kwani anamapungufu gani ya yeye kuwa mbunge? Prof majimarefu na wenzake wanamzidi nini ambacho yeye hawezi kuwakilisha wananchi?
Habari wanajamvi nilikua napita mnara wa voda eneo maarufu kwa mafundi vitanda ambapo pembeni kuna ofisi za CHADEMA Shy mkoa nkakuta tetesi kuwa msanii Steven Kanumba atarudi kugombea 2015 kupitia chadema against Masele wa CCM hebu tusaidiane je ina logic? Source mi
kazi imeanza, haya ndio yanafanya jf idharauliwe
sioni tofauti kubwa kati ya sugu na kanumba,tofauti ndogo ni kwamba kanumba sharobaro,sugu mgumu
Habari wanajamvi nilikua napita mnara wa voda eneo maarufu kwa mafundi vitanda ambapo pembeni kuna ofisi za CHADEMA Shy mkoa nkakuta tetesi kuwa msanii Steven Kanumba atarudi kugombea 2015 kupitia chadema against Masele wa CCM hebu tusaidiane je ina logic? Source mi
ni haki yake kugombea
kama cantona anafikiria kugombea uraisi wa ufaransa kwanini kanumba asifikirie ubunge wa shinyanga......
mimi nawashauri wale ambao wanamwona hafai wampigie kura yule ambae wanamwona anafaaa, kama wagombea wote anawaona hawafai then itakuwa vizuri nao wakachukue fomu kwa ajili wao wanafaa