The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,947
- 9,107
Mfanyiwe tuu kwani nyie hamkuwafanyia wenzenu? By the way Barabara kule Mara na Kagera zinajengwa mbonaKwahiyo wanakanda ya ziwa hawastahili barabara tena, mbona tunafanyiwa mambo ya hivi waambie ata sisi tunastahili kwani kipindi cha awamu ya tano, shy ilifaidika nini? Simiyu ilifaidika nini? Magu au kwimba basi pelekeni miradi ya barabara ata maeneneo hayo.