Kama upo ARUSHA hii inakuhusu

labda niwaulize, hao wakubwa wa Tanesco wanaishi wapi? kwao kuna umeme? na kama ni kuwakomoa Chadema, CCM kwao wana umeme? tukienda mbele tukirudi nyuma huu ni upumbavu usio na maana, Kikwete ajiuzulu, nchi imemshinda
 
sijui ndio maandalizi ya miaka 50 au watu wamchoka kazi ni aibu umeme kukatika kwa masaa 14 leo siku ya tatu wanafanya hivyo then wanategemea pato la mkoa na taifa liongezeke.aaah!!! Kwa stail hii itachukua miaka 50 ijayo kwa tanzania kuendelea.yani kama kuna adui mkubwa wa maendeleo basi ni taneso.
 
Kwa ufupi tunaomba wajitolee watu kama siyo Mh. G.Lema basi madiwani wetu ili wawatangazie wakazi wa maeneo yaliyoathirika kwa gari la matangazo ili woote twende pale Ofisi za TANESCO Mkoa tushinde hapo siku nzima tukiimba nyimbo za Ukombozi hadi pale tatizo la umeme litakapopatiwa ufumbuzi. Tunapoteza hata kile tulichokuwa tumetafuta na hiini kuongeza umaskini kwa kiwango ambacho hakijawahi onekana. wauza vinywaj baridi, wauza samaki , wafuga kuku, watu wa grills, saloon, saw mills na mashine za kusaga na kukoboa hawana mapato kabisa. Vijana waliojiajiri kurekodi nyimbo wanaocharge betri, mafundi electronics, mafundi nguo, wajaza upepo wa magari, carwash zoote hizi zinakufa na watu wanakosa ajira. Kitendo cha customer care kufanya mzaha kwa tatizo la umeme ni kudharau wananchi na inabidi tukapige kambi pale na wasitoke hata mmoja humo ndani na ikibidi wafundishwe adabu mpaka hapo watakapojua wanatakiwa watoe majibu na si ushuzi.
Mkuu! Naunga hoja mkono 100% tena ikiwezekana ianze mara moja. Shenziiii sanaaaa!!
 
jana walirudisha saa moja usiku saa tatu wakauchukua ndi mpk sasa....
 
Back
Top Bottom