Kambi ya Lowassa Inapumulia Mashine ndani ya CCM, Ndoto za Urais zazidi kuota mbawa

Kwenye siasa kuna assets na liabilities, you can only turn asset into a liabilitie but you can't turn a liability into asset!. Mwanzo nilidhani EL ni asset ya CCM, kwa survivor ya 2015!, baada ya kuosoma mahali kuhusu "safety net" ya Billioni 400, then nime reach conclusssion 2015, ni CCM tena, with or without EL!. He was once an asset, now he is a liability jiust like ZZK kwa Chadema. Namna pekee ya turning liabilities into assets ni disposal off and salvage whatever is left na kuitop up kwenye re-investiment scheme!.
Pasco niko shule ya masuala ya usimamizi wa fedha...you can decide to invest if Net Present Value of your investment will result into positive, if the result will be negative do not invest. What I mean is that people who were once assets now if are used will end up producing negative net present value (political failure for the party sponsoring them)
 
Kwenye siasa kuna assets na liabilities, you can only turn asset into a liabilitie but you can't turn a liability into asset!. Mwanzo nilidhani EL ni asset ya CCM, kwa survivor ya 2015!, baada ya kuosoma mahali kuhusu "safety net" ya Billioni 400, then nime reach conclusssion 2015, ni CCM tena, with or without EL!. He was once an asset, now he is a liability jiust like ZZK kwa Chadema. Namna pekee ya turning liabilities into assets ni disposal off and salvage whatever is left na kuitop up kwenye re-investiment scheme!.

Pasco hii safety net 400 bil ni nini tena? mbona hatuambiani mkuu mammbo muhimu kwenye taifa letu wenyewe na kwenye chama chetu wenyewe?
 
Do not write off the old fox; EL yet!!!!! the political dynamics up leading up to 2015 are still very fluid, it is far too early to write your concluding remarks to EL's memoirs.
 
Nafuata tuu principles of laws of motion na mambo ya genetics na mutatitions!. " Human being are not static!, they are dynamics and hence they change with time"!. My favourate ni EL, kwa vile with bilioni 400 za "safety net", EL now is a liability!, kwa sasa Membe ndie "asset"!, sisi tunacheza na timu ya washindi!.

"Kwenye politics, hakuna permanent friends or enemies, we only have a common interests!. Mimi interest yangu ni 2015, Taifa letu lipate ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania!, nili bank on EL kuwa atatupatia ukombozi huo1, now he is a liability akisubiria disposal off, then, its my right not to sail with the sinking ship!. Kama hata Mzee Mwanakijiji anakutajia Membe!, the who are you kubisha!.
P.


dalili zinaonyesha Membe anachukua nomination 2015;

1. kutokana na mgongano wa 6 na EL membe alikua kwa 6 mwanzo ila kwa kushangaza kambi ya 6 akaondoka na kuanzisha kambi yake mwenyewe. ikiwa ni ishara ya kujiamini au kuaminiwa na wakuu muhimu kwenye chama na serikali.

2. Usalama wa taifa connection zinamfavor membe kuacha tu kua ni mwenzao, membe hajapata kua na kashfa yeyote ya kifisadi itakayotumiwa na wapinzani kumzorotesha na vile vile Marais wengi waliopita walipitishwa kwa nguvu kubwa ya ushawishi wa usalama wa taifa. Najua jina kama EL halitopita usalama na maksi nzuri

3. Membe sasa yuko na Nape, Riz1 hii ina maanisha hata Jk anaweza kua karibu sana sema kwa hataki ionekane wazi wazi kua anataka kumuachia kiti mtu wake na rafiki yake haswa ukizingatia mazingira haya ya kisiasa tuliyonayo

4. Membe hawezi kuifanya CCM ivunjike akiteuliwa na anaweza kuvutia makundi yote (kwa kujipendekeza) kumfanyia kampeni tofauti na 6 au EL ambao wanaonekana akichaguliwa mmoja mwingine atahama chama au kuhujumu chama kushindwa hapo 2015.

5. Asha Rose ni front tu na potezea njia maadui, ila kandideti wa first family ni Mh. Benard Membe kwa kua hatoweza kuleta mushkeli kwa rafiki, boss wake zamani pindi atakapomuachia madaraka tofauti na wagombea wengine ambao bwana mkubwa anawaogopa wanaweza kufanya retirement yake ikawa isiyo na utulivu.

6. Uchaguzi wa Membe na ushindi wake hapo 2015 utaleta rais asiye na kundi kubwa lenye ushawishi na hii itamfanya M/kiti na famili yake iliyojiingiza kwenye siasa na watu wao muhimu kuendelea kua na sikio la karibu na ushawishi tofauti na wagombea wengine wakubwa.

Membe ni msikivu, diplomat, hana makuu (mpaka sasa), tatizo lake ni moja watu wengi hatujui kama ana ari, kujiamini na nguvu ya maamuzi ya kweli katika kulikomboa taifa lenye changamoto kama Tanzania. Amekua kimya mno hata ndani ya chama chake ambacho dhahiri kina changamoto nyingi za rushwa, kukosa dira n.k
 
acha uongo mdau sababu zako zote ni za fitina,yani mtu angare NEC na kushinda then unakoment uongo.kiujumla wewe ni nafiki kama sitta,lowassa na nchimbi wote ni viongozi bora usitie doa kwa unafiki wako,pili wewe unasemea afya za watu wewe umekuwa mwnafamilia ya el ili usemee afya yake,au unafuata nyayo za sita,wewe ni hovyooooooooooooo
 
Nafuata tuu principles of laws of motion na mambo ya genetics na mutatitions!. " Human being are not static!, they are dynamics and hence they change with time"!. My favourate ni EL, kwa vile with bilioni 400 za "safety net", EL now is a liability!, kwa sasa Membe ndie "asset"!, sisi tunacheza na timu ya washindi!.

"Kwenye politics, hakuna permanent friends or enemies, we only have a common interests!. Mimi interest yangu ni 2015, Taifa letu lipate ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania!, nili bank on EL kuwa atatupatia ukombozi huo1, now he is a liability akisubiria disposal off, then, its my right not to sail with the sinking ship!. Kama hata Mzee Mwanakijiji anakutajia Membe!, the who are you kubisha!.
P.

Kwa hiyo unaamini akishakuwa disposed (kama unavyosema) yeye atakaa kimya na kuwapa support waliom-dispose? Mkimwaga mboga yeye atakanyaga ugali I can assure you! Sioni namna ccm hii iliyomeguka itakuwa kitu kimoja hata ateuliwe nani kugombea urais. Kila mtu kwenye hayo makundi anasukumwa na maslahi binafsi (mostly kujihakikishia usalama kwa kuwa wote wameiba mno huku wakiacha ushahidi wazi wazi lukuki). Who will accept the other wakati wao wenyewe wameshatuambia hadharani kuwa hawaaminiani na wanaogopana wao kwa wao kiasi cha kutaka kutiliana sumu?
 
Pasco hii safety net 400 bil ni nini tena? mbona hatuambiani mkuu mammbo muhimu kwenye taifa letu wenyewe na kwenye chama chetu wenyewe?
Mharakati, "safety net" ni fungu la bilioni 400 zilizotengwa kuwagawia ruzuku ya hard cash familia, familia masikini zinaishi for less than a $ a day!. Hivi kweli kwa akili ya kawaida, mtu ugawiwe pesa hard cash bure tuu, utaweza tena kuwa mkosefu wa fadhila kwa anayekujaza minoti mfukoni kwako!.
 
Uliyeleta hii hoja unaonekana dhaifu katika kujenga hoja kwanza kwa kusema afya lowasa ni dhaifu napngana na wewe...pili unaonekana umetumwa na kundi flan ndani ya ccm linalolalamika kila sku nalo ni la benard membe...kiukweli inaonekana membe na wenye ndoto za kuwa marais wa tanzania mwaka 2015 wanamuhofia lowasa kulko ktu chochote huo ndio ukweli na ni kwa sababu ni mchapa kazi na ni mwanamkakati..anajua kutumia option B Wakat option A inapofel...LOWASA NI TISHIO NDANI YA CCM KULIKO MTU YEYOTE NA HOFU ZAIDI ANAKUBALIKA NA WASIO WANA CCM KUTOKANA NA MISIMAMO YAKE NA UWEZO WA KUTOA MAAMUZI Magumu ....hivi unaweza ukamlnganisha membe kiutendaji na lowasa kweli?tusiwe wanafk kumbuka lowasa akiwa wazri mkuu membe alkuwa naibu wazri.. yeye na wenzake walipomuhujumu lowasa kwa sababu walkuwa wanataka madaraka wakaloby wakapanda kuwa full minister na waliokuwa wabunge wakawa mawzri...sita pia ana mtandao ndani ya ccm zaid analalamika ajengi hja..mtandao wa wakuu wa wilaya aliojarbu kuujenga membe kwa kusaidiwa bado ni dhaifu na wengi wapo kambi ya lowasa bila membe kujua wakiwemo watano amabao ni ma fnds...nawasiliha TATHMINI LONDON POST PRESIDENTIAL RACE IN EAST AFRCA (TANZANIA LEADING PARTY CCM.. 1. EDWARD LOWASA 85% 2. ASHA ROSE MIGIRO 10% 3. BENARD MEMBE 5%. KENYA 1. RAILA ODINGA 37% 2.WILIAM RUTO 36%, 3.UHURU KENYATA 27% ...TEMBELEENI POST ZA EAST AFRCA PIA
 
Kwa hiyo unaamini akishakuwa disposed (kama unavyosema) yeye atakaa kimya na kuwapa support waliom-dispose? Mkimwaga mboga yeye atakanyaga ugali I can assure you! Sioni namna ccm hii iliyomeguka itakuwa kitu kimoja hata ateuliwe nani kugombea urais. Kila mtu kwenye hayo makundi anasukumwa na maslahi binafsi (mostly kujihakikishia usalama kwa kuwa wote wameiba mno huku wakiacha ushahidi wazi wazi lukuki). Who will accept the other wakati wao wenyewe wameshatuambia hadharani kuwa hawaaminiani na wanaogopana wao kwa wao kiasi cha kutaka kutiliana sumu?
Ndio sababu pekee iliyofanya asikatwe na NEC, kabla ya disposal process haijaanza, atatakiwa kuyakusanya majeshi yake na kuya line-up nyuma ya Membe!.
 
Vijana CCM msikubali matokeo ya uchaguzi.Mmeundiwa zengwe endeleeni kujipanga na kambi zenu.Hao walioshinda ni matokeo ya mizengwe tu.Msikubali kushindwa kwa kunyimwa haki.Endeleeni kupambana huko muwaonyeshe kwamba na ninyi mnaweza.....Endelezeni mapambano huko huko!Ninyi mlioshindwa ndiyo mna uwezo zaidi ndiyo maana waliwawekea mizengwe.Msikubali!
 
Nafuata tuu principles of laws of motion na mambo ya genetics na mutatitions!. " Human being are not static!, they are dynamics and hence they change with time"!. My favourate ni EL, kwa vile with bilioni 400 za "safety net", EL now is a liability!, kwa sasa Membe ndie "asset"!, sisi tunacheza na timu ya washindi!.

"Kwenye politics, hakuna permanent friends or enemies, we only have a common interests!. Mimi interest yangu ni 2015, Taifa letu lipate ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania!, nili bank on EL kuwa atatupatia ukombozi huo1, now he is a liability akisubiria disposal off, then, its my right not to sail with the sinking ship!. Kama hata Mzee Mwanakijiji anakutajia Membe!, the who are you kubisha!.
P.

There you are!

Kuna siku nilisema Membe ni waziri shupavu na anayetumia Taaluma yake watu wakarusha mawe kweli kweli.Wengine wakasema nimemu-endorse.

Hata hivyo,Pasco umenichekesha kweli hapo kwenye Red!
 
dalili zinaonyesha Membe anachukua nomination 2015;

1. kutokana na mgongano wa 6 na EL membe alikua kwa 6 mwanzo ila kwa kushangaza kambi ya 6 akaondoka na kuanzisha kambi yake mwenyewe. ikiwa ni ishara ya kujiamini au kuaminiwa na wakuu muhimu kwenye chama na serikali.

2. Usalama wa taifa connection zinamfavor membe kuacha tu kua ni mwenzao, membe hajapata kua na kashfa yeyote ya kifisadi itakayotumiwa na wapinzani kumzorotesha na vile vile Marais wengi waliopita walipitishwa kwa nguvu kubwa ya ushawishi wa usalama wa taifa. Najua jina kama EL halitopita usalama na maksi nzuri

3. Membe sasa yuko na Nape, Riz1 hii ina maanisha hata Jk anaweza kua karibu sana sema kwa hataki ionekane wazi wazi kua anataka kumuachia kiti mtu wake na rafiki yake haswa ukizingatia mazingira haya ya kisiasa tuliyonayo

4. Membe hawezi kuifanya CCM ivunjike akiteuliwa na anaweza kuvutia makundi yote (kwa kujipendekeza) kumfanyia kampeni tofauti na 6 au EL ambao wanaonekana akichaguliwa mmoja mwingine atahama chama au kuhujumu chama kushindwa hapo 2015.

5. Asha Rose ni front tu na potezea njia maadui, ila kandideti wa first family ni Mh. Benard Membe kwa kua hatoweza kuleta mushkeli kwa rafiki, boss wake zamani pindi atakapomuachia madaraka tofauti na wagombea wengine ambao bwana mkubwa anawaogopa wanaweza kufanya retirement yake ikawa isiyo na utulivu.

6. Uchaguzi wa Membe na ushindi wake hapo 2015 utaleta rais asiye na kundi kubwa lenye ushawishi na hii itamfanya M/kiti na famili yake iliyojiingiza kwenye siasa na watu wao muhimu kuendelea kua na sikio la karibu na ushawishi tofauti na wagombea wengine wakubwa.

Membe ni msikivu, diplomat, hana makuu (mpaka sasa), tatizo lake ni moja watu wengi hatujui kama ana ari, kujiamini na nguvu ya maamuzi ya kweli katika kulikomboa taifa lenye changamoto kama Tanzania. Amekua kimya mno hata ndani ya chama chake ambacho dhahiri kina changamoto nyingi za rushwa, kukosa dira n.k

Hiyo ndiyo itakuwa suprise.Membe ni mwanasiasa mwenye uwezo kushinda wengine huko CCM.Kiboko yake ni CHADEMA tu.Membe anafaa kuwa kiongozi mzuri wa kambi ya Upinzani baada ya uchaguzi 2015 kushinda hao candidates wengine
 
Uliyeleta hii hoja unaonekana dhaifu katika kujenga hoja kwanza kwa kusema afya lowasa ni dhaifu napngana na wewe...pili unaonekana umetumwa na kundi flan ndani ya ccm linalolalamika kila sku nalo ni la benard membe...kiukweli inaonekana membe na wenye ndoto za kuwa marais wa tanzania mwaka 2015 wanamuhofia lowasa kulko ktu chochote huo ndio ukweli na ni kwa sababu ni mchapa kazi na ni mwanamkakati..anajua kutumia option B Wakat option A inapofel...LOWASA NI TISHIO NDANI YA CCM KULIKO MTU YEYOTE NA HOFU ZAIDI ANAKUBALIKA NA WASIO WANA CCM KUTOKANA NA MISIMAMO YAKE NA UWEZO WA KUTOA MAAMUZI Magumu ....hivi unaweza ukamlnganisha membe kiutendaji na lowasa kweli?tusiwe wanafk kumbuka lowasa akiwa wazri mkuu membe alkuwa naibu wazri.. yeye na wenzake walipomuhujumu lowasa kwa sababu walkuwa wanataka madaraka wakaloby wakapanda kuwa full minister na waliokuwa wabunge wakawa mawzri...sita pia ana mtandao ndani ya ccm zaid analalamika ajengi hja..mtandao wa wakuu wa wilaya aliojarbu kuujenga membe kwa kusaidiwa bado ni dhaifu na wengi wapo kambi ya lowasa bila membe kujua wakiwemo watano amabao ni ma fnds...nawasiliha TATHMINI LONDON POST PRESIDENTIAL RACE IN EAST AFRCA (TANZANIA LEADING PARTY CCM.. 1. EDWARD LOWASA 85% 2. ASHA ROSE MIGIRO 10% 3. BENARD MEMBE 5%. KENYA 1. RAILA ODINGA 37% 2.WILIAM RUTO 36%, 3.UHURU KENYATA 27% ...TEMBELEENI POST ZA EAST AFRCA PIA
I would be very much interested to learn the reasons hidden behind the numbers - esp for Tanzanian polls, because why would Asha be given 10% over and above Membe? and how do you justify that we only have three presidential aspirants, nani kati ya hao ameishatangaza nia? Unawaweka wapi Samwel Sitta, Mwakyembe, Mwandosya, Nchimbi, Ngeleja etc? Comment yako imeniacha na maswali mengi zaidi ya majibu...
 
Mkuu hapo kwenye red bold, unadhani kweli wanaweza korofishana hawa, wametoka mbali sana, na EN anajulikana kuwa loyal kwa EL!!!

How credible this is!! Nachokubaliana na wewe ni kuwa EL kweli afya inayumba, ingawa hatumuombei mabaya!!

Hivyo anasumbuliwa na nini tena? mara ya mwisho alisema yupo fit kwa mapambano, kumbuka!
 
The more you start threads about people such as Mr. Lowasa, Mr. Zitto and the like on their personal day-dreams , the more you give them unnecessary attention and high reputation!

Press ignore to their moves; they continue to be superfluous!
 
ata abaki mwenyewe lakini rais ajae akitoka CCM ni LOWASSA nakuna mwingine ngani ya ccm!! kauli za yule kijana wa kikwere alie sema rais ajae awez toka..................namuona kama mwehuu! asizani babake kuwa rais basi tz ameiweka mfukoni
 
ata abaki mwenyewe lakini rais ajae akitoka CCM ni LOWASSA nakuna mwingine ngani ya ccm!! kauli za yule kijana wa kikwere alie sema rais ajae awez toka..................namuona kama mwehuu! asizani babake kuwa rais basi tz ameiweka mfukoni
 
Back
Top Bottom