Kamati Kuu CHADEMA yawavua Uanachama Madiwani 5 walioingia muafaka Arusha

safi sana ......hiki ndicho nilichokitaka......wakafie mbali kabisa ....

kwa mtindo huu madiwani cdm wana kazi kwani maslahi ya chama kwanza siyo wananchi kama wabunge wa ccm vile enzi za makamba
 
Kamati kuu Chadema leo tarehe 7/8/2011 majira ya saa saba usiku imefikia maamuzi magumu baada ya kuwafuta uanachama madiwani wasaliti watano ambao ni kama ifuatvyo , John Bayo kata ya Elirai , Estomih Malah ( Kimandolu ) , Charles Mpanda (Kaloleni) na Rehema Mohamed wa viti maalumu. Hawa ni wale baadhi ya madiwani walioingia kihuni bila kufuata utaratibu wa Chama .<br />
<br />
Kutokana na uamuzi huu Tume ya Uchaguzi italazimika kupanga tarehe ya uchaguzi mdogo.
<br />
<br />
Kazi nzuri kamati kuu mmeweka msingi mzuri sana kwa maendeleo na mustakabali wa nidhamu ndani ya chama. Hao madiwani kama wangekuwa wabunge wangekivuruga zaidi chama. Wasio na nidhamu wote stahili yao ndo hiyo,tunasubiri kusikia shibuda naye amechinjiwa baharini.
 
Masikini CDM sifa zimewaponza wanaharibu ngome yao! Huo ndio mwanzo wa mwisho wa CHADEMA , just wait and see!
 
Masikini CDM sifa zimewaponza wanaharibu ngome yao! Huo ndio mwanzo wa mwisho wa CHADEMA , just wait and see!
<br />
<br />
Hilo ndo dua lenu magamba lakini chadema ni chama makini hakitoi siku tisini, wanachukua hatua mara moja. Nyie magamba mnwazia kushinda uchaguzi kwenye hizo kata nne lakini kwa chadema muhimu zaidi ni nidhamu na maslahi ya wengi kwanza. Subirini tu uchaguzi mdogo mtazipata salamu.
 
Masikini CDM sifa zimewaponza wanaharibu ngome yao! Huo ndio mwanzo wa mwisho wa CHADEMA , just wait and see!

Bila shaka wewe huishi Arusha ama sivyo ungejua kule CCM haipo. Kilichobakia ni propaganda za kina Nape kuonyesha kuna CCM.
 
Bora walivyochukua hayo maamuzi, jamaa waliombwa sana waombe msamaha lakini wapi,
Walitaka kujiona kua wao ni maarufu kuliko chama,
Wakimbilie hukohuko kwa wala rushwa wenzao
 
Kamati kuu Chadema leo tarehe 7/8/2011 majira ya saa saba usiku imefikia maamuzi magumu baada ya kuwafuta uanachama madiwani wasaliti watano ambao ni kama ifuatvyo , John Bayo kata ya Elirai , Estomih Malah ( Kimandolu ) , Charles Mpanda (Kaloleni) na Rehema Mohamed wa viti maalumu. Hawa ni wale baadhi ya madiwani walioingia kihuni bila kufuata utaratibu wa Chama .<br />
<br />
Kutokana na uamuzi huu Tume ya Uchaguzi italazimika kupanga tarehe ya uchaguzi mdogo.
<br />
<br />
Duh! Kazi ipo kweli kweli. Huyo Estomiah Malya mpuuzi sana, alizani hata toka teh!
 
Ingekuwa ccm wangeanza kuvuana magamba..! mara siku 60 mara eeh..! CDM hakuna kulemba dawa ni hiyo tu. Na huyo SHIBUDA akae mkao wa kunyolewa.

Wembe ni huo huo, waacheni wazee wa magamba wapeane siku 90, mara desemba... ikifika itakuwa march tungoje uchaguzi wa igunga.....!
 
What if wakienda mahakamani? Wanasheria tusaidieni...
<br />
<br />
Kwa akili ndogo ya Estomilah Mallya (kiongozi muasi wa madiwani) mahakama lazima. But huko atakuwa anajisumbua coz wamefukuzwa na chama, nawashauri waende magamba!
 
Kwanza huyo Bayo watu washamchoka. Mbabe na anatembea na wake za watu.Mmojawapo ni mwenyekiti wa mtaa pale Elerai. Wanachadema kwenye kata yake wamefurahi sana. Bahati mbaya hata yeye ameshaanza kugundua kuwa hauziki akiwa nje ya chadema. Nataka niwahakikishie wana jf, imani ya wana Arusha bado ipo juu kwa Chadema na sio kwa madiwani
 
Back
Top Bottom