Kama upo ARUSHA hii inakuhusu

dah, poleni sana ila natumaini kilio chenu kimewafikia wahusika kwani swala la mgao wa umeme lilishakwisha
 
ha ha ha,,mwana arachugan pole sana,, anyaway hata posta na simu ilikuwa hivi hivi leo kiko wapi??? so mi nadhani tanesco inakufa kimgandisho..lol
 
POleni xna!!!Maaana mgao km huo huku kwetu Dar joto akukaliki inatafika mwisho.Hakuna jambo lenye mwazo likakosa mwisho,s..
 
Kuna miradi ya wakubwa imeingizwa A-town, kama petroli na ma jenereta, kwa hiyo wakisha rudisha hela zao (mukisha nunua vyakutosha), mtarudishiwa umeme....lol...

naweza kukubali......
 
Ndugu zanguni Leo nimeongea na marafiki zangu Wa Tanesco hapa Arusha hawajui tatizo la kukatika Umeme ni nini wanasema wanajaribu kuwauliza madingi zao hawasemi chochote hivo hili ni janga la wanaarusha hiyo Siri wanaijua madingi Wa Tanesco Arusha Giza kuu lisilojulikana mwisho ni lini na tatizo ni nini.

Mumwi kuna thread tangu jana humu zaidi ya nne sasas zinazungumzia tatizo la umeme hapa Arusha. Kinachosikitisha ni kwamba majibu yanayotolewa na ofisi ya mkoa ya TANESCO yana utata mkubwa hivyo kuwafanya wananchi kubaki na hasira bila majibu. Customer care hawana majibu na Meneja TANESCO Mkoa ame relax.
 
Mbona hata huku Mbauda ndio tumesahau kabisa wanakata wanarudisha wanakata hakuna tena ratiba sasa hivi wamevimba wanaviburi kama nini ukipiga simu Tanesco utasikia ngoja tutarudi kwako ,maajabu kweli kama ni adhabu ya Kumchagua lema,sasa ndio watakosa hata mwenyekit mmoja wa mtaa manake wanachochea hasira zetu kweli,Serikali ya Magambo hovyoooooooooooooooooooooo,wamejaa ubishooooooooooooo tu
 
pande za kimandolu wanakata umeme saa 12 jioni then kurudisha ni sa 11alfajiri...inaboa kiukweli
 
pande za kimandolu wanakata umeme saa 12 jioni then kurudisha ni sa 11alfajiri...inaboa kiukweli

Mkuu naomba nikusahihishe hakuna siku umeme umerudi saa 11 alfajiri huku Kimandolu ; kwa mfano juzi ulikatika saa 12 jioni ukarudi jana saa 2. asubuhi. Jana jumatatu ukakatika saa 12 jioni ukarudi leo saa 12 asubuhi
 
Cku watu watandamana ndo nchi hii na viongozi wake wata wish they did something about these 'small' complaints.. Watu hawana ajira na vi-ajira vidogo vidogo walivyobuni ndo hivyo vina kuwa affected na hizi kero za umeme. Jamani mtu atakula wapi?? Tuseme mtu ana saloon yake, hapo ndo anategemea chakula, kodi (nyumba na kibanda), nauli, mavazi, ada ya watoto wawili, nk...sasa hapo unategemea nini kama c mauaji wajameni? Kila corner mtu amebanwa mpaka lini hizi kero???????? GGggrrrrrrrrr
Nchi zingine wanamaendeleo ya kufa lakini cc we are heading in the opposite direction, whats wrong with this country for God's sake?
ONE DAY.........
 
angalau wange toa taarifa basi tujue kutakuwa na mgao mpaka lini...

Hawa kutoa any PA(Public Announcement) kwa taarifa yenu hii inafanyika kinyemela tuuu kwa mwasiliano yao wananchi wasijue, Hapo ndipo ninapo waona TANESO wana sera za Si Ha Sa iliwashinda nini wao kutangaza Radioni kwani kuna tatizo tungewadai sasa si ndio wameongeza maneno kwa watu kuongea hiz sera za kusema coz mbune ni wa CDM ni ujinga mtupu hawa tanesco watuambie pesa zote wakusanyazo kwa malipo kutoka kwetu wanazifanyia nini? Je walikopesha kwa wanasiasa au?

Dawa hapa ni kuandamana wajue sasa wananchi wamechoshwa na uzembe wao walienda kusoma nini huko vyouoni na kwenda kwenye walsha kumesaidia nini kwa Taifa yaani hawa viongozi wa Tanesco ni either wana beba kundi la watu fulani au ni vibaraka wa watu fulani tuu kweli kiuajibikaji mtu unashindwa mweleza mteja wako alafu wacheka kwa kejeri jamani khaaaa hapo mjue kuwa serikali yetu haina ubavu na inahusika kwa hili bila ubishi na wananchi wakiandamana mnasema nchi yetu ya amani amani bila HAKI ulishaona wapi watanzani ni wastaarabu sana bali viongozi wetu ndio wakorofi kabisa na wasiopenda amani kabisa wala haki.
 
Mumwi kuna thread tangu jana humu zaidi ya nne sasas zinazungumzia tatizo la umeme hapa Arusha. Kinachosikitisha ni kwamba majibu yanayotolewa na ofisi ya mkoa ya TANESCO yana utata mkubwa hivyo kuwafanya wananchi kubaki na hasira bila majibu. Customer care hawana majibu na Meneja TANESCO Mkoa ame relax.

Nisha wahi sema Tanesco Mikoa Yote Customer Care au Support ni duni sana yaani katika mashirika amabayo yan service mbovu kwa kauli na utendaji Tanesco wanaongoza na ni Shirika Pekee Tanzania ambalo ni wananchi wenyewe wanaenda kulipa kodi kwa ihali yao sasa sielewi Mr.Mhando analitambua hili alafu mbaya zaidi Magazeti yetu sijayasikia yaki hoji watu wa Arusha au TV zetu kutua Arusha na kuuliza kulokoniiiii bali vyombo vyote vya Habari kimya nchi hiii sijui imekuwaje tena. Me namkumbuka Mwl.Nyerere sana tu alikuwa mchapakazi na akisema kitu viongozi wetu wanagwaya na kutekeleza faster lakini kipindi hiki duuuh viongozi wetu wanasema democrasia sijui kama kweli ni democrasia au unyonyaji live
 
ha ha ha,,mwana arachugan pole sana,, anyaway hata posta na simu ilikuwa hivi hivi leo kiko wapi??? so mi nadhani tanesco inakufa kimgandisho..lol
Mkubwa hujambo, aise chaliiii anguee huku umeme ni shida tu tangu Jumamosi....
 
wanasema kisa ni Arusha kuchagua Chadema.Tunakomolewa.

mmh.....inawezekana sababu ikawa hiyo eenh!?maana huku mbeya pia hali ni kama huko na sisi pia tulimchagua mheshimiwa sugu(cdm).labda kuna ukweli flani maana hata jk alivyopigwa mawe huko chunya mwaka 2009 tulikaa miezi karibu mitatu bila umeme kabisa!!
 
wanataka kuleta kampuni nyingine hivyo ni lazima tupigike wapate kisingizio,tanzania haina viongozi ni ufisadi na posho tu,watanzania wenzetu wataanza kutetea upuuzi huu watakapoingia hapa kutoa maoni yao.subirini wanakuja
 
Siyo Arusha tu,hii ni hujuma iliyopangwa ifanyike kwa mikoa yote ya kanda ya kaskazini,hebu ongea na watu wa Kilimanjaro wakupe habari!!
Pili kuna mdau ameninong'oneza eti umeme unaozalishwa ni megawats zaidi ya 700,megawats 400,nikwa Dsm pekee,zilizobakia nikwa mikoa iliyobakia.
Hapo napata swali jingine,hiyo kitu inaitwa SYMBION nini??
Jibu naambiwa...km naifaham vizuri RICHMOND+DOWANS=SYMBION
duh!!
 
Back
Top Bottom