wee sema tu, nitapata sababu ya kukukatia ile huduma ya vochandio yule aliyekuwa anapaka mikaa kwenye macho eeh. ila wewe ulikuwa huelewi kwa sababu....................... niseme nisiseme?
Uchakachuzi klosed, bek to ze topikAtakayejaribu kuchakachua hii topic naripoti Abusie. Haki ya mungu. Topic yangu mmeitia najisi.
haki ya mungu naripoti abuse.
mwache alalae, mimi leo silali nina appointment na mtu humu.
Copy ya hiyo post tayari nimeifoward kwa mods.
Pole sana mkuu, yaani sredi akihuzuria husninyo basi ujue imekwisha, lakini usjali akikuwa waifu wangu nitamrekebishabek to ze topik wakati mmeshaitia najisi.
Pole sana mkuu, yaani sredi akihuzuria husninyo basi ujue imekwisha, lakini usjali akikuwa waifu wangu nitamrekebisha
Wallahi hata mimi naondoka karoho upande, kana mzuka kweli haka kasrediila haka kasredi katamu kuchakachua.
Umeanza lini kuimba tarabu?heeeeeeeeeeeee, babu wewe staki uchokozi wakooooooooooooooooo.
Wallahi hata mimi naondoka karoho upande, kana mzuka kweli haka kasredi
Umeanza lini kuimba tarabu?
bora umeondoka na usirudi tena. Umeinajisi sredi yangu vya kutosha.
bek to ze topik wakati mmeshaitia najisi.
mmeshainajisi sredi yangu, haina thamani tena.
mungu wangu, umerudi tena. We kalale, nakusihi kalale.