Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Nadhani kuna watu wanafurahi Wakristo wengi wasipige kura, safari hii tumefanya juhudi nyingi; lakini NEC imeng'ang'ania, na hatuwezi kuacha kwenda kupiga kura kwani tunaweza kuchaguliwa kiongozi asiyefaa tukajutia kwa miaka mitano.
"Hivyo natangaza rasmi siku hiyo ya uchaguzi hakutakuwa na ibada katika makanisa yote ya FGBF, milango ya makanisa hayo siku hiyo ifungwe na ibada ya siku hiyo ifanyike siku ya Jumamosi," alisema askofu huyo.
"Hivyo natangaza rasmi siku hiyo ya uchaguzi hakutakuwa na ibada katika makanisa yote ya FGBF, milango ya makanisa hayo siku hiyo ifungwe na ibada ya siku hiyo ifanyike siku ya Jumamosi," alisema askofu huyo.