Kagoda: Ni Rostam

Huyu bwana tangia akwepue fedha za wizi wa EPA amekuwa na nyodo kama za Johnson Lukaza! amebadilika sana sio kama alivyokuwa TBL. sitoshangaa akijitosa kwenye kugombea ubunge wa Moshi, lakini sasa tunamfahamu kwamba ni mwizi tu, na hafai kabisa kwenye uongozi, lazima apingwe kwa nguvu zote na yeye afikishwe kizimbani na arudishe fedha za walalahoi.

MAFISADI WOTE hata kama na huyu Marreale, hawatabaki..wananchi tuwe macho na wakati wa kura, tuwazomee, heshima yao ktk jamii ishuke, wawe mavi na uvundo unukao, wasiingie katk uongozi ili kuendelesha ufisadi na ubinfasi wa matumbo yao.
 
EPA hiyo Mkuu BAK. Unashangaa ya Apson Mwang'onda? Ya Lukaza Je? Malegesi hata kama ana law firm but si ya kumpatia fedha kiasi nicho? Kuna siku Malegesi alikuwa anazungumza na jamaa mmoja nikasikia live akimwambia kuwa amenunua apartment for 3 bn. Wakati huo alikuwa na Apartments nyingine tayari!!! Ameanza ufisadi siku nyingi sana. Hivi ile kesi ya Lukaza ya Wizi Mwanzasi na Malegisi anahusika? Hawa ni friends kutokana na dili zao. Kunguru mweupe huruka na Kunguru mweupe? Mifisadi yote utajiri wao ni wa kutatanisha. Eti wanajidai wanakopa benki, waongo hawa. Riba wataziweza? Sasa tuone jinsi wengi wao wataaanza kuporomoka kibiashara. Yangu macho.

Hii tunaita danganya toto unajua 3 bn sawa na approx $3 million hii ni pesa ya kununua proper house sio apartment
Huyo Mramba na kuiba kote kule 2.9 bn zimemtoa kamasi
 
Hii tunaita danganya toto unajua 3 bn sawa na approx $3 million hii ni pesa ya kununua proper house sio apartment
Huyo Mramba na kuiba kote kule 2.9 bn zimemtoa kamasi

hiyo bilioni 2.9 kwa fisadi ni hela ndogo sana, lakini akijidhamini atakuwa anatoa proof nyingine kuwa kweli yeye ana njia za kupata hizo senti ambazo si halali. Unashangaa kwanini kununua apartment kwa dola milioni tatu? Unajua kuwa pesa iliyotumika kujenga twin towers inaweza kujenga kama zile mbili au na zaidi? kwa hiyo kununua apartment kwa hela hiyo kunawezekana as well.
 
Mengine siyajui, lakini ninachojua kwa hakika ni kuwa kama Mwalimu angekuwa hai mwaka 2000, Mkapa asingepata kipindi kingine cha miaka mitano na kuna uwezekano mkubwa angeikimbia nchi. Heko MKJJ na cheche izidi kutema cheche za moto ziwachome hao manyang'au hadi wawe majivu.

Ukumbuke vilevilekuwa mwalimu angekuwa hai wizi huu usingefikia hatua hii. Mwalimu asingeweza kuvumilia ujinga huu kwa muda mrefu kama tulivyovumilia. Mwalimu alikuwa na upungufu wake as human being, lakini Lowassa hakumchekea alibwatuka waziwazi kukemea ufisadi, Hawa wengine i am sure asingevumilia. Hata angekuwepo Mzee Karume kungekuwa hakuna EPA and alike. Thank God sasa tunaona kuwa baba ametuacha inabidi tushughulike mambo wenyewe.
 
Revealed: Govt launches fresh probe into Kagoda

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

GOVERNMENT detectives have launched a new investigation into the hugely controversial Kagoda Agriculture Limited company, which has thus far eluded a dragnet that has led to the prosecution of 20 suspects over the Bank of Tanzania's external payment arrears (EPA) account scandal.

According to latest THISDAY findings, the fresh probe is already underway, with authorities now trying to pin down the elusive beneficiaries of more than 40bn/- stolen from the BoT through fraudulent payments made to Kagoda.

The new investigation comes fresh on the heels of the previous probe carried out by the EPA task force led by Attorney General Johnson Mwanyika.

At least two well-known businessmen have been linked to the Kagoda company. Surprisingly, neither has ever been formally treated as suspects by government investigators.

''The new Kagoda probe has begun from scratch and may finally expose the powerful forces behind the company,'' said a source close to the investigation.


It is understood that police detectives are to revisit the state-run Business Registration and Licensing Authority (BRELA) to scrutinize the formative stages of the Kagoda company and proceed all the way to the point the firm received more than 40bn/- from the BoT using forged documents.

''Things are being done very quietly because of the sensitive nature of the Kagoda case, but I can assure you that a thorough investigation is well underway,'' he added.

Sources say Mwanyika's team had handed over Kagoda's dossier to the office of the Director of Public Prosecutions (DPP) along with other investigation files that have so far led to the prosecution of 20 suspects.

However, according to some reports, the DPP (Eliezer Feleshi) firmly concluded that the evidence gathered was insufficient and returned the Kagoda case file to authorities for further investigation.

Observers say failure to prosecute well known suspects behind the Kagoda company threatens to undermine the ongoing EPA trials at the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam.

''Without prosecuting the real heavyweights behind Kagoda, I am afraid that the high-profile EPA trials will ultimately degenerate into a big farce,'' a government lawyer told THISDAY.

Investigations by THISDAY have already established that Kagoda, which in late 2005 was paid nearly $30.8m (approx. 40bn/-) by BoT through the use of clearly forged documents, lists Plot Number 87 in the Kipawa industrial area in Temeke District on the outskirts of Dar es Salaam as its official office premises.

But despite a physical visit by THISDAY coupled with a series of inquiries at the Ministry of Lands, Housing and Human Settlement, the actual location of the company remains a mystery.

Although Kagoda's registered address is listed as plot number 87, Kipawa industrial area, there is no evidence that the firm ever carried out any business activities whatsoever apart from receiving billions of shillings from central bank coffers under dubious circumstances.

Sources in the financial sector say the 40bn/- paid to Kagoda was spread in a string of bank accounts opened by the company in almost all of CRDB Bank's extensive branch network in Dar es Salaam.

''The funds were shrewdly divided in different bank accounts in an attempt to avoid people raising suspicion,'' said a source in the banking industry.

Insiders say the Kagoda beneficiaries swiftly withdrew the funds from the company's bank accounts immediately after the payments were made by the BoT.

''Just a few months after Kagoda was formally registered, it received massive payments from the BoT. Then the funds were quickly withdrawn from the bank accounts and disappeared,'' said another source familiar with the EPA investigation.

He added: ''Kagoda was obviously a shell company, which was formed with the sole purpose of stealing massive amounts of money from the BoT.''

BRELA documents list the company's listed directors and shareholders as John Kyomuhendo (40 shares) and Francis William (60 shares), who both share the same postal address (PO Box 80154, Dar es Salaam).

Sources familiar with the whole, increasingly-messy issue say Kyomuhendo apparently used to work for a big construction company based in Dar es Salaam, which is owned by the main beneficiary of the illegal Kagoda funds.

Government records show that Kyomuhendo and Francis William registered the Kagoda company on September 29, 2005, with certificate of incorporation number 54040, an event witnessed by one Benjamin Mwang'onda who was described as an accountant with Khatco Management Limited.

It is widely known that Kyomuhendo and Francis William were used as a cover-up to camouflage the real beneficiaries of the funds stolen through Kagoda.

A Dar es Salaam lawyer, B.M. Sanze, signed all the forged Kagoda documents as an advocate and notary public & commissioner of oaths.

Investigators say the lawyer is a key person of interest as they sift through dozens of documents in their ongoing search for more evidence.

''Let's wait and see if the fresh probe ordered by the government will succeed where Mwanyika's team failed and expose the real culprits behind Kagoda,'' said another source.
 
Growing fears of deep cover-up linked to political, financial clout

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

WITH a fresh probe already underway into Kagoda Agriculture Limited, investigators are facing an increasingly arduous task in getting to the bottom of the truth behind the dubious company that siphoned more than 40bn/- from the Bank of Tanzania’s external payment arrears (EPA) account, it has been revealed.

Influential people linked to the shell company have so far managed to stifle any meaningful investigation into the firm, thanks to what is described as an intricate web of financial power and political clout.

Although there is overwhelming evidence of conspiracy, fraud and theft by Kagoda, which was first exposed by international auditors from Delloite & Touche and later confirmed via a special audit of the EPA account conducted by Ernst & Young, authorities are yet to file any criminal charges against the company’s promoters.

Well-placed sources say some well-connected members of the local business community, who were the real beneficiaries of the Kagoda funds, have so far managed to deploy their vast network of influence within the government to block the case from going to trial.

So far, prosecutors have filed criminal charges against a total of 20 suspects linked to the EPA embezzlement scandal, including high-profile businessmen Jeetu Patel and Johnson Lukaza.

However, the Kagoda case remains conspicuously missing from the ongoing EPA trials, despite the fact that the company was the single biggest recipient of the loot.

The web of influence wielded by the Kagoda tycoons is believed to have frustrated previous investigations by the EPA scandal probe team led by Attorney General Johnson Mwanyika.

It is understood that evidence gathered by the Mwanyika team failed to convince the Director of Public Prosecutions (DPP), Eliezer Feleshi, to give consent for prosecution of the Kagoda case.

As the new investigation into Kagoda begins, detectives are now expected to turn their attention to an industrial area on the outskirts of Dar es Salaam where the firm’s registered office premises was listed.

According to official government records, Kagoda named its registered office as Plot Number 87 in Kipawa industrial area, Temeke district, Dar es Salaam.

But there is a distinct possibility that this listed office location could be fictitious, much like everything else with this shell company.

Previous attempts by THISDAY to make a physical visit to Kagoda’s listed offices hit a stonewall, as Plot No. 87 could not be physically located nor pinpointed on a map.

One interesting lead that investigators are also in line to follow is the residential address of the company’s listed shareholders - John Kyomuhendo and Francis William.

Records at the Business Registration and Licensing Authority (BRELA) show that both Kyomuhendo and Francis William are residents of Kinondoni in Dar es Salaam.

Kyomuhendo, whose name appears in most of Kagoda’s documents, is said to reside in the Kinondoni Hananasif area, at a house located on plot number 51.

On the other hand, William’s residential address is listed as house/plot number 311313 in the same Kinondoni area.

Sources familiar with the EPA probe say most of the key evidence lies at CRDB Bank Plc, which was used by Kagoda to receive the embezzled funds.

Investigations by THISDAY have already established that Kagoda used a string of bank accounts from various CRDB bank branches in Dar es Salaam to receive payment of the Kagoda funds.

’’The big bosses at CRDB know exactly who withdrew the funds from the Kagoda bank accounts,’’ said another well-placed source.

’’Although banks are required to observe a confidentiality clause with their clients, they are supposed to give full disclosure to the police during criminal investigations,’’ the source added.

Insiders say Kyomuhendo submitted to CRDB Bank a legal document stating that he had transferred power of attorney to a certain individual, giving him (the individual) full authority over the company’s bank accounts.

’’There should be clear and unequivocal records at CRDB Bank showing exactly who withdrew the 40bn/- from Kagoda’s bank accounts. I can assure you neither John Kyomuhendo nor Francis William had access to the money once it was deposited by the BoT in Kagoda’s bank accounts,’’ said a source in the financial sector.

After a long holiday lull, public attention is expected to shift back to the Kisutu Resident Magistrate’s Court in Dar es Salaam from today to watch out for the next move in the EPA trials saga and other cases linked to the anti-grand corruption crusade.
 
Usanii Tanzania utaisha lini? Siwezi kuamini hata kidogo kwamba ati inawezekana kuunda Kampuni kama Kagoda Agriculture Ltd ikachota mahela mengi kama 40b kutoka Benki Kuu ya nchi hii bila hiyo Kampuni kujulikana ni ya nani. Intelligence wako wapi? Hii nchi haina mwenye kujua nani ni nani na ana nini? Tuache kudanganyana, Kagoda inajulikana vyema sana, kwanini ufanyike uchunguzi na ni nani anamchunguza nani? Bongo badi tupo kwene usanii wa ajabu.
 
Hii yote ya kutaka kufanya uchunguzi ni katika kutafuta njia ya kutafuna mapesa yetu kinjanja.

Wamiliki wa hiyo kampuni ya kagoda wanajulikana bayana, pesa zilitoka wapi inajulikana wazi, zilikwenda wapi inajulikana sasa kuna sababu gani kuunda tume ya kuchunguza na kutafuta ukweli ulio wazi?.
 
Mwandishi Wetu
Daily News; Friday,December 12, 2008 @21:15

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeonya upinzani usitumie Kampuni ya Kagoda Agriculture inayodaiwa kuchota bilioni 40 za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) kisiasa kukipaka chama hicho matope. CCM imesisitiza kwamba haina uhusiano wa aina yoyote ile na Kampuni ya Kagoda.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa John Chiligati alisema kuwa kumekuwa na jitihada za makusudi za kuhusisha Kampuni hiyo ya Kagoda na CCM jambo ambalo sio la kweli. Alisema madai ya hivi karibuni ya Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zitto Kabwe, kuwa Kampuni ya Kagoda ina uhusiano na CCM na isiposhughulikiwa itakuwa kaburi la chama hicho ni siasa chafu za kukitukana chama tawala.

Amesema mwendo huo si demokrasia kwani demokrasia ina mipaka yake hivyo ni muhimu kuichunga. "Kutokana na kauli hizo chama kinachukua nafasi kulieleza taifa kwamba Kampuni ya Kagoda haina uhusiano wa aina yoyote na CCM wala CCM hatuijui kampuni hii," alisema.

Chiligati alisema endapo kuna wanachama wa CCM ndani ya kampuni hiyo wanaotuhumiwa kuchota fedha kinyume cha sheria basi ifahamike kwamba watu hao watakuwa wametenda maovu hayo wao binafsi lakini siyo kwamba wametumwa na CCM. Alisema iwapo wanachama wa CCM wanaotuhumiwa kufanya vitendo vya wizi na ufisadi watabainika basi chama hicho kitawachukulia hatua kutokana na kuwa wamevunja maadili ya chama hicho.

"Sasa tumuachie Mkurugenzi wa Mashitaka na vyombo vya dola waendelee na upelelezi ambapo watajitetea na ikiwa itathibitika kuwa wametenda makosa hayo chama kitawachukulia hatua za kisheria," alisema. Chiligati alisema CCM tangu miaka ya nyuma na hadi sasa wamekuwa wakipiga vita vitendo vya wizi, rushwa, ufisadi na maovu ya aina yoyote.

"Vijana wadogo waliolelewa na CCM wamekuwa wakikipaka matope chama hiki na kuzusha mambo makubwa ya uongo kama haya jambo ambalo ni kujitafutia laana,"alisema. Alisema iwapo kuna wana-CCM wanaokiuka maadili hayo na kujiingiza katika vitendo vya wizi na rushwa wahukumiwe wao wenyewe binafsi bila ya kuhusishwa CCM yenye wanachama takribani milioni nne.

"Kuhusisha CCM ni kana kwamba wanachama hawa milioni nne ni wezi, hizi ni siasa chafu na hazijengi demokrasia bali zinavunja heshima na demokrasia," alisema.
Alisema vita dhidi ya wizi, rushwa na maovu mbalimbali vielekezwe kwa mtu mmoja mmoja na siyo kwa chama, kabila au dini na wala suala hilo lisivikwe sura ya kisiasa bali wamwachie DPP alishughulikie kwa mujibu wa sheria za nchi.
 
Ni wakati gani tutajua CCM na serikali yao wanasema ukweli?
Wamekuwa wakikanusha mambo mengi sana lakini yakibainika kuwa ni kweli wote wanaingia mitini na kujifanya si wasemaji.
Kwa hiyo Chiligati amejitoa Muhanga kuwa msemaji wa CCM kuhusu suala la Kagoda?

CCM haijawahi kulea kijana yeyote nje ya CCM kama ilivyowalea akina Kikwete yeye chiligati na Komandoo Salimin wa Zanzibar.
Kwa vile yeye na wenzie wakiwa vijana walikuwa wakila CCM, anadhani hata Zitto naye alikuwa akizengea mabaki ya wali baada ya Waheshimiwa kujichana huko CCM.

Ni afadhari angekaa kimya kuliko hivi afanyavyo anajikanyaga ile mbaya.

Kagoda ni kapuni hewa iliyoundwa na Wasanii wa CCM kwa niaba ya CCM na kwa manufaa ya CCM ili kujenga makakati wa KIYAKUZA wa kuchota Tani kadhaa za $$$Dola$$$$ toka BOT katika juhudi zao za mwisho kuendelea kujisimika madarakani kiundava.

CCM ina kichwa,mikono yote miwili, mguu yote miwili tumbo na hata makalio yote mawili kwenye ishu nzima ya Kagoda.

Huu ni ulimbo MH Chiligati, ulimbo ni ulimbo tu hata ukiwa Kepteni wa jeshi utanasa tu.
 
Mwandishi Wetu
Daily News; Friday,December 12, 2008 @21:15
...

Chiligati alisema endapo kuna wanachama wa CCM ndani ya kampuni hiyo wanaotuhumiwa kuchota fedha kinyume cha sheria basi ifahamike kwamba watu hao watakuwa wametenda maovu hayo wao binafsi lakini siyo kwamba wametumwa na CCM. Alisema iwapo wanachama wa CCM wanaotuhumiwa kufanya vitendo vya wizi na ufisadi watabainika basi chama hicho kitawachukulia hatua kutokana na kuwa wamevunja maadili ya chama hicho.
...

Inavyoonekana waliwashirikisha kwenye kuzitumia. Tena wakati wa kuzileta CCM mlikuwa mnafanya kwa nderemo na vifijo, mpaka kwenye luninga mnatu-ringishia. Leo huyu katoa milioni mia ngapi kwa uchaguzi wa huku, huyu katoa milioni miangapi uchaguzi wa kule, ....

Sasa as long as CCM haiwezi kuthibitisha kwamba haikuwatuma, watu watakuwa na wasiwasi mliwatuma. Mtajuta kuzitumia hizo!
 
mzee Kingunge alituambia hayo hayo lakini baadaye ikajathibitika kuwa alikuwa anaongopa, na inajulikana wazi kabisa kuwa kuna connection nzuri kati ya CCM na Kagoda, hapo hakikwepwi kitu kama mh Chiligati anataka kulinda heshima basi asiingie kwenye mkenge aliowekewa Kingunge. Siku hizi sio rahisi kudanya watanzania.
 
Huyu Chiligati anamaanisha nini kusema vijana wadogo waliolelewa na CCM? Huyu ndiye mwenye laana kwani anatetea chama ambacho kimehusika kwenye wizi wa pesa za walalahoi.

kuhusu suala la wanachama kuhusika,ameshaanza kujichanganya.Najua unataka kusema Rostam Aziz kaiba kivyake,you hust twist it left-Right,as you wish but at the end of the day utakua kwenye blust furnance
 
Mwandishi Wetu
Daily News; Friday,December 12, 2008 @21:15

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeonya upinzani usitumie Kampuni ya Kagoda Agriculture inayodaiwa kuchota bilioni 40 za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) kisiasa kukipaka chama hicho matope. CCM imesisitiza kwamba haina uhusiano wa aina yoyote ile na Kampuni ya Kagoda.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa John Chiligati alisema kuwa kumekuwa na jitihada za makusudi za kuhusisha Kampuni hiyo ya Kagoda na CCM jambo ambalo sio la kweli. Alisema madai ya hivi karibuni ya Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zitto Kabwe, kuwa Kampuni ya Kagoda ina uhusiano na CCM na isiposhughulikiwa itakuwa kaburi la chama hicho ni siasa chafu za kukitukana chama tawala.

Amesema mwendo huo si demokrasia kwani demokrasia ina mipaka yake hivyo ni muhimu kuichunga. "Kutokana na kauli hizo chama kinachukua nafasi kulieleza taifa kwamba Kampuni ya Kagoda haina uhusiano wa aina yoyote na CCM wala CCM hatuijui kampuni hii," alisema.

Chiligati alisema endapo kuna wanachama wa CCM ndani ya kampuni hiyo wanaotuhumiwa kuchota fedha kinyume cha sheria basi ifahamike kwamba watu hao watakuwa wametenda maovu hayo wao binafsi lakini siyo kwamba wametumwa na CCM. Alisema iwapo wanachama wa CCM wanaotuhumiwa kufanya vitendo vya wizi na ufisadi watabainika basi chama hicho kitawachukulia hatua kutokana na kuwa wamevunja maadili ya chama hicho.

"Sasa tumuachie Mkurugenzi wa Mashitaka na vyombo vya dola waendelee na upelelezi ambapo watajitetea na ikiwa itathibitika kuwa wametenda makosa hayo chama kitawachukulia hatua za kisheria," alisema. Chiligati alisema CCM tangu miaka ya nyuma na hadi sasa wamekuwa wakipiga vita vitendo vya wizi, rushwa, ufisadi na maovu ya aina yoyote.

"Vijana wadogo waliolelewa na CCM wamekuwa wakikipaka matope chama hiki na kuzusha mambo makubwa ya uongo kama haya jambo ambalo ni kujitafutia laana,"alisema. Alisema iwapo kuna wana-CCM wanaokiuka maadili hayo na kujiingiza katika vitendo vya wizi na rushwa wahukumiwe wao wenyewe binafsi bila ya kuhusishwa CCM yenye wanachama takribani milioni nne.

"Kuhusisha CCM ni kana kwamba wanachama hawa milioni nne ni wezi, hizi ni siasa chafu na hazijengi demokrasia bali zinavunja heshima na demokrasia," alisema.
Alisema vita dhidi ya wizi, rushwa na maovu mbalimbali vielekezwe kwa mtu mmoja mmoja na siyo kwa chama, kabila au dini na wala suala hilo lisivikwe sura ya kisiasa bali wamwachie DPP alishughulikie kwa mujibu wa sheria za nchi.


1. Kama vijana wadogo wamelelewa na ccm wakiona udhaifu wasiseme?
 
"Vijana wadogo waliolelewa na CCM wamekuwa wakikipaka matope chama hiki na kuzusha mambo makubwa ya uongo kama haya jambo ambalo ni kujitafutia laana,"alisema. Alisema iwapo kuna wana-CCM wanaokiuka maadili hayo na kujiingiza katika vitendo vya wizi na rushwa wahukumiwe wao wenyewe binafsi bila ya kuhusishwa CCM yenye wanachama takribani milioni nne.

Hiyo namba milioni nne sijui ina nini...Marekani waliwaachia huru watumwa weusi na idadi yao jumla ilikuwa milioni nne.
Back to the point....Wapenda demokrasia,Tanzania ina wananchi zaidi ya milioni thelathini...Lakini tunaambiwa asilimia 80 imechaguwa kiongozi wa nchi,kisaikolojia tunadhani ni asilimia 80 ya wananchi wamefanya hivyo.
Maneno hayo ya kusema vijana watapata laana ni maneno yanayoonyesha uchovu wa kifikra kwani uongozi ni dhamana.....Kiongozi kama Chiligati anapoamua kutumia maneno kama hayo basi ni wazi upande wa siasa umewashinda na sasa wanatumia mbinu za kisaikolojia dhidi ya watanzania ambao hata hivyo inaelekea wameshachoshwa.
 
"Vijana wadogo waliolelewa na CCM wamekuwa wakikipaka matope chama hiki na kuzusha mambo makubwa ya uongo kama haya jambo ambalo ni kujitafutia laana,"alisema

- Kwa kweli inasikitisha sana kama tuna viongozi wanaoweza kusema this kwenye public, hivi hili taifa tumemkosea nini Mungu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom