kama mtu anataka kupiga kura anaweza tuu, KKKT na RC wana misa nyingi sana (tatu nakuendelea) na kila misa haichukui zaidi ya masaa 2 na zinaanza 12 asubuhi, so kusali sio kigezo labda kwa hao wanaosali asubuhi mpaka jioni
Nadhani kuna watu wanafurahi Wakristo wengi wasipige kura, safari hii tumefanya juhudi nyingi; lakini NEC imeng'ang'ania, na hatuwezi kuacha kwenda kupiga kura kwani tunaweza kuchaguliwa kiongozi asiyefaa tukajutia kwa miaka mitano.
"Hivyo natangaza rasmi siku hiyo ya uchaguzi hakutakuwa na ibada katika makanisa yote ya FGBF, milango ya makanisa hayo siku hiyo ifungwe na ibada ya siku hiyo ifanyike siku ya Jumamosi," alisema askofu huyo.
Wakristo wa kweli hawapigi kura, maana vita yao si ya nyama wala damu, wala si ya dunia hii.
Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi leo kuwa Kakobe ametoa elimu ya uraia kali kabisa na kuna lines zimenifurahisha. Pia amefuta ibada za Jumapili ya tarehe 31 October kuwapa waumini wake nafasi ya kushiriki uchaguzi mkuu
Ukiangalia mahubiri hayo aliyoyaita elimu ya uraia, yanampigia kampeni mgombea wa Chadema. My advise kwa chadema, watumieni waumini wa Kakobe kuwa mawakala kwenye maeneo korofi ambayo ccm inataka kushinda kwa njia yoyote. Hao waumini wa Kakobe hawali rushwa hao. Sound funny lakini kwa jinsi ninavyosikia CCM wametenga billions of shillings kuwahonga mawakala wa upinzani vituoni ili kuchakachua kura. I think waumini wa kakobe ndio wanaweza kusimamia vizuri bila kuingilika kwa rushwa--Chekeni sana but ndivyo ninavyoona
i totally agree with you...not a lot of people will think this makes sense though.
Wakristo wa kweli hawapigi kura, maana vita yao si ya nyama wala damu, wala si ya dunia hii.
sorry pia and not biandugu umekosea, bia bible inasema yatiini mamlaka yaliopo duniani pia