Mwana Taaluma
JF-Expert Member
- Oct 21, 2019
- 537
- 1,180
Huyo she kafanyaje Tena mbona anatandikwa
Huyo she kafanyaje Tena mbona anatandikwa
Kama kungekuwa na uwezekano huo basi biblia zote zisingekuwa na neno sabato.Maana 90% ya wanaoitumia biblia hawaitaki amri ya nne ya kutunza sabatoMazee hivi unajua maana ya King James Bible?na Bible ambazo sio za king James?hakunaga Bible moja authentic...Bible zote zimeongezwa na kupunguzwa kulingana na wahusika walitaka nini
Hata huo moto wenyewe upo basiii???Hata haya mambo ya kutangazwa mtakatifu ni "mchongo", utakuta mtu yupo motoni ameungua kama mkaa ila katangazwa mtakatifu. Vatican ni serikali na Yesu hakuja kuanzisha serikali za kidunia. Kwa kutumia akili ya kawaida ukatoloki ni "mchongo".