Haffif kama mmelogwa. Naamini mmekuwa misukule ya CCM kwa kujua au kwa kutojua. Ila mtajikuta peke yenu at the end.
pamoja na kurongwa lakini sitaki yale ya Rwanda.
ambapo kanisa lilitoa mchango mkubwa sana kufanikisha mauaji ya halaiki,
Pengo anataka nae aweke historia kama hiyo hapa kwetu Tanzania.