Ndugu zangu napenda kuunga hoja ya Mheshimiwa Baba Askofu KAkobe kwani ni vyema mtukutumia haki yake ya kupiga kura amefanya vizuri kuwatangazia watu wa dhehebu lake kufanya ibada jumamosi maana nayo ni siku ambayo ni yya mapumziko hata mimi nilifikiri nifanye ipi kwanza maana wametuingilia kwenye siku ambayo ndio wakristo au waamini wa Kristo ndio wanakutana kumuomba Mungu wao hii ukiangalia kuna hila ndani yake kwani nini hakufanya jumatatu au siku za kazi au Ijumaa?lakini waamini na watanzania tupige kura na tuwachague wale wanaoweza kutuletea Maendeleo kuanzia maendeleo ya mtu wa chini hadi taifa kwa ujumla hatutaki wanaojiletea maendeleo ya watu wachache tu kama wanavyofanya viongozi wanotawala wa cCM hata baba wa taifa alionyesha Uwezo mzuri wa kiongozi bora anayejali taifa na si nafsi yake na ndio akatoa mfano wa rais wa marekani Kenedy alipochaguliwa aliwauliza watu usiseme Tanzania itakufanyia nini bali sisi Viongozi na Watanzania wote tuifanyie nini Tanzania kwa ajili ya maendeleo. Mungu ibariki TanzaniaSiamini kama hili ni swala la kutafuta umaarufu. alichokifanya ni sahihi sababu waumini wa makanisa yake wataamka wakijua siku hiyo kazi ni moja tu ya kupiga kura. kuliko wangetakiwa kuchagua waanze kipi kati ya kwenda kanisani na kwenda kituoni kupiga kura
Si wafuasi tu usiwasahau ndugu zao ni sawa na wafanyakazi laki 3 na nusu Kikwete alisahau kuwa wana watu wanaowategemea.Kakobe anazidi kuzihirisha kuwa ni askofu mwenye karama ya mfalme suleimani. Nakumbuka kile kisa cha wanawake wawili ambao mmoja wao alifiwa na mtoto. Kakobe anawafuasi kama 2M tanzania nzima najua watu hawatakubaliana na mimi!
Wakristo wa kweli hawapigi kura, maana vita yao si ya nyama wala damu, wala si ya dunia hii.
Siyo kuwa mpo naye chadema ila kwa mtu yeyote mpenda nchi yake atafanya hivyo!safi sana baba askofu kakobe
huyu tuko nae chama kimoja cha chadema
Tofautisha kauli ya Jeremiah Wright na ya Kakobe, Wright alikuwa anamchafua Obama.Wachagga walimharibia Mrema mwaka 1995 kwa kutaka kuchagua Rais wa kabila lao. Makanisa nayo yakijionyesha kwa staili hii ya Kakobe yatamharibia Dr Slaa. Ni vizuri Dr Slaa akalikemea hili. Nakumbuka hata Obama kuna mchungaji mmoja waliekuwa wanafahamiana vizuri alitaka kumtibulia. Obama alizikana kauli za mchungaji yule.
Sijui nina Imani haba?? Au nimeweka mawazo yangu kusiko?? Ninachoamini mimi Mgombea yeyote wa upinzani akishaanza kupigiwa mapambio ya sifa na Mtumishi huyu wa Bwana, ni kama anamtia GUNDU. Atapigwa gap refuuuuuuuuuu na mgombea wa CHAMA CHA MAJIZI hadi tushangae!!!!!safi sana baba askofu kakobe
huyu tuko nae chama kimoja cha chadema
I guess, unaundugu na yule shehe wa pale Mwembe chai jirani na BPWakristo wa kweli hawapigi kura, maana vita yao si ya nyama wala damu, wala si ya dunia hii.
kama huelewi ni vema ukatafuta kujifunza; jee unaoujasiri wa kumunyoshea kidole mtumishi wa Mungu! Kama unao ujasiri fahamu unamnyooshea kidole Mungu aliyekuumba na kukupa uhai mpaka sasa. Ninakushauri ujirekebishe.Jamaa anamatatizo yule, akisahaulika anatafuta popularity faster, amekaa kibiashara zaidi....
Mara hii mpaka kieleweka baba!!! Na bado. Siku hiyo makanisa yote yanafungwa. Tumeshtukia Mbinu zenu baba.
hili suala la kakobe kuwaruhusu waumini wake wakapige kura ni la maana sana hasa ukizingatia haki ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa. Lakini kwa kakobe kujifanya anampigia debe mgombea fulani ni tatizo. Kwanza si kwamba waumini wake woote wanaamini katika mgombea anayetaka kuwachagulia. Akumbuke anaongoza watu wa itikadi tofauti. Lakini pia undumi la kuwili wa jf ndio unaonekana hapa. Mwaka 2005, baadhi ya makanisa yalidiriki kusema kuwa jk ni chagua la mungu, hili limeonekana tatizo miaka yoote hii mitano na mjadala juu ya hili umekuwa ukiendelea. Lakini pia licha ya kuwa endorsed km chagua la mungu leo hii wengi wamekuwa wakilalama kuwa hakukidhi mahitaji ya watanzania walio wengi. Kwahiyo wakati fulani haya madebe ya hawa wanaojiita watumishi wa mungu yana walakini.
Pamoja na hayo, kwakuwa kakobe ameanza lazima counter attacks zitafuata kutoka kwa viongozi wa dini nyingine. Haki za kiraia wakati wa uchaguzi???? Hii ni kampeni.
Mchungaji Kakobe gunning for Mchungaji Slaa. Who is surprised? and shamelessly injecting udini along the way. If you can fool waumini wako and collect their money effortlessly, sio kwa wote WaTanzania.