Paddy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2010
- 463
- 308
Truth can be verified, that is why no reasonable person can doubt the message of the Bible. No argument can win against it.Dah we jamaa umeuliza knock out questions
Truth can be verified, that is why no reasonable person can doubt the message of the Bible. No argument can win against it.Dah we jamaa umeuliza knock out questions
Truth can be verified, that is why no reasonable person can doubt the message of the Bible. No argument can win against it.
...Yaani jambo la Mwaka 1919 linakusumbua Mwaka huu wa 2023, Ndugu yangu ???Mimi ni mkatoliki ila hili tukio la bikira maria kuwatokea watoto wa fatima kule ureno linafikirisha sana.
Kwanza mkuu wa kanisa katoliki yani papa ni Rais wa Vatican pia kama nchi kamili yenye kiti UN. Sasa tukio la kule ureno mwaka 1919 la bikira maria kuwatokea Lucia, Francis na Yasinta sio tukio la mchongo? Kwa maslahi mapana ya kanisa katoliki duniani?
Natambua tukio hili lilitokea Portugal na sio Vatican. Pia natambua mkataba wa Mussolini kuitambua Vatican kama nchi pale Roma Italy. Ila pia tutambue serikali zote duniani zina haya matukio ya kupangwa (staged). La fatima nahisi lilipangwa!
Padre Pio naye ni wa mchongo? Lourdes je? Kata ticket uende Portugal ukaangalie vielelezo viko vingi tu. Au vitafute vingine kwenye mitandao.
Kumbuka maneno ya St. Thomas Aquinas... "To the one who has no faith, no explanation is possible and to the one who has faith, no explanation is needed". "Mwenye imani hahitaji maelezo mengi yoyote, kwa asiye na imani hakuna maelezo yoyote yanayoweza kumtosha!"
Kuhoji ni mwanzo mzuri wa imani, Mungu akujalie imani thabiti.
Watu mpo obsessed Sana na mambo ya upinde hata Kama mada haihusu mambo hayo ....mnayapendea nini?Saizi Wana haha kuhalalisha upinde;
Kutokewa tu?Watu/"wafalme" wameenda mpaka mbinguni na kuongea na watakatifu wengi tu.Praise the Lord!🙏Nini kutokewa na Mama Maria bana, kuna manabii hapa Tanzania wanazungumza na Yesu mwenyewe, hususan Nabii Mkuu wa Arusha, Kuhani Musa na yule wa Efatha🙄
Mbona haiendani na alichokiandika?🤔🤔Wapi ktk biblia imeandikwa kuwa Bikira Maria alipaa mbinguni?
Nani alikuletea nyumbani kwako?Habari umezikuta nyarakani kama wengine.Na hauziamini.Ina maana hazikuhusu.Huna imani nazo,ziache!Haiwezekani watuletee story za kutunga zisizo kuwa na kichwa wala miguu hapa.
Povu la nini! Sema ni nani anamfahamu kwa sura bikira Maria hadi aseme katokewa naye?Nani alikuletea nyumbani kwako?Habari umezikuta nyarakani kama wengine.Na hauziamini.Ina maana hazikuhusu.Huna imani nazo,ziache!
Kama umesoma au kufuatilia hiyo habari ya Mama Maria kuwatokea hao vijana,usingeuliza swali kama hilo.Ina maana hujui unachokiuliza ila unataka majibu tu na ubishani.Povu la nini! Sema ni nani anamfahamu kwa sura bikira Maria hadi aseme katokewa naye?
Hili tukio limetokea kwenye community kubwa, lilianza kuwa maarufu mitaani na serikali ya huko ilikuwa haitaki Ukristo kuenea. Serikali ilitumia njia zote kuzuia hizi taarifa na kumuonya paroko wa eneo hilo kulifatilia. Paroko alipowaita watoto kuwahoji aliwaomba wasiendelee kulieneza ili Kanisa lisifungiwe na serikali!Mimi ni mkatoliki ila hili tukio la bikira maria kuwatokea watoto wa fatima kule ureno linafikirisha sana.
Kwanza mkuu wa kanisa katoliki yani papa ni Rais wa Vatican pia kama nchi kamili yenye kiti UN. Sasa tukio la kule ureno mwaka 1919 la bikira maria kuwatokea Lucia, Francis na Yasinta sio tukio la mchongo? Kwa maslahi mapana ya kanisa katoliki duniani?
Natambua tukio hili lilitokea Portugal na sio Vatican. Pia natambua mkataba wa Mussolini kuitambua Vatican kama nchi pale Roma Italy. Ila pia tutambue serikali zote duniani zina haya matukio ya kupangwa (staged). La fatima nahisi lilipangwa!
Amini unachotaka kuamini.Mimi ni mkatoliki ila hili tukio la bikira maria kuwatokea watoto wa fatima kule ureno linafikirisha sana.
Kwanza mkuu wa kanisa katoliki yani papa ni Rais wa Vatican pia kama nchi kamili yenye kiti UN. Sasa tukio la kule ureno mwaka 1919 la bikira maria kuwatokea Lucia, Francis na Yasinta sio tukio la mchongo? Kwa maslahi mapana ya kanisa katoliki duniani?
Natambua tukio hili lilitokea Portugal na sio Vatican. Pia natambua mkataba wa Mussolini kuitambua Vatican kama nchi pale Roma Italy. Ila pia tutambue serikali zote duniani zina haya matukio ya kupangwa (staged). La fatima nahisi lilipangwa!
Labda nikuulize ndugu yangu,inaonekana unauelewa mzuri kwenye mambo ya ukatoriki,Bikira Maria alikufa bila kuwa na mume na watoto yaani hakuzaa,au alizaa?Kama umesoma au kufuatilia hiyo habari ya Mama Maria kuwatokea hao vijana,usingeuliza swali kama hilo.Ina maana hujui unachokiuliza ila unataka majibu tu na ubishani.
NB:Hayo mambo siyo ya imani yako.Kama ambavyo uzi umeletwa kishari,ni vema ukajishikiza na kupenda kuyajua zaidi yakuhusuyo.
Safi, hivi ndivyo ninavyopenda... Twende kwa hoja! King James version ni moja ya tafsiri tu ambazo zinatofautiana na nyingine kwenye maana ya baadhi ya maneno. Je, ukweli unaweza potoshwa? Ndio inawezekana, hakuna sehemu ya maisha ya Binadamu ambayo shetani hajaingia. Ila sasa leta hoja ya kwamba jambo flani kwenye Biblia ni uongo ndio tuanzie hapo kujadili. Hakuna kitu kwenye Bible kinaweza pingwa kwa hoja kuwa ni uongo. Natural theology and philosophy can easily prove that.Mazee hivi unajua maana ya King James Bible?na Bible ambazo sio za king James?hakunaga Bible moja authentic...Bible zote zimeongezwa na kupunguzwa kulingana na wahusika walitaka nini
Yesu alizaliwa na nani?Labda nikuulize ndugu yangu,inaonekana unauelewa mzuri kwenye mambo ya ukatoriki,Bikira Maria alikufa bila kuwa na mume na watoto yaani hakuzaa,au alizaa?
Yesu alikuwa na wadogo zake?ina maana Yosefu alizaa naye?Yesu alizaliwa na nani?
Unapouliza wadogo zake unamaanisha nini?Wa kuzaliwa na mama mmoja au watoto wa ndugu zake wengine?Katika Biblia sijaona sehemu inaeleza hivyo kwamba Yesu alikuwa na ndugu wa tumbo moja.Yesu
Yesu alikuwa na wadogo zake?ina maana Yosefu alizaa naye?
Hawawezi kukujibu zaidi ya kukutolea povu tu,hakuna mtu anayejua Yesu au Mama yake wakoje hivyo mtu anapodai ametokewa anashangaza sana maana hata kama ni imani basi ni ya ajabu!Mimi naamini kipindi hicho kulikuwa na teknolojia ya kupiga picha?sasa huyo bikira Maria alikuwa mwafrika,mchina,Mzungu,Muarabu,au mreno?au alikuwa anafanana na yale masanamu yake yaliyokuwepo kabla yake hajatokea?