Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,495
- 14,358
Nimemsikia mkuu wa kaya msibani kupitia radio ya wafu anamsifia Kanumba kua alikua kijana mtanashati,mzuri hata umbo lake lilikua zuri,nimecheka kupita kiasi
hahaaa kweli mkulu wa kaya ni soo
Nimemsikia mkuu wa kaya msibani kupitia radio ya wafu anamsifia Kanumba kua alikua kijana mtanashati,mzuri hata umbo lake lilikua zuri,nimecheka kupita kiasi
Kumbe Kanumba alikuwa amechukua kadi ya chadema na alikuwa amepanga kugombea Shinyanga mjini kwa tiketi ya Chadema. Chadema tumempoteza mmoja wetu. RIP
Source: Heche
Bill Clinton aliwahi kuwa Mcheza sinema. Tanzania sasa hivi tunahitaji kiongozi "very unconventional" kuweza kutubadirisha huku tuliko. Inatakiwa tuipe nafasi damu changa ya kutosha na nahisi hapa tumepoteza mojawapo ya damu hizo! Kuthubutu na ushindi wa Sugu nadhani ni chachu ya kutosha kutusaidia kuwapata watu wengi "unconventional".
Mie nawashauri Kina Mwana FA, Kina Mkoloni, na Kina Afande Sele; Watafute vyama vya siasa wanavyoona vinawafaa na wagombee kuingia mjengoni; tunawahitaji mno! Wana mawazo mbadala.
Nimemsikia mkuu wa kaya msibani kupitia radio ya wafu anamsifia Kanumba kua alikua kijana mtanashati,mzuri hata umbo lake lilikua zuri,nimecheka kupita kiasi
Kumbe Kanumba alikuwa amechukua kadi ya chadema na alikuwa amepanga kugombea Shinyanga mjini kwa tiketi ya Chadema. Chadema tumempoteza mmoja wetu. RIP
Source: Heche
Kwa sasa hivi sifa mojawapo ya kugombea ubunge kwa ticket ya CDM ni at least degree 1, navyojua mshkaji alikuwa ni form 6Kumbe Kanumba alikuwa amechukua kadi ya chadema na alikuwa amepanga kugombea Shinyanga mjini kwa tiketi ya Chadema. Chadema tumempoteza mmoja wetu. RIP
Source: Heche
Reactions:: |
Reactions:: |
Reactions:: |
hakika hapa tungekuwa na mwakilishi makini bungei!
KWA HALI KANUMBA ALIYOKUWA NAYOP ASINGEWEZA KUJIINGIZA KWENYE SIASA MAPEMA,Kumbe Kanumba alikuwa amechukua kadi ya chadema na alikuwa amepanga kugombea Shinyanga mjini kwa tiketi ya Chadema. Chadema tumempoteza mmoja wetu. RIP
Source: Heche