuwa matajiri wengi wakubwa nchi hii ni waislamu. Umeshawahi jiuliza kwanini mchango wao ni mdogo ktk kuendeleza uislamu ujiondoe na umasikini.

Umeshajiuliza kwanini hadi leo suala la mahakama ya kadhi waislamu mnaendelea kupigwa danadana ingawa viongozi wote watatu wakuu wa nchi hii ni waislamu?

Jibu rahisi, waislamu tatizo lenu ukishapata unafuu wa maisha huwa mnaacha kushughulikia maendeleo ya wenzenu, tofauti na wakristo ambao hutumia hiyo fursa kuwekeza ktk mambo ya maendeleo sio kujenga msikiti karibu na sheli au nyumba yako. Na hiyo ndiyo tabia na utamaduni wa mwarabu. Hela ipo kwanini nifanye kazi, hapa ni mwendo wa papuchi, na kuanzisha misikiti tu ili ajulikane
 
Mbeu,
Umesema kweli.

Waislam hatuna kitu na Wakristo wana kila kitu.

Kitu cha kujiuliza ni hiki. Hali hii imekujaje.

Jambo la kujiuliza ni hili.
Je, ni kwa kuwa kwa asili yao Waislam ni wavivu na Wakristo ni watu wa bidii?

Majibu ya hayo yote yapo katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Ukijua sababu ile ajabu hotoweka.

Huu ni msemo wa Kiarabu.
Tafuta sababu ya maendeleo ya Kanisa utapata jibu.

Kaangalie duniani kokote ambako kumekaliwa na waarabu halafu linganisha na kulikokaliwa na wakristo, kisha njoo na jibu hapa mtandaoni.
 
nawaomba TBC wawakaribishe watu wanaotaka serikali tatu kwenye kipindi cha tuongee asubuhi ili na wao watueleze sababu za kutaka serikali tatu,ila natanguliza maswali yangu,1 serkali ya zanzibar ni kwa ajili ya nchi gani? 2 je?ni kweli katiba ya zanzibar inasema zanzibar ni nchi, 3 je?kama kweli katiba ya zanzibar inasema zanzibar ni nchi inasemaje kuhusu Tanganyika, 4 je?hii katiba ya muungano ndio katiba ya Tanganyika, 5 huu muungano ukojekoje wakati Zanzibar bado wana serikali yao,wizara zao, mawaziri wao,na rais wao? nimeona niulize hayo maswali maana viongozi wote wa ccm wanaoalikwa TBC kwenye kipindi hicho cha hasubuhi hawatuelezi kuhusu hayo niliyouliza, tafadhali sana TBC tunawaomba tupate majibu ya hayo maswali
 
Back
Top Bottom