Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Kama Betrice shelukindo kawasilisha ushahidi wake na w/mkuu akaukubali, kwanini ushahidi hii wa waziwazi
Jakaya kikwete anakaa kimya kama hajui? Rostam Aziz ndo kagoda na ushahidi ulishaletwa hapa na Invisible
kwanini wabunge wetu wamekuwa vilaza bila yakuweka utaifa mbele? Hapo ndo nilikuwa namukumbuka Dr Slaa
akiingia bungeni mikoba wake umejaa mafile nda evidence za kushiba
NB: Mod naomba hii thread isiunganishe nataka wabunge watu kuwakumbushi hii kitu
Jakaya kikwete anakaa kimya kama hajui? Rostam Aziz ndo kagoda na ushahidi ulishaletwa hapa na Invisible
kwanini wabunge wetu wamekuwa vilaza bila yakuweka utaifa mbele? Hapo ndo nilikuwa namukumbuka Dr Slaa
akiingia bungeni mikoba wake umejaa mafile nda evidence za kushiba
Wakuu,
Tuliwahi kuweka doc moja hapa
https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/2670-bot-scandal-tulikotoka-tulipo-tunakoelekea.html
ambayo ilikuwa detailed kwa kina juu ya wahusika wote wa EPA na nahisi wengi hawakuigundua section hii. Sasa nimeonelea niziwasilishe katika mtiririko ambao hata ambao hawajajisajili wanaweza kuona wahusika hao na kujiuliza KWANINI hawajachukuliwa hatua. Au wamerejesha? Tutajuaje?
Wamiliki wa makampuni haya WANAFAHAMIKA! Tunaweza kuwataja hapahapa na hata mahala wanapoishi.
NB: Mod naomba hii thread isiunganishe nataka wabunge watu kuwakumbushi hii kitu