mair erasto
JF-Expert Member
- Jul 13, 2016
- 413
- 425
hilo jibu siwezi nikakupa leo ila wewe mwenyewe ipo siku utakuja kulipata.Akili ambazo hazina akili.ZIKO wapi?
hilo jibu siwezi nikakupa leo ila wewe mwenyewe ipo siku utakuja kulipata.Akili ambazo hazina akili.ZIKO wapi?
Unajuaje kwamba atakuja? Unajuaje yupo?Duh, subiri Mungu atakuja soon utamuona, naamini utafurah na ubish utakuisha we kiranga.
Akili ni nini?Mtu ana ubongo au ana akili?
Kiranga acha ubishi wako MWENYEZI MUNGU yupo.hilo jibu siwezi nikakupa leo ila wewe mwenyewe ipo siku utakuja kulipata.
Kiranga acha ubishi wako MWENYEZI MUNGU yupo.hilo jibu siwezi nikakupa leo ila wewe mwenyewe ipo siku utakuja kulipata.
Maswali ha msingi sana hayo na sikulaumu kwa kweli kwa hapa tulipofikia, ila suburi utakuja siku uhisi kuna kitu kimeingia duniani si cha kawaida! Mimi si mfuasi wa dini yoyote hapa chini ya jua ila ninaamini jambo ninalolijua..Unajuaje kwamba atakuja? Unajuaje yupo?
kama yupo inakuwaje sisi wengine hatumjui?Kiranga acha ubishi wako MWENYEZI MUNGU yupo.
Unawezaje kuamini jambo unalolijua?Maswali ha msingi sana hayo na sikulaumu kwa kweli kwa hapa tulipofikia, ila suburi utakuja siku uhisi kuna kitu kimeingia duniani si cha kawaida! Mimi si mfuasi wa dini yoyote hapa chini ya jua ila ninaamini jambo ninalolijua..
kwa hiyo mtu anafikiria na kujua jema na baya kupitia nini?Akili ni nini?
Na kwa nini swali hili liwe la au? Unafahamu ukiweka au kwenye swali kama hivyo unampa mtu achague kimoja na aache kingine, kwa nini umeweka au?
Haiwezekani mtu kuwa na ubongo na akili?
Hujanijibu maswali yangu unaongezea mengine juu?kwa hiyo mtu anafikiria na kujua jema na baya kupitia nini?
hilo swali ulivyo uliza unamaanisha nini?Mtu ana ubongo au ana akili?
Kutokumjua kwako sawa sawa na MTU asiyejua kusoma na anayejua kusoma.Kwaio anayejua kusoma inabidi amfundishe asiyejua kusoma ambaye ni wewe usiyemjua MWENYEZI MUNGU.Na nakuona mjinga kuamini kuwa kuna carbondioxide wakati hujawahi kuiona hata kuishika ilihali unajua IPO.kama yupo inakuwaje sisi wengine hatumjui?
Kuamini na kujua ni tofauti ila kuna ufanano, mf, ukisema kwa mwenzio "Najua nitafika hapo kwako kesho saa tano" ina maana una uhakika wa 100% kuwa utakuwepo saa 5,.. ikitokea bahati mbaya ukagongwa na gar njian kabla hujafika yule jamaa ako atashangaa kwann hajafika huyu mtu wakati alisema anajua, ila ukisema "Naamini nitafika hapo kwako kesho saa tano" unakuwa umeweka 50_50 kwamba ikitokea dharula uwe na la kusema, so mimi nimesema naamini na najua sababu aliniambia kuwa atakuja, so inaweza kutokea akaja kwa muda aliopanga au akawahi au akachelewa kutokana na sababu nyingi tofauti.Unawezaje kuamini jambo unalolijua?
Unafahamu kwamba kuamini na kujua ni vitu viwili tofauti?
Na kwamba, in context, unalolijua huwezi kuliamini, na unaloliamini hujalijua bado?
Mzee kaswali kadogo kama haka mpaka unauliza namaanisha nini! jibu mzee jibu tu akili au ubongo.hilo swali ulivyo uliza unamaanisha nini?
Kuamini na kujua ni tofauti ila kuna ufanano, mf, ukisema kwa mwenzio "Najua nitafika hapo kwako kesho saa tano" ina maana una uhakika wa 100% kuwa utakuwepo saa 5,.. ikitokea bahati mbaya ukagongwa na gar njian kabla hujafika yule jamaa ako atashangaa kwann hajafika huyu mtu wakati alisema anajua, ila ukisema "Naamini nitafika hapo kwako kesho saa tano" unakuwa umeweka 50_50 kwamba ikitokea dharula uwe na la kusema, so mimi nimesema naamini na najua sababu aliniambia kuwa atakuja, so inaweza kutokea akaja kwa muda aliopanga au akawahi au akachelewa kutokana na sababu nyingi tofauti.
Kwa nini iwe akili au ubongo?Mzee kaswali kadogo kama haka mpaka unauliza namaanisha nini! jibu mzee jibu tu akili au ubongo.
Nasema hivyo kwa mfano tu, ila tunamuongelea Mungu, ahadi yake thabiti, sio kama za kiranga.Utajuaje kitu ambacho hakijatokea bado?
Ukisema "Najua nitafika hapo kwako kesho saa tano" wakati hujui kama kesho utashikwa na homa, una tofauti gani na anayesema "Naamini nitafika hapo kwako kesho saa tano" ?
Hujaweza kuthibitisha mungu yupo, ushakimbilia kudai ahadi zake thabiti?Nasema hivyo kwa mfano tu, ila tunamuongelea Mungu, ahadi yake thabiti, sio kama za kiranga.
haya nikujibu. anaubongo na akili.Mzee kaswali kadogo kama haka mpaka unauliza namaanisha nini! jibu mzee jibu tu akili au ubongo.
Kama unakiri unatumia akili, je akili ni nini? Na iko wapiKwa nini iwe akili au ubongo?
Kwa nini swali liwe la au?
Unamuuliza mtu "Unatoka Kariakoo kwenda Ilala kwa kutumia gari au barabara?" wakati anatumia gari na barabara.
Akujibu vipi?