Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
<br />Sahau habari ya uchaguzi, Hawa watakwenda mahakamani kupinga kufukuzwa, na kesi haitaisha hadi 2015.<br />
<br />
Mie nashangaa, huyu Malla ndie nguzo ya Chadema Arusha mjini na hata mchakato wa uchaguzi uliopita alikuwa agombee yeye kabla ya cdm M/makuu kumleta Lema. tunangojea kuona reaction ya wana-Arusha juu ya maamuzi haya, lakini naona sinema ndio kwanza imeanza!
<br />
Hawa madiwani walitaka kujifanya maarufu kuliko chama na walishinda udiwani simply because wako CDM, Bayo ameshindwa mara ngapi udiwani ktk hatua za awali CCM? Ni wazi this time watu walikiamini chama wakawapa watu kura walioaminiwa na chama na tuko tayari kumpa kura zetu candidate mwingine atakayeaminiwa na watu. Hatukuandamana na kupigwa mabomu na baadhi ya ndugu zetu kufariki na kupoteza viiungo ili waje wagawane madaraka kidandara bali uchaguzi uliopotoshwa kwa kukiuka kanuni urudiwe na si vinginevyo heko chadema pamoko saaana