Kama mgimwa naye ndani ya kapu la mafisadi nani atabaki?

sammosses

JF-Expert Member
Jan 24, 2011
1,682
1,110
Hatari,hatari kubwa sana kwa serikali,bunge na hata mahakama!Ikiwa mwenyekiti wa kamati ya bunge ya viwanda na biashara kwenda kinyume na wajumbe wa kamati na bunge basi hiyo ni hatari kwa usalama wa nchi na mali zake. Kulikuwa na ulazima gani kwa mh.huyu kukubali mwaliko wa bodi ya menejimenti ya TBS kwenda nchini Japan na China wakati kamati ya hesabu za mashirika ya umma ilikwishituhumu TBS kupitia ripoti ya CAG.

Hali kama hii inaweza kuleta mtafaruku mkubwa kwa kamati teule za bunge na bunge lenyewe kutokuaminika mbele ya wananchi.KItendo hiki si kwamba kimelidhalilisha bunge na kamati zake bali pia kimemuondolea rais wetu umakini wa kuwateuwa mawaziri wake bila kuwachunguza.Pia nia aibu kwa chombo cha usalam kinachomsaidi rais na kumshauri aina ya wateule anaotakiwa kuwateua.

Hali imetia doa kwa serikali(power and authourity of appoint) na bunge letu pia.Ni mara nyingi wabunge na wajumbe wa kamati za bunge wameingia kwenye mitego kama hii huku wakijinasibu ni wapambanaji na wenye uchungu na watu wanaofisidi mali za umma.Ndiyo maana nachelea kusema kama mh.Mgimwa naye ameingia kwenye mtego huu basi nchi imekwisha.Kwani ni miongoni mwa watu walionyesha kutopenda kutumiwa kwa maslahi binafsi.

Kinachokera na kusikitisha ni kitendo cha kujaribu kumsafisha bwana Ekelege. Kwa jambo kama hili alilotenda mh huyu na kama kweli ni muumini wa utawala bora basi apime atuachie wizara yetu kabla hajaingiza taifa kwenye janga la uwizi kwa kuwalinda mchwa wasio na huruma na nchi hii.
 
Wakati nasoma nikadhani mimi ndo sijaelewa!!!
MAGAZETI YA UDAKU HUANDIKA HEADING NYINGINE NA HABARI NYINYINGINE KABISA
 
Unaonekana kama una jambo la maana sana la kutuambia, lkn bahati mbaya sana uandishi wako haueleweki. Tafadhali kaa chini utulie, halafu uiandike upya habari hii
 
Hatari,hatari kubwa sana kwa serikali,bunge na hata mahakama!Ikiwa mwenyekiti wa kamati ya bunge ya viwanda na biashara kwenda kinyume na wajumbe wa kamati na bunge basi hiyo ni hatari kwa usalama wa nchi na mali zake. Kulikuwa na ulazima gani kwa mh.huyu kukubali mwaliko wa bodi ya menejimenti ya TBS kwenda nchini Japan na China wakati kamati ya hesabu za mashirika ya umma.Hali kama hii inaweza kuleta mtafaruku mkubwa kwa kamati teule za bunge na bunge lenyewe kutokuaminika mbele ya wananchi.KItendo hiki si kwamba kimelidhalilisha bunge na kamati zake bali pia kimemuondolea rais wetu umakini wa kuwateuwa mawaziri wake bila kuwachunguza. Hali imetia doa kwa serikali(power and authourity of appoint) na bunge letu pia.Ni mara nyingi wabunge na wajumbe wa kamati za bunge wameingia kwenye mitego kama hii huku wakijinasibu ni wapambanaji na wenye uchungu na watu wanaofisidi mali za umma.Kinachokera na kusikitisha ni kitendo cha kujaribu kumsafisha bwana Ekelege. Kwa jambo kama hili alilotenda mh huyu na kama kweli ni muumini wa utawala bora basi apime atuachie wizara yetu kabla hajaingiza taifa kwenye janga la uwizi kwa kuwalinda mchwa wasio na huruma na nchi hii.

Mkuu umeandika kama vile una document umeatach watu waisome ndo waje wasome maelezo yako! Kwa maana nyingine umewaffle! Hebu tuambie unataka kuujulisha nini uma wa watanzania?
 
Mahmoud Mgimwa si mteule wa Rais bali ni mbunge wa Mufindi kasikazini na mwenyekiti wa kamati ya bunge ya biashara, viwanda na uwekezaji. Huyu ndiye alikwenda Japan na akina Ikerege wa TBS na aliporudi kaanza kumtetea lakini ilikuwa too late to catch the train kwani mgosi Dr Kigoda tayari alikuwa kishaamua nini la kufanya kuhusu Ikerege. Magazeti yameandika kuwa Mgimwa alikwenda ziara ya TBS kama mtu binafsi na si kama mbunge/mwenyekiti wa kamati ya bunge!! Hiki ni kichekesho cha mwaka kwanini hao TBS hawakumteua Sheikh Ponda kwenye safari yao? ni kwasababu Sheikh hana maslahi yoyote kwao lakini Mgimwa ana maslahi makubwa na ya wazi kwa TBS kwa nafasi yake ya uenyekiti wa kamati ya bunge. Kaenda safari kinyemela bila kibali cha spika eti ni ziara binafsi. Mhe Spika wajibibisha huyu mhuni. Nimepata habari huyu bwana Mahmoud Mgimwa ni kihiyo anatumia vyeti vya kughushi naendelea kufuatilia then nitakuja jamvini na taarifa kamili. Mteule wa Rais ni Dr William Mgimwa mbunge wa Karenga na waziri wa fedha.
 
Mahmoud Mgimwa si mteule wa Rais bali ni mbunge wa Mufindi kasikazini na mwenyekiti wa kamati ya bunge ya biashara, viwanda na uwekezaji. Huyu ndiye alikwenda Japan na akina Ikerege wa TBS na aliporudi kaanza kumtetea lakini ilikuwa too late to catch the train kwani mgosi Dr Kigoda tayari alikuwa kishaamua nini la kufanya kuhusu Ikerege. Magazeti yameandika kuwa Mgimwa alikwenda ziara ya TBS kama mtu binafsi na si kama mbunge/mwenyekiti wa kamati ya bunge!! Hiki ni kichekesho cha mwaka kwanini hao TBS hawakumteua Sheikh Ponda kwenye safari yao? ni kwasababu Sheikh hana maslahi yoyote kwao lakini Mgimwa ana maslahi makubwa na ya wazi kwa TBS kwa nafasi yake ya uenyekiti wa kamati ya bunge. Kaenda safari kinyemela bila kibali cha spika eti ni ziara binafsi. Mhe Spika wajibibisha huyu mhuni. Nimepata habari huyu bwana Mahmoud Mgimwa ni kihiyo anatumia vyeti vya kughushi naendelea kufuatilia then nitakuja jamvini na taarifa kamili. Mteule wa Rais ni Dr William Mgimwa mbunge wa Karenga na waziri wa fedha.

Veve Mwamunio unaonekana kama unahoja ya msingi lakini umetanguliza hulka yako!

Naamini waziri wa fedha ni Dr William Mgimwa na si Mahamoudu Mgimwa! (labda mimi ndie nakosea)!

Hebu tuliza mulkari kisha lete habari kwa undani! Hii hapa juu hujaweka kwa mizania halisi!

Kamwene be mnyakilambo!
 
Sorry JF members for misleading, the one was appointed by president was William Mgimwa and one who am talking to is Mohamoud Mgimwa.Kwa staili hii basi kuna haja ya mh.Spika kumchukua maelezo ya kina mwenyekiti huyu kwa kutumia kanuni na sheria za bunge kumsimamisha uenyekiti wa kamati ya bunge ya viwanda na biashara kisha taratibu zingine zifuate ili haki iweze kutendeka na kuwa fundisho kwa wabunge na wajumbe wengine wa kamati mbalimbali.
 
Sorry JF members for misleading, the one was appointed by president was William Mgimwa and one who am talking to is Mohamoud Mgimwa.Kwa staili hii basi kuna haja ya mh.Spika kumchukua maelezo ya kina mwenyekiti huyu kwa kutumia kanuni na sheria za bunge kumsimamisha uenyekiti wa kamati ya bunge ya viwanda na biashara kisha taratibu zingine zifuate ili haki iweze kutendeka na kuwa fundisho kwa wabunge na wajumbe wengine wa kamati mbalimbali.

Hapa kidogo nimeelewa,thanks.
 
Veve Mwamunio unaonekana kama unahoja ya msingi lakini umetanguliza hulka yako!

Naamini waziri wa fedha ni Dr William Mgimwa na si Mahamoudu Mgimwa! (labda mimi ndie nakosea)!

Hebu tuliza mulkari kisha lete habari kwa undani! Hii hapa juu hujaweka kwa mizania halisi!

Kamwene be mnyakilambo!

Be Sekirigi wiliga ndedado! lilefu vee! Dr William Mgimwa- waziri wa fedha na mbunge wa Karenga. Mahmoud Mgimwa - Mbunge wa Mufindi kasikazini na mwenyekiti wa kamati ya binge ya viwanda na biashara. Seyuva ino ukulwe, na matawa gaun'ya igo utije wi Nyerere we wisekirigi, sambi!!
 
Mgimwa aliyeenda huko na ekelge sio yule waziri wa fedhA majina tu yanafanana
 
Back
Top Bottom