Kardinali Pengo: Kanisa litasema kweli bila kuogopa gharama!

Hebu tujikumbushe historia kidogo. Kipindi kile kulikuwa na:<br />
<br />
1. Oil Crisis<br />
2. Famine<br />
3. Cold War<br />
<br />
Haya mambo yalileta hali mbaya ya uchumi katika <br />
ukanda wetu, mfano kutokana na ukame akiba ya <br />
chakula ilipungua ndiyo sababu ya nyerere <br />
kuomba msaada wa chakula Marekani (mahindi ya yanga). <br />
<br />
Vile vile kutokana na oil embargo ya OAPEC <br />
iliyosababishwa na msaada wa marekani dhidi ya <br />
jeshi la israeli hali yetu ya uchumi ikadidimia. Kama <br />
unavyojua mafuta yakiadimika kila kitu kinapanda.<br />
<br />
Wakati mambo hayajakaa vizuri ikaja vita ya <br />
Kagera ambapo tulitumia zaidi ya dolari za <br />
kimarekani milioni 500 kupigana ($500,000,000). <br />
<br />
kumbuka ile vita tuliigharamia wenyewe kwasababu <br />
OAU walikataa kushiriki.<br />
<br />
<i>Kuhusu athari za cold war nitaliacha kwa leo (kiporo).</i><br />
<br />
Hata hivyo watu walikuwa wanasoma bure (viongozi <br />
wetu wengi wa sasa walikuwa wanafunzi wa vyuo <br />
kipindi hicho), matibabu bure, umeme ulikuwa haukatiki <br />
hovyo na nchi ilikuwa na msimamo.<br />
<br />
Inabidi uisone historia ya inchi yako na dunia ili uelewe <br />
kwanini mambo yalikuwa hivyo.<br />
<br />
Hivi sasa mambo ni tofauti kabisa hakuna vita baridi, <br />
ukame, wala vita na nchi yeyote lakini wengi wanakiona <br />
sasa huoni kama kuna tatizo ndugu?
<br />
<br /> wacha kudanganya vijana. Kenya haikuwepo?zambia?n.k. Nyerere ukivaa jeans unakuuliza.ukikamatwa na dola moja anakuweka keko.sigara zinatengenezwa bongo foleni.ukionekana na colgate au sabuni za lux unaenda keko eti mlanguzi ,hamweshi kumremba huyu adui wa tanganyika?
 
nani asiyetambua mlengo wa huyu kardinali. Tunakujua sana lakini hatudanganyiki.

Labda mje na mbinu nyingine.
 
Hebu tujikumbushe historia kidogo. Kipindi kile kulikuwa na:

1. Oil Crisis
2. Famine
3. Cold War

Haya mambo yalileta hali mbaya ya uchumi katika
ukanda wetu, mfano kutokana na ukame akiba ya
chakula ilipungua ndiyo sababu ya nyerere
kuomba msaada wa chakula Marekani (mahindi ya yanga).

Vile vile kutokana na oil embargo ya OAPEC
iliyosababishwa na msaada wa marekani dhidi ya
jeshi la israeli hali yetu ya uchumi ikadidimia. Kama
unavyojua mafuta yakiadimika kila kitu kinapanda.

Wakati mambo hayajakaa vizuri ikaja vita ya
Kagera ambapo tulitumia zaidi ya dolari za
kimarekani milioni 500 kupigana ($500,000,000).

kumbuka ile vita tuliigharamia wenyewe kwasababu
OAU walikataa kushiriki.

Kuhusu athari za cold war nitaliacha kwa leo (kiporo).

Hata hivyo watu walikuwa wanasoma bure (viongozi
wetu wengi wa sasa walikuwa wanafunzi wa vyuo
kipindi hicho), matibabu bure, umeme ulikuwa haukatiki
hovyo na nchi ilikuwa na msimamo.

Inabidi uisone historia ya inchi yako na dunia ili uelewe
kwanini mambo yalikuwa hivyo.

Hivi sasa mambo ni tofauti kabisa hakuna vita baridi,
ukame, wala vita na nchi yeyote lakini wengi wanakiona
sasa huoni kama kuna tatizo ndugu?

Huyo ni takbir wana assume hali iko sawasawa
 
nani asiyetambua mlengo wa huyu kardinali. Tunakujua sana lakini hatudanganyiki.

Labda mje na mbinu nyingine.

Yani nyie kina Hafif sijui mnamatatizo gani.
Hivi haya matatizo yanawakumba kina nani? Hivi nyie mna assume kwamba hali iko sawa wakati sio. So kukemea maovu hakufai? Mi nashindwa kuwadetimine na nahisi mtatoa tamko la kumjibu Pengo, tusha wazoea
 
Safi saaaaaana. Nadhani CCM hawana wa kuwabebeba tena. Wamebakia na mashehk na wakida Lusekelo. Ila mbali na kuchelewa kanisa katoliki sasa limerealise kuwa CCM wamewatumia kama NGAZI ya kuelekea eneo la kutendea dhambi. Ama kweli ni pambazuko jipya hili. Tangu kutolewa kwa mwongozo wa kanisa sasa kilichobakia ni kwenda taratibu ili waumini nao wabadilike wote na hapo mambo yatakuwa yamejipa.

Tunamshukuru pia mzee Kakobe kwa kufuata njia. pipozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz!!!!!!!!!!!!!
 
nani asiyetambua mlengo wa huyu kardinali. Tunakujua sana lakini hatudanganyiki.

Labda mje na mbinu nyingine.

Haffif kama mmelogwa. Naamini mmekuwa misukule ya CCM kwa kujua au kwa kutojua. Ila mtajikuta peke yenu at the end.
 
Kanisa + Siasa = Rwanda
:hatari:

Colleague,

You may be right or not. Here below another equation:

Mosque + politics =
Libya

the truth is; always politicians find supportive groups to fulfill their goals/aims. For the case of
Tanzania, CCM/gvt on power seeks Muslims; uneducated women/elderly and corrupted young people to perpetuate their ambitions. The same applied to Ivory Cost.
 
anawazimu huyu. Gongo la Mboto ni ukumbusho ktuka kwa Mungu? lol That is BS. Im sorri.
 
kumbe je! Hali ngumu ya maisha ya watanzania ilikuwepo toka awamu ya kwanza na pengo alikuwepo lakini hakuwa na ukweli wa kupasua.Waliokuwepo,sukari mikate sabuni nguo hupati mpaka kwa foleni RTC na ukipata kwingineko jela kwa ulanguzi.Ilikuwa hali nzuri hajazungumzia leo mbaya anazungumza.Hebu acheni siasa makanisani na misikitini mtaipeleka nchi pabaya.Shauri yenu.

Sasa wewe msimamo wako ni nini?usiwe una-critisize tu bila kutoa view yako,huoni watu wanavyoiba mabilioni (RICHMOND,DOWANS,EPA etc) na watu wanazidi kuwa katika hali mbaya? au wewe kwako ni poa tu...unalosema ni kweli,kipindi cha nyuma enzi za awamu ya kwanza hali ilikuwa mbaya lakinu hakukuwa na wizi wa ajabu na waziwazi kama tunauona leo,na kulikuwa na jitihada za kweli na za waziwazi kuondokana na hali hiyo..Siyo leo tunapewa usanii na nobody cares kama watu wanaumia,inafikia mpaka tunaletewa sinema ya kijinga na kipuuzi kabisa (MMILIKI WA DOWANS) !!!!!
 
<br />
<br /> wacha kudanganya vijana. Kenya haikuwepo?zambia?n.k. Nyerere ukivaa jeans unakuuliza.ukikamatwa na dola moja anakuweka keko.sigara zinatengenezwa bongo foleni.ukionekana na colgate au sabuni za lux unaenda keko eti mlanguzi ,hamweshi kumremba huyu adui wa tanganyika?

Unaweza kuwa unachosema ni kina elements fulani za ukweli,yaani watu walikuwa wanakamatwa kwa sababu hiyo ya ulanguzi (black markert),of course nchi kama nchi ilikuwa iko mfumo wa ujamaa...swali langu kwako ni hili leo huoni kama kuna tatizo?kwa sababu tatizo la jana halifanyi uozo wa leo kuwa kitu sahihi..kwa hiyo wewe unataka kama watu wanaona uozo wasiseme????
 
Kanisa + Siasa = Rwanda
:hatari:

Unaweza kukumbuka historia ya Afrika kusini jinsi Askofu Mkuu Desmon Tutu alivyopigania haki ya wananchi wa Afrika Kusini? Viongozi wa dini ni wapigania haki, si wapigania siasa
 
wacha kudanganya vijana.
Hata mimi ni :msela:sikuwepo kipindi hicho
(LOL) ila naifahamu historia yetu.

Kenya haikuwepo?zambia?n.k. Nyerere ukivaa jeans unakuuliza.ukikamatwa na dola moja anakuweka keko.sigara zinatengenezwa bongo foleni.ukionekana na colgate au sabuni za lux unaenda keko eti mlanguzi ,hamweshi kumremba huyu adui wa tanganyika?

Kenya walikuwa ni mabepari kwahiyo mataifa
tajiri yalihakikisha haiumbuki ili agenda zao
zifanyike.

Zambia sikuzote wanauza madini yao shaba na
nchi yao ni ndogo sana kulinganisha na yetu
(population).

Sisi tulisitisha uchimbaji kwasababu ya kuzuia
wajanja wasije tuibia kwasababu uelewo wetu
kama Taifa ulikuwa mdogo (wengi walikuwa
hakusoma).

Kwahiyo Baba wa Taifa aliinvesti kwenye elimu
na gharama za ufundishaji Zilitokana na faida
ya uzaliashaji wa mazao ya biashara.


Just to keep the records straight

Sikubaliani na yote aliyoyafanya Baba wa Taifa
lakini huwezi fananisha na ujinga wa sasa.

Nyerere ukivaa jeans unakuuliza.ukikamatwa na dola moja anakuweka keko.sigara zinatengenezwa bongo foleni.ukionekana na colgate au sabuni za lux unaenda keko eti mlanguzi ,hamweshi kumremba huyu adui wa tanganyika?

Sasa ndugu unaongelea kuvaa Jeans, Kwani
kuvaa jeans ndiyo nini? Yaani wewe upo
tayari kuuza nchi yako kwasababu tuu ya kuvaa
jeans?

Unajua kwanini nasema nchi imeuzwa?

Kwasababu haina kauli. Unapoona viongozi
wanashindwa kukemea maovu mfano Dowans
ujue kuna mtu ameshainunua nchi hii.

Nobody is standing for this country anymore
ni kuchukua chako mapema tuu nchi haina
heshima wala msimamo kila kitu holela tuu.

Sikiliza ndugu hizo nguo unazo vaa siyo zetu
yaani nchi haizalishi kitu ni haya madini ndo
yanayoleta fedha za kigeni hata yenyewe
hayatufaidishi ipasavyo.

Utake ususitake nchi yetu inahitaji maombi na
mwamko, pia inahitaji watu wenye ujasiri kama
wa kardinali Pengo ambao hawaogopi kutetea
haki za wanyone.

kumbuka yeye binasfi hana njaa kama watanzania
wengi (anakula anavyotaka). kKiyoyozi kila aendapo
na hana haja ya kulalamika lakini ni mapenzi yake
kwa nchi yetu amadiriki kusema hivyo.

Bwana asipoijenga nyumba wajengao wafanya
kazi bure,Bwana asipoulinda mji yeye alindaye
akesha bure (Zaburi 127:1).


Kwahiyo kama hii movement Mungu amesha
ridhia mwanadamu hawezi kuizuia. Watawazuia
waandishi wa habari wakina Pengo wataibuka.

May the peace of Lord be with you. Amen
 
Sasa wewe msimamo wako ni nini?usiwe una-critisize tu bila kutoa view yako,huoni watu wanavyoiba mabilioni (RICHMOND,DOWANS,EPA etc) na watu wanazidi kuwa katika hali mbaya? au wewe kwako ni poa tu...unalosema ni kweli,kipindi cha nyuma enzi za awamu ya kwanza hali ilikuwa mbaya lakinu hakukuwa na wizi wa ajabu na waziwazi kama tunauona leo,na kulikuwa na jitihada za kweli na za waziwazi kuondokana na hali hiyo..Siyo leo tunapewa usanii na nobody cares kama watu wanaumia,inafikia mpaka tunaletewa sinema ya kijinga na kipuuzi kabisa (MMILIKI WA DOWANS) !!!!!

Mpe shule huyo!
 
Hata mimi ni :msela:sikuwepo kipindi hicho
(LOL) ila naifahamu historia yetu.

Unajua kwanini nasema nchi imeuzwa?

Kwasababu haina kauli. Unapoona viongozi
wanashindwa kukemea maovu mfano Dowans
ujue kuna mtu ameshainunua nchi hii.

Nobody is standing for this country anymore
ni kuchukua chako mapema tuu nchi haina
heshima wala msimamo kila kitu holela tuu.

Sikiliza ndugu hizo nguo unazo vaa siyo zetu
yaani nchi haizalishi kitu ni haya madini ndo
yanayoleta fedha za kigeni hata yenyewe
hayatufaidishi ipasavyo.

Utake ususitake nchi yetu inahitaji maombi na
mwamko, pia inahitaji watu wenye ujasiri kama
wa kardinali Pengo ambao hawaogopi kutetea
haki za wanyone.

kumbuka yeye binasfi hana njaa kama watanzania
wengi (anakula anavyotaka). kKiyoyozi kila aendapo
na hana haja ya kulalamika lakini ni mapenzi yake
kwa nchi yetu amadiriki kusema hivyo.

Bwana asipoijenga nyumba wajengao wafanya
kazi bure,Bwana asipoulinda mji yeye alindaye
akesha bure (Zaburi 127:1).

Kwahiyo kama hii movement Mungu amesha
ridhia mwanadamu hawezi kuizuia. Watawazuia
waandishi wa habari wakina Pengo wataibuka.!

May the peace of Lord be with you. Amen

Yeeeeeeeeeeeeeessssssssssssssss!
Ni dalili za wazi za kuuzwa nchi kwa matajiri kutokana na ukimya na kabisa hoja zinazotolewa kutafsiriwa kinyume chake. Kudai haki ni udini, ukabila na uhaini. Hapo nini tena kimebaki kama si mtindo wa wakoloni walivyotutawala kutuambia kudai uhuru wetu ni uhaini uliowapeleka akina Mandela jela mika 26?
 
ni vigumu kutenganisha siasa na maisha ya mtu ya kila siku,tunaishi kutegemea siasa! upepo wake ndio unatuongoza, je tujiachie tupoteee?

lah hasha,tulipo sasa inabidi tukaze moyo kwelikweli; yatakuja matamko mengi, ila kwenye ukweli,uongo utajitenga! maisha ni magumu jamani,hatuwezi kusaidiana kwa kupeana hela kila siku ,tupeane njia za kujikomboa wenyewe!

Kama madini ni mali yetu wote basi tuone yakitukomboa kwenye mojawapo kama sio umeme,maji basi hata barabara; kodi zetu (sijui VAT,PAYE) nazo zionyeshe urahisi wa maisha,bei zipungue basi jamani

ila wachache wakifaidika na nchi hii,wengine tukabaki choka mbaya;itakuwaje? mnataka tufike huko ili mjenge matabaka??? haya yaliyopo hayawatoshi?

waacheni watu waseme kabla hatujapotelea gizani, yani ni kheri mkoloni mtu-baki kuliko sisi wenyewe? huu ukoloni mambo leo hautufai.

siku mabadiliko yakionekana,sidhani kama kuna mtu ambaye ataamka kusema lolote, ifike sehemu iwe kupongezana basi. Mkishindwa basi muachie wenzenu kwa amani kabisa; ili na wao wakishindwa waje wengine.

Tanzania ni yetu sote, Mungu ibariki Tanzania.
 
anawazimu huyu. Gongo la Mboto ni ukumbusho ktuka kwa Mungu? lol That is BS. Im sorri.

Sijui ile balaa ya tetemeko, Tsunami then Nuclear reactors ku fail yaliyotokea Japan na watu kwa ma elfu kupoteza maisha, yangetokea hapa kwetu angesemaji nchi hii ina vichwa vya ajabu!!
 
Kanisa + Siasa = Rwanda
:hatari:

sawia kabisa.

Na ndicho Pengo na Chadema wanachokitaka kitokee hapa Tanzania.

Pengo kama wataka siasa vua joho hilo uingie mzima mzima sio kujificha kwa vazi la kanisa. Unajiaibisha kadinari.
 
Back
Top Bottom