Safina
JF-Expert Member
- Jun 18, 2009
- 497
- 64
Kanisa katoliki ni kwamba linaongozwa na KANUNI na katiba ya Kanisa. Siyo Kanisa lililoanzishwa kienyeji tu. Na ndio maana ni Kanisa lililoenea DUNIANI na lina uongozi Mkuu Ulimwenguni (PAPA, MAASKOFU, MAKADINARI, MAPADRE, MASISTA, WALEI)
Hivyo ieleweke kuwa ni kanisa lenye utaratibu wake katika kutoa madaraja ya Utumishi wa Kanisa na pia kuna utaratibu wa mtumishi kuacha Utumishi wake. Huwa wanaweka NADHIRI za utumishi wao.
Hivyo kwa Dr. Slaa kutokuendelea na UPADRE ni kutokana na kanuni na katiba za kanisa Katoliki; na ndio maana RAISI wa Baraza la MAASKOFU ametoa kauli hii ya kutaka ushahidi kwa hili.
Kama upo basi uwasilishwe ili hata na mimi niweze kuujua.
WEKENI USHAHIDI HAPA JF TUONE, ACHENI KUKURUPUKA NA KUSIKILIZA MANENO YA VIJIWENI. ni aibu KWA KIONGOZI WA JUU KAMA WASSIRA KUTOA TAMKO KUTOKANA na MANENO YA VIJIWE VYA WANYWA KAHAWA.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Mkimchagua Sioi (1) kura zenu zitamfuta machozi ya kufiwa na baba yake, (2) Atapata mshahara ili kulea familia yake, (3)Mtamfurahisha Rais Kikwete, Alisema Lusinde.," :rant:Signature yako mkuu, mi hoooooohooooooooooooooooooiiiii Yaani nani anataka kumfurahisha kikwete, hapo ndo kaharibu kabisa, maana umo,umo ndani ya CCM kuna watu hawamtaki/hawampendi kikwete, kwa hiyo kwa kuwaambia kura ya mtu itamfurahisha kikwete kwa kweli huyo lusinde amechemka mbaya kabisa, maana wana ccm wengine watatupigia sisi kwa hasira ya kutotaka kumfurahisha kikwete, maana hiyo ndo itakuwa njia nzuri ya kumkasirisha, kama kumpigia sioi kura ndo kutamfurahisha. Jamani JF, kwa kweli sijutii kuwa mwanafamilia wa hapa.