MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Nadhani sasa hivi vibaka wa Arusha wataneemeka sana kipindi hiki.Sipati picha hapo Unga ltd na giza totoro jinsi panavyochimbika! Ngoja niwasiliane na Mganga mkuu wa Mt.Meru waongeze idadi ya nyuzi za kushonea majeraha maana vibaka wa Arusha bila kumwaga damu bado hawajakuibia.
Wakija kwangu usiku hawana bahati labda wanivizie njiani.