Mind you!Kuna watu huwa wananikera sana
1. Ukimuuliza swali badala ya kujibu naye anauliza swali.
2. Kujifanya kila kitu anajua.
3. Mchonganishi i.e mtu wa majungu hovyo.
Mimi wananiboa wale mtu uko serious unashusha manondo yeye anacheka tu, nimekumbana nao wengi sana kitaani na kazini wa dizaini hii .
Samtaimu tunaongelea maisha kabisa, mtu unampa mchongo unaona anacheka tuu, unamwambia niko serious anauchuna dakika 2 halaf anaanza tena upya.Klorokwini labda tatizo ni topic ambayo hua unaongelea.....
Kuna watu huwa wananikera sana
1. Ukimuuliza swali badala ya kujibu naye anauliza swali.
2. Kujifanya kila kitu anajua.
3. Mchonganishi i.e mtu wa majungu hovyo.
topic ya reproduction.
Samtaimu tunaongelea maisha kabisa, mtu unampa mchongo unaona anacheka tuu, unamwambia niko serious anauchuna dakika 2 halaf anaanza tena upya.
hehehe stop buffering, niko vere serious kwenye real life, huu ni uzembe wa audience tu na has nothing to do na michongo ninayowapa.Bana lazima kuna kitu una miss kusema.... Mchongo mtu acheke... (inanifanya nianze kukupiga picha the way ulivo....lol)
hehehe stop buffering, niko vere serious kwenye real life, huu ni uzembe wa audience tu na has nothing to do na michongo ninayowapa.
unazo tabia zote hapo juu?