Kama 'First Lady' ndiye huyu, Zitto sahau urais kabisa!

eumb

Senior Member
Apr 2, 2012
149
70
Duh First Lady mtarajiwa, kaazi kweli kweli!!!

SAM_4088.JPG
 
Vijana mbona mnatumia hili jukwaa kirahisi rahisi hivi? yani wenzenu enzi zile naingia jamiiforums nilikuwa najiona miongoni mwa Great Thinkers maana nilikuwa najifunza mambo ambayo katika ndoto zangu yalikuwa yanapata hamasa na majibu ya niliyokuwa siyajui, kiukweli ilinijenga na nikajikita katika siasa kwelikweli kupitia hili jukwaa kwani tuliweza kujenga hoja madhubuti na zenye tija.

angalizo nawapa nyinyi wajumbe wapya, fanyeni mlitumie hili jukwaa kwa nia ya kujifunza vitu na kuitambua siasa ya nchi yako kupitia hili jukwaa na achana kabisa na hizo habari za udaku ambazo mtoa mada umekuja nazo.
 
Miezi ya nyuma nilileta hii mada hapa jukwaani lakini kwa bahati mbaya MODs waliinyofoa dakika 20 baada ya kuiweka. Sina budi kurudisha hii mada baada ya sakata la Zitto Kabwe, Nassari, Halima Mdee pamoja na gazeti la Mwananchi. Kwa muda wa miaka kadhaa sasa, nimekuwa katika tasnia ya habari na lazima nikiri kwamba mengine yanayofanyika katika hii tasnia ni ya kukatiza moyo hasa kazi za wanahabari zinapoingiliwa na wanasiasa. Kwetu sisi wanawake inakuwa ni vigumu sana kukataa kutii haya maagizo ambayo mengine unaona kabisa ni za vitisho

Zitto Kabwe, January Makamba, Bernard Membe na hata Ngeleja kwa siku za nyuma alishiriki sana katika kuingilia kazi za waandishi. Kinara wao akiwa Zitto January na Membe. Hawa viongozi hasa Zitto wamezoea sana kujiandikia makala na hata habari kisha kumlazimisha mwandishi kuzichapisha ukurasa wa mbele kwa gharama yoyote ile. Wanatoa hela nyingi sana kwa waandishi na wahariri. Mbaya zaidi ni kwamba hawa viongozi wanajitengenezea kashfa au kutoka ndani ya vyama vyao.

Matokeo yake kesho wanaitisha waandishi tena kukanusha (kashfa) zao za kujipikia wakati ni wao ndio chanzo cha hizo habari. Lengo lao kubwa ni kutafuta huruma kutoka kwa umma wa kitanzania kwa vitu ambavyo havipo.

Kinachonishangaza ni kwa nini mtu ajichafue kwa kujitengenezea kashfa maadui feki ndani ya chama chake heti ndio wanaomchafua kumbe ni yeye mwenyewe alafu kesho yake akane hizo taarifa? Nadhani tunaelekea kubaya hawa watu wakiendelea nah ii tabia. Moja ya habari hizi ni zile zinazomlaumu Mbowe kam mtazikumbuka..

nawakilisha
 
Vijana mbona mnatumia hili jukwaa kirahisi rahisi hivi? yani wenzenu enzi zile naingia jamiiforums nilikuwa najiona miongoni mwa Great Thinkers maana nilikuwa najifunza mambo ambayo katika ndoto zangu yalikuwa yanapata hamasa na majibu ya niliyokuwa siyajui, kiukweli ilinijenga na nikajikita katika siasa kwelikweli kupitia hili jukwaa kwani tuliweza kujenga hoja madhubuti na zenye tija.

angalizo nawapa nyinyi wajumbe wapya, fanyeni mlitumie hili jukwaa kwa nia ya kujifunza vitu na kuitambua siasa ya nchi yako kupitia hili jukwaa na achana kabisa na hizo habari za udaku ambazo mtoa mada umekuja nazo.

Nilidhani wewe umejiunga jf enzi ya Jambo forums kumbe na wewe ni wa jana tu afu unajifanya wa mwaka 47. Watoto wengine bana.
 
Vijana mbona mnatumia hili jukwaa kirahisi rahisi hivi? yani wenzenu enzi zile naingia jamiiforums nilikuwa najiona miongoni mwa Great Thinkers maana nilikuwa najifunza mambo ambayo katika ndoto zangu yalikuwa yanapata hamasa na majibu ya niliyokuwa siyajui, kiukweli ilinijenga na nikajikita katika siasa kwelikweli kupitia hili jukwaa kwani tuliweza kujenga hoja madhubuti na zenye tija.

angalizo nawapa nyinyi wajumbe wapya, fanyeni mlitumie hili jukwaa kwa nia ya kujifunza vitu na kuitambua siasa ya nchi yako kupitia hili jukwaa na achana kabisa na hizo habari za udaku ambazo mtoa mada umekuja nazo.

mkuu umeongea vyema kabisa.
 
Ingawa yaliyoripotiwa yamokwenye gazeti la udaku, Zitto anazidi kujishushia heshima kwa kujiingiza kwenye makundi ya watu wachafu kitabia ambao hawana lolote la kutoa kwa jamii zaidi ya kumomonyoa maadili. Hicho kisichana alicho nacho mbona kwa mtu wa aina ya Zitto ni cha kuogopa kama ukoma. Sikumbuki kumuona Mwalimu Nyerere akipiga picha na watu wanaotia shaka hata kama walikuwa na mashabiki nchini. Wema ni alama ya ulimbukeni, ukahaba, ujinga na upofu. Kwa mwanasiasa makini alipaswa kuepuka viumbe kama Wema ambao hakika si wema bali balaa. Wema ni saizi ya malimbukeni wenzake wajiitao masupa staa wakati ni masupa balaa.
 
Ingawa yaliyoripotiwa yamokwenye gazeti la udaku, Zitto anazidi kujishushia heshima kwa kujiingiza kwenye makundi ya watu wachafu kitabia ambao hawana lolote la kutoa kwa jamii zaidi ya kumomonyoa maadili. Hicho kisichana alicho nacho mbona kwa mtu wa aina ya Zitto ni cha kuogopa kama ukoma. Sikumbuki kumuona Mwalimu Nyerere akipiga picha na watu wanaotia shaka hata kama walikuwa na mashabiki nchini. Wema ni alama ya ulimbukeni, ukahaba, ujinga na upofu. Kwa mwanasiasa makini alipaswa kuepuka viumbe kama Wema ambao hakika si wema bali balaa. Wema ni saizi ya malimbukeni wenzake wajiitao masupa staa wakati ni masupa balaa.

punguzaa ukali wa maneno na umshukuru Mungu kama huna ndg hata mmoja ambae hujajikwaa..ina maana huyu dada anaukoma asijichanganye na watu? au huyo zitto wenu ni mungu? angekua smart na huo umri si angekua ameshaoa? mmezidi bwana.
 
Back
Top Bottom