figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
akicheka kwenye zile mic za mjengoni si zitazimika zote?. namtakia kila la kheri. Mia
Habari wanajamvi nilikua napita mnara wa voda eneo maarufu kwa mafundi vitanda ambapo pembeni kuna ofisi za CHADEMA Shy mkoa nkakuta tetesi kuwa msanii Steven Kanumba atarudi kugombea 2015 kupitia chadema against Masele wa CCM hebu tusaidiane je ina logic? Source mi
Mkuu kuna tofauti kubwa saana kati ya sugu na Kanumba.sioni tofauti kubwa kati ya sugu na kanumba,tofauti ndogo ni kwamba kanumba sharobaro,sugu mgumu
Habari wanajamvi nilikua napita mnara wa voda eneo maarufu kwa mafundi vitanda ambapo pembeni kuna ofisi za CHADEMA Shy mkoa nkakuta tetesi kuwa msanii Steven Kanumba atarudi kugombea 2015 kupitia chadema against Masele wa CCM hebu tusaidiane je ina logic? Source mi
Kama kweli basi mimi namshauri agombee majimbo ya hapahapa Dar kwa sababu;
1. Makazi yake yapo dar hivyo anazifahamu vizuri kero za jiji hili.
2. Ili kuthibitisha kuwa yuko compitent na si kwa kuwa anauza sura kideoni maana watu wa dar kidogo wana uwezo wa kuwapima wagombea.
n.b; Binafsi siwez kumhukumu moja kwa moja huyu bwana kwa sababu kwa mujibu wa katiba ana uhuru wa kufanya hivyo ILA(natumia simu, siwez ku-bold hilo neno) sijamuona kama ni type ya watu tunaotaka ili walikomboe taifa hili, watu kama Mnyika, Kafulila, Lema, n.k. Kwa maana hiyo ningeshauri agombee kupitia kwa magamba ili afe nao!
Kama Kanumba ameshindwa kutetea haki za wenzake wachache(wasanii) anawezaje kutetea wananchi?
Kama kanumba ameshindwa kuwa mbunifu katika kazi zake na baadala yake anarudia filamu hiyo hiyo na kuona kuwa filamu ni kubadilisha badilisha majumba, magari na mavazi( kwa kifupi kuuza sura), anawezaje kubuni mbinu za kumuondoa Mtanganyika katika lindi la umasikin ilhali nchi yake ni tajiri kuliko maelezo?
Kama namuona Kanumba, anavyocheka kwenye tangazo la Star time..hahahahahaha..umeniletea zawadi yangu ya sikukuu! Hahahahaha!
Habari wanajamvi nilikua napita mnara wa voda eneo maarufu kwa mafundi vitanda ambapo pembeni kuna ofisi za CHADEMA Shy mkoa nkakuta tetesi kuwa msanii Steven Kanumba atarudi kugombea 2015 kupitia chadema against Masele wa CCM hebu tusaidiane je ina logic? Source mi