Secret Star
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,708
- 1,553
Sawa je akili ni nini na iko wapi?haya nikujibu. anaubongo na akili.
Sawa je akili ni nini na iko wapi?haya nikujibu. anaubongo na akili.
Kiranga naomba usile kona leo tupo wote tu..Hujaweza kuthibitisha mungu yupo, ushakimbilia kudai ahadi zake thabiti?
Thibitisha kwamba yupo kwanza.
Nathibitisha uwepo wa mungu kwa yale yote aliyoniahidi, nimeyapata na kwa muda niliotaka.Hujaweza kuthibitisha mungu yupo, ushakimbilia kudai ahadi zake thabiti?
Thibitisha kwamba yupo kwanza.
Kati yako wewe ambaye kabla hujathibitisha mungu yupo usharukia ahadi zake thabiti, na mimi ninayekutaka uthibitishe yupo, nani anakula kona hapa?Kiranga naomba usile kona leo tupo wote tu..
Nimekujibu, jibu maswali swali langu nilinokuuliza vizuri na kwa ufasaha...Kati yako wewe ambaye kabla hujathibitisha mungu yupo usharukia ahadi zake thabiti, na mimi ninayekutaka uthibitishe yupo, nani anakula kona hapa?
Wewe kwa kuniambia nisile kona tu ushakula kona.
Umekula kona kulikimbia swali langu.
Unaweza kuthibitisha mungu yupo?
Nathibitisha uwepo wa mungu kwa yale yote aliyoniahidi, nimeyapata na kwa muda niliotaka.
Hujathibitisha mungu yupo.Nimekujibu, jibu maswali swali langu nilinokuuliza vizuri na kwa ufasaha...
Wale wote hawamfuati Mungu ninayemfuata MimiKuyapata uliyoyapata kwa muda uliotaka kunathibitishaje kwamba mungu yupo?
Na wale wanaotaka amani Syria na hawajapata amani kwa muda waliotaka kama walivyoahidiwa, hilo linathibitisha nini kama mungu anathibitika kwa watu kupata waliyoahidiwa kwa muda wanaotaka?
Ukiambiwa hatujui hilo jibu linathibitisha nini?Sawa je akili ni nini na iko wapi?
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kufanyika wakati mwanzo kabisa, kabla ya chochote kuwapo, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao ubaya hauwezekani kufanyika?Wale wote hawamfuati Mungu ninayemfuata Mimi
Kama hujui utawezaje kujibu kuwa gari na barabara vinarandana wakati hujui kama gari lipo?Ukiambiwa hatujui hilo jibu linathibitisha nini?
Linathibitisha kwamba mungu yupo?
Nani kakwambia mungu ana upendo wote?Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kufanyika wakati mwanzo kabisa, kabla ya chochote kuwapo, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao ubaya hauwezekani kufanyika?
Kama hujui utawezaje kujibu kuwa gari na barabara vinarandana wakati hujui kama gari lipo?
Mungu unayemuamini ni mungu gani?Nani kakwambia mungu ana upendo wote?
Kiranga ukipita mjini na kukutana na mtu mwenye shida ya pesa asipokuomba utampa au utapita na kwenda zako?Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kufanyika wakati mwanzo kabisa, kabla ya chochote kuwapo, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao ubaya hauwezekani kufanyika?
Jiwe lingenipaje kila kitu ninachotaka kwa muda na kwa wakati kiranga?Mungu unayemuamini ni mungu gani?
Isije kuwa nabishana na mtu anayeamini jiwe ni mungu.
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kufanyika wakati mwanzo kabisa, kabla ya chochote kuwapo, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao ubaya hauwezekani kufanyika?
Kiranga ukipita mjini na kukutana na mtu mwenye shida ya pesa asipokuomba utampa au utapita na kwenda zako?
kwa kupitia hilo swali haimanishi kwamba mungu yupo kwasaba ww umeuliza swali mtu anakili au ubongo?Sawa je akili ni nini na iko wapi?
Suala ya square root limekujaje kwenye swali la uwepo gari kwenye barabara?Napenda kutumia hesabu na logic, kwa sababu zinakata uongo mwingi.
Naweza kuwa sijui square root ya mbili ni nini, lakini nikajua si kumi.
Hilo unalielewa kwanza?