M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Kamati kuu Chadema leo tarehe 7/8/2011 majira ya saa saba usiku imefikia maamuzi magumu baada ya kuwafuta uanachama madiwani wasaliti watano ambao ni kama ifuatvyo , John Bayo kata ya Elirai , Estomih Malah ( Kimandolu ) , Charles Mpanda (Kaloleni) na Rehema Mohamed wa viti maalumu. Hawa ni wale baadhi ya madiwani walioingia kihuni bila kufuata utaratibu wa Chama .
Kutokana na uamuzi huu Tume ya Uchaguzi italazimika kupanga tarehe ya uchaguzi mdogo.
what a bold move by chadema!
hii ni culture mpya kwenye siasa zetu....haswa ikizingatiwa kuwa kwenye siasa (za uchwara) QUANTITY ni zaidi kuliko QUALITY.