klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Designed by: AshadiiNikwambie sifa za WACHAKACHUZI???
Be good Mkuu na Usiku mwema...
- Ni wachangiaji namba moja... anahakikisha kachangia kwanza ipasavo, ama ku-ignore kabisa tegemea na thread yenyewe maana ukitaka sifa za thread za kuchakachua hilo ni darasa lingine tena.
- Hua wanahakikisha wametambua kua hakuna jipya tena litakuja katika thread husika... (observe trend ya uzi wako utaona kua ilifika kikomo)
- Hua tunasoma alama toka kwa mwenye thread.... Kama katelekeza thread AU kama nae anachakachua... Wee you belong to the former, thread imechakachuliwa page tano unakuja lalama page ya sita baada ya wewe kuhusika pia...
- Tunasoma alama ya nyakati.... Kama hapa inabidi tuhame kihenge, maana stimu ya hapa ishakatwa hivo usiwe na wasi...
Approved by: Lawyer klorokwini
Unpresented approval: all wachakachuzi memberz
Fake witness: Husninyo
Copy reserved entitled: uchakachuzi rules
Ubarikiwe sana Ashadiii, halaf bring back my brain pliiz