Kambi ya Lowassa Inapumulia Mashine ndani ya CCM, Ndoto za Urais zazidi kuota mbawa

Kwenye siasa kuna assets na liabilities, you can only turn asset into a liabilitie but you can't turn a liability into asset!. Mwanzo nilidhani EL ni asset ya CCM, kwa survivor ya 2015!, baada ya kuosoma mahali kuhusu "safety net" ya Billioni 400, then nime reach conclusssion 2015, ni CCM tena, with or without EL!. He was once an asset, now he is a liability jiust like ZZK kwa Chadema. Namna pekee ya turning liabilities into assets ni disposal off and salvage whatever is left na kuitop up kwenye re-investiment scheme!.

Nimeirudia taarifa yako hii mara tatu! Mara zote nimekua nikijiuliza mwandishi huyu ni PASCO tunayemjua humu jamvini au copy yake! Mtu wangu hekima uliyoiweka hapa ni kubwa na itabaki kuwa rejea kwa wengi wanaoweza kuzioanisha terminology za kihasibu,na kiuchumi kisha kuzivika viatu vya kisiasa vizuri. At last Pasco unakubaliana na usemi wa wahenga LA KUVUNDA MZEE HALINA MAFUSHO!!!
 
walipofikia sasa watamalizana, tusubiri matokeo tutaona balaa lake, maana biashara iliyoko ikulu inaonekana kuvutia wengi, kuna biashara gani pale? Eeeh Baba wa Taifa rudi uone Magogoni uliyoiacha safi inavyoviziwa kwa mizinga ya fedha na makombora ya rushwa
 
I would be very much interested to learn the reasons hidden behind the numbers - esp for Tanzanian polls, because why would Asha be given 10% over and above Membe? and how do you justify that we only have three presidential aspirants, nani kati ya hao ameishatangaza nia? Unawaweka wapi Samwel Sitta, Mwakyembe, Mwandosya, Nchimbi, Ngeleja etc? Comment yako imeniacha na maswali mengi zaidi ya majibu...

Hiyo ni personal opinion poll yake!
 
ata abaki mwenyewe lakini rais ajae akitoka CCM ni LOWASSA nakuna mwingine ngani ya ccm!! kauli za yule kijana wa kikwere alie sema rais ajae awez toka..................namuona kama mwehuu! asizani babake kuwa rais basi tz ameiweka mfukoni

watz wameanza kuamka --- siamini iwapo watamtaka rais ambaye anabeba tuhuma za ufisadi ambazo anashindwa kuzijibu. Isitoshe hata siku moja sijamsikia EL wenu akizungumzia ufisadi na jinsi anavyokerwa na kansa hiyo katika safu za juu za uongozi wa chama chake na serikali.
 
watz wameanza kuamka --- siamini iwapo watamtaka rais ambaye anabeba tuhuma za ufisadi ambazo anashindwa kuzijibu. Isitoshe hata siku moja sijamsikia EL wenu akizungumzia ufisadi na jinsi anavyokerwa na kansa hiyo katika safu za juu za uongozi wa chama chake na serikali.

Penye red; Hata mimi sijamsikia. Ni mada mbaya sana kwake na siku atakayoamua kuzungumzia hawezi kuwatazama watu machoni.
 
Mwakyembe, mwandoysia, nitawakubali.
Uniambie Ngeleje, nchimbi hivi hawa watu waliiingiaje humo.?
 
El.usimpimi kihivyo ,kwake yeye mwingine anaingia na mwingine anatoka mpaka kieleweke tu 2015 tuombe uzima tu.
 
Na hata wale wanaondoka watarudi tu wakiwa safi kuingia ukumbini tayari kwa shampeni ya kumpongeza mh.
 
Na kuhusu inssue ya matajiri kuwa karibu yake,in fact matajiri sio inssue kwani hawako juu ya sheria inssue hapa ni uajibikaji tu.
 
Huyo mamvi ni wa kuchunga kama siafu, maana kosa moja tu anatutawala hafai kupewa nafasi ya kujaribu alisha haribu huko nyuma wacha kambi yake ivurugike na hata ife kabisa
 
Hivi kitendo cha CCM kumuacha Lowasa aendelee na harakati za kutafuta urais kupitia CCM kinatoa tafsiri gani kwa watanzania na CCM? Hivi watanzania tunaweza kuwa na ugonjwa chronicle wa amesia hata tusahau ufisadi wa lowasa na mtandao wake, na tumfanya awe rais?
 
Hivi kitendo cha CCM kumuacha Lowasa aendelee na harakati za kutafuta urais kupitia CCM kinatoa tafsiri gani kwa watanzania na CCM?
Je, uliwazi kujiuliza kuhusu kitendo cha CCM kumuacha Kikwete agombee kwa mara ya pili mwaka 2010 baada ya kuboronga na kuonesha kila dalili ya kutokuwa na uwezo wala integrity? Kama iliwezekana kwa Kikwete kwa nini isiwezekane kwa Lowassa? Hiyo ndiyo CCM na huo ndio mtaji wao mkubwa!
 
Kuna walakini hapo. Mimi ningetamani EL awe Rais wetu lakini nina mashaka sana kama atachagulika mbele ya wananchi kutokana na kuchafuliwa na ufisadi. Angeweza angeenda hadharani akajitakasa kwanza kabla ya kuwania Urais. Pia afya yake inaongelewa kuwa imeyumba, hivi atamudu mtiti wa kampeni kweli? Na nyuma yake eM4C inamshughulikia!
 
sikubalian hata kidogo na hoja ya mwanaharakati na wenzako kwamba membe ataunganisha watanzania wakati Benard Membe anasema akichukua madaraka kuna watanzania atahakikisha wanahamia kenya bila kupenda...Mwanaharaka huyo ndiye Rais tumtakae...tafakari kwa makini mtu asiye na maamuzi anatufaa kwa Tanzania ya leo? uliowataja sizan kwamba ndio wenye kujua rais ila ni watanzania..
 
hao unaowataja kina nape mbona kwenye chaguz za jumuiya wameishia kubeba mabango? siasa ni mikakati unayoyasema leo mwanaharakat na saanane lowasa alishayajua 4yrs ago so lowasa tayari anajua cha kufanya...
 
Katika hali ya kushtusha kambi ya mwanasiasa mkongwe, mashuhuri na maarufu sana mh Edward Lowassa imezidi kuzorota ndani ya chama hicho kikongwe kilichojaa mizengwe na makundi makubwa ya kuwania urais 2015.

Kuzorota huko kumetokana na mambo mengi yakiwemo wasiwasi uliotanda ndani ya kambi hiyo kuwa waziri mkuu huyo mstaafu ana matatizo makubwa ya kiafya na hivyo kufifiza matumaini ya kuwa mgombea muafaka wa kambi hiyo. Hili linazidi kuwa kikwazo kwa kambi hiyo kwa kuwa Lowassa hapendi kuona mtu mwingine yeyote katika kambi hiyo anatamani kuwa rais zaidi ya yeye tu.

Habari za ndani ya kambi hiyo zinasema kuwa Lowassa alikorofishana na Emmanuel Nchimbi pale tu aliposema wawe na plan 'B' endapo itatokea kuwa yeye Lowassa ameshindwa kugombea Urais, na plan 'B' hiyo iwe kijana mwenye nguvu na afya bora kama Nchimbi! Toka aseme maneno hayo wakubwa hawa hawapatani tena kama zamani na kuna ushahidi kwamba Nchimbi haitwi tena kwenye vikao mbalimbali vya kambi hiyo.

Wasiwasi huo umeonekana ukisababisha uaminifu kwa kambi hiyo upungue nguvu sana na watu waanze kutazama fursa zilizopo kwenye makambi mengine yanayoibuka kila siku na kujikuta yakiwa na nguvu kubwa. wengi wanahisi anguko la Lowassa 2015 lisije kuwa anguko lao pia, wanaanza sasa kuchukua chao mapema.

Pamoja na sababu hiyo, nyingine kubwa inayotajwa kuisambaratisha kambi hiyo ni maamuzi magumu na yaliyoonekana kutoiunga mkono kambi hiyo yaliyofanywa na vikao mbalimbali vya maamuzi katika chama mfano maamuzi ya kuyafyeka majina ya watu walioonekana vinara wa siasa za kundi hilo kama akina Hussein Bashe, ambaye anaonekana kuwa ni nguzo muhimu ndani ya kambi hiyo yenye ufuasi kwa Lowassa, pia kuna vijana wengine ndani ya UVCCM waliokatwa majina yao bila sababu za msingi kujulikana - hapa mfano mzuri ni Naibu katibu mkuu wa UVCCM Zanzibar Jamal Kassim, aliyekuwa akigombea Uenyekiti wa Taifa wa UVCCM na aliyekuwa anapewa nafasi kubwa ya kushinda kama jina lake lingeteuliwa na NEC ya CCM, pia Sango Kasela ambaye aligombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti UVCCM

Sababu kubwa ya tatu ya kuanguka kwa kambi hii ni kushindwa kwa makada wa chama hicho kwenye chaguzi za ndani ya chama zinazoendelea - mfano mzuri ni Makongoro Mahanga, mbunge wa segerea na naibu waziri wa kazi, na kaka yake Didas Massaburi (Mzee wa kufikiria kwa kutumia makalio) ambaye pia ni mayor wa Dar es salaam, ambao walishindwa kwenye nafasi ya NEC japokuwa walitumia pesa nyingi.

Pia kuanguka kwa wafuasi wa kambi hiyo mkoani tabora - jambo linaloashiria kuanguka kwa ngome ya Rostam Azizi (mshirika mkubwa wa Lowassa) na kupotea kwa umuhimu wa Hussein Bashe aliyeonekana kutaka kurithi nafasi ya king maker Rostam. Mkoani Tabora hakuna wilaya hata moja iliyopata mwenyekiti wa chama mwenye mlengo wa kambi hiyo ya watu wenye pesa. Pia wajumbe wa Nec Nzega, Igunga (Peter Kafumu aliyemshinda mlinzi wa jimbo la Rostam Azizi na mwenye kiti wa halmashauri hiyo Mh Abubakari Shabani) hawapo katika kundi hilo. Je hii inamanisha Samwel Sita anajipanga ama ni matokeo tu?

Bado unaamini katika bandiko lako hili? Naamini kwa sasa unahuzunika kwa kuleta story za uongo.

ELair all the way!
 
Kwenye siasa kuna assets na liabilities, you can only turn asset into a liabilitie but you can't turn a liability into asset!. Mwanzo nilidhani EL ni asset ya CCM, kwa survivor ya 2015!, baada ya kuosoma mahali kuhusu "safety net" ya Billioni 400, then nime reach conclusssion 2015, ni CCM tena, with or without EL!. He was once an asset, now he is a liability jiust like ZZK kwa Chadema. Namna pekee ya turning liabilities into assets ni disposal off and salvage whatever is left na kuitop up kwenye re-investiment scheme!.

Mzee umechanganya vibayaaa. Yaani suala la Assets na Liabilities umelikoroga!

Wenye fani watakwambia. Ila ulichoongea kuturn assets au liabilities ki uhasibu na hata ukirelate na siasa za Bongo, does not make sense.

Usijali lakini wamekupa likes za kutosha. Hii inanikumbusha JayZ (rapper wa marekani) kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee aliposema F......ck you watu wakasema YEEEEAAHHHHHH! sitoisahau hiyo.
 
Back
Top Bottom