Kagoda: Ni Rostam

Nimeisoma cheche, hii kweli ni cheche, 'you have nailed it' right Mkijiji keep it up bro!

Naona sasa kelele za mlango mwenye nyumba usingizi lazima uishe tu!
 
Kuna habari nyingine zinaanza kutiririka taratibu sasa hivi.....

Mkuu M.M.M, mbona unataka tusirudi nyumbani leo manake imekuwa a very interesting and active day in JF..... Viva JF, Viva wapigania haki na usawa wote.......

Lete maneno Mkuu nasi tutazidi kuhabarisha jamii kwa hili swala zima la MAFISADI....
 
MKJJ, hongera kwa kuweka mambo waziiiiii....hi kopi ya cheche inawezaje kumfikia Eleazer Feleshi?? na Mwanyika?? na Hosea??

Maana si wanataka ushahidi na BRELA jalada limepotea, basi cheche iwajuze.

Leo JF pamekuwa mahali bora kabisa pa kujua ukweli wa kilicho nyuma ya pazia ya siasa za Tanzania.
 
Tumechoka na huu umafia,pia waziri mkuu bado namuheshimu sana lakini asinifanye nikafika mahali nikaanza kumchoka.Yeye nae amekua akihamasisha juu ya uvumilivu tu na kutishia kwamba hili likiwa hivi taifa liko hatarini mara vile,mbona anawajengea wananci hofu?


Nasema Watanzania kuna haja ya kupandisha hasira kama kipindi kile tulipochokozwa na Idd Amini,hasira zile zilikomesha uchokozi kutoka hata kwa nchi nyingine dhidi yetu.sasa kwenye hili suala la ufisadi na juu ya CCM tunahitaji kupisha ghadhabu zaidi ya hizo ili kukomesha kabisa huu unyonyaji
 
Sasa tuone basi kama watafungia na kijarida cha cheche,kweli moto unawamulika.

Kwanza kingunge nimemuacha sana,hiki kizee si ndicho kilichokua kikitishia wale wabunge mwiba wa CCM waliokua wanapambana na ufisadi.Kumbe kalijua moto utakakuta,sijui kana faida gani katika jamii hii.Serikali isije ikasema ati ni mzee wetu mwenye heshima katika taifa hili,Natangaza rasmi heshima kwa wazee kama hawa ni kurudisha taifa nyuma.CHA MSINGI HUYU anastahili kumalizia miaka yake iliyobaki gerezani
 
toleo15.jpg

Mwanakijiji hii ni kali, kweli hapa government presecutor umeshampa case.
 
Umefika wakati sasa wa kuiangalia upya hii UWT kwani dalili zote zinaashiria kwamba imegeuzwa Usalama wa Mafisadi.
 
Piga risasi tu huyu Kingunge. Hakuna mzee ninayemchukia with passion kama huyu. Let me get my g-n.
 
After reading Cheche, hisia nilizopata ni masikitiko yasiyo na kipimo. Nashangaa kwamba serikali inadai kujulikana kwa wamiliki wa Kagoda kutaleta machafuko nchini, is it because Mkapa alihusika? au kwa kuwa Apson Mwang'onda alihusika? Kufahamu kuhusika kwao hakujanipa wasiwasi wala woga wowote zaidi ya masikitiko ya kuona kwamba Rais wa nchi aliyechaguliwa na kula kiapo cha kulinda maslahi ya Taifa ndiye anaongoza kikao cha maharamia kwa kushirikiana na mkuu wa usalama wa taifa ili kupanga jinsi ya kuiibia nchi. This is just sickening, i'm about to puke.

And BTW, if all this started right after kifo cha Mwalimu Nyerere, can anyone argue that Mkapa didn't have motives za kutaka Mwalimu kuwa dead? Just thinking out loud (TOL).
 
After reading Cheche, hisia nilizopata ni masikitiko yasiyo na kipimo. Nashangaa kwamba serikali inadai kujulikana kwa wamiliki wa Kagoda kutaleta machafuko nchini, is it because Mkapa alihusika? au kwa kuwa Apson Mwang'onda alihusika? Kufahamu kuhusika kwao hakujanipa wasiwasi wala woga wowote zaidi ya masikitiko ya kuona kwamba Rais wa nchi aliyechaguliwa na kula kiapo cha kulinda maslahi ya Taifa ndiye anaongoza kikao cha maharamia kwa kushirikiana na mkuu wa usalama wa taifa ili kupanga jinsi ya kuiibia nchi. This is just sickening, i'm about to puke.

And BTW, if all this started right after kifo cha Mwalimu Nyerere, can anyone argue that Mkapa didn't have motives za kutaka Mwalimu kuwa dead? Just thinking out loud (TOL).

Mengine siyajui, lakini ninachojua kwa hakika ni kuwa kama Mwalimu angekuwa hai mwaka 2000, Mkapa asingepata kipindi kingine cha miaka mitano na kuna uwezekano mkubwa angeikimbia nchi. Heko MKJJ na cheche izidi kutema cheche za moto ziwachome hao manyang'au hadi wawe majivu.
 
Umefika wakati sasa wa kuiangalia upya hii UWT kwani dalili zote zinaashiria kwamba imegeuzwa Usalama wa Mafisadi.

Na huyu jamaa wakiendelea kumlazia damu na kumuacha aendelee kupeta uraiani atatoroka nchini kama yule fisadi wa Rada Vethalani.
 
Mwanakijiji hii ni kali, kweli hapa government presecutor umeshampa case.

Huyu Cornel Apson Mwang'onda miaka michache iliyopita alikuwa si tajiri kabisa ghafla tu akaibuka na kuwa na utajiri wa kutisha. Sijui mishahara ya huko UWT lakini haiwezekani mishahara ya huko na marupurupu ndiyo yalimfanya awe tajiri wa kupindukia katika kipindi kifupi. Je, utajiri huo wa kutisha aliuchuma vipi? Watanzania tungependa kufahamu.
 
Huyu Cornel Apson Mwang'onda miaka michache iliyopita alikuwa si tajiri kabisa ghafla tu akaibuka na kuwa na utajiri wa kutisha. Sijui mishahara ya huko UWT lakini haiwezekani mishahara ya huko na marupurupu ndiyo yalimfanya awe tajiri wa kupindukia katika kipindi kifupi. Je, utajiri huo wa kutisha aliuchuma vipi? Watanzania tungependa kufahamu.


EPA hiyo Mkuu BAK. Unashangaa ya Apson Mwang'onda? Ya Lukaza Je? Malegesi hata kama ana law firm but si ya kumpatia fedha kiasi nicho? Kuna siku Malegesi alikuwa anazungumza na jamaa mmoja nikasikia live akimwambia kuwa amenunua apartment for 3 bn. Wakati huo alikuwa na Apartments nyingine tayari!!! Ameanza ufisadi siku nyingi sana. Hivi ile kesi ya Lukaza ya Wizi Mwanzasi na Malegisi anahusika? Hawa ni friends kutokana na dili zao. Kunguru mweupe huruka na Kunguru mweupe? Mifisadi yote utajiri wao ni wa kutatanisha. Eti wanajidai wanakopa benki, waongo hawa. Riba wataziweza? Sasa tuone jinsi wengi wao wataaanza kuporomoka kibiashara. Yangu macho.
 
Well,

Ngoja tuziweke detailed:

1.
COMPANY NAME:
B.V Holdings Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


2.
COMPANY NAME: V & B Associates Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


3.
COMPANY NAME: Navy Cut Tobacco Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


4.
COMPANY NAME: New Mattalan Mining Company Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


5.
COMPANY NAME: Bora Hotel and Apartments Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


6.
COMPANY NAME: Noble Apartments Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


7.
COMPANY NAME: Noble Azania Industries

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


8.
COMPANY NAME: Ocean Side Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


9.
COMPANY NAME: Bencon Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


10.
COMPANY NAME: Ndovu Soaps Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


11.
COMPANY NAME: Bina Resorts Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


12.
COMPANY NAME: Venus Hotels Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


13.
COMPANY NAME: Njake Hotels Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


14.
COMPANY NAME: Money Planners and Consultants Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


15.
COMPANY NAME: Excellent Services Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


16.
COMPANY NAME: Mibale Farms Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


17.
COMPANY NAME: Liquidity Services Ltd

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


18.
COMPANY NAME: Meregesi Law Chambers

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


19.
COMPANY NAME: Clayton Marketing Ltd

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


20.
COMPANY NAME: M/s Rashtas Ltd

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?



21.
COMPANY NAME: Kiloloma and Brothers

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


22.
COMPANY NAME: Kiloloma and Brothers

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


23.
COMPANY NAME: G & T International

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


24.
COMPANY NAME: Kernel Ltd

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


25.
COMPANY NAME: Proin Estate Agents

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


26.
COMPANY NAME: Changanyikeni Residential Complex

Shareholders and Directors: Samson Mapunda & Jason Van De Merwe
Related Company: Samson Mapunda/ F.K Law Chambers

Office Location: F.K. Law Chambers - Ocean Road

Residence Address: Plot No. 397 Sinza New Intl. School


27.
COMPANY NAME: Executive Solutions Ltd

Shareholders and Directors: Aggrey Marealle & Duncan Stevens
Related Company: Duncan Stevens/F.K. Law Chambers

Office Location: F.K. Law Chambers - Ocean Road

Residence Address: Ocean Road


28.
COMPANY NAME: Executive Solutions Ltd

Shareholders and Directors: Aggrey Marealle & Duncan Stevens
Related Company: Duncan Stevens/F.K. Law Chambers

Office Location: F.K. Law Chambers - Ocean Road

Residence Address: Ocean Road


29.
COMPANY NAME: Kagoda Agriculture

Shareholders and Directors: Rostam Aziz

Related Company: Caspian Ltd

Office Location: Plot 77, Nyerere Road (Kipawa Industrial Area)

Residence Address: ?


Najsikia kama naumwa tumbo la kuharisha baada ya kuona Jina la Aggrey Mareale. Yaani huyu kijana ambaye inasemekana ni miongoni mwa wataojitosa kugombea Ubunge pale Moshi 2010 naye yumo! Yaani serikali inatuambia imeshindwa kumkamata? Siamini!

Hawa wengine De Merwe (Nadhani huyu ni Kaburu) mbona hajashitakiwa (au labda sijui kwa kuwa niko mbali). Nadhani pia amewahi kutajwa na Ndugu zake Balali kuwa ni shareholder na Balali katika kampuni mojawapo hapa nchini.

Huyu Mareges naye katajwa kakwapua mahela mengi (ni mmiliki wa kampuni nyingi zinazohusishwa na EPA) mbona naye hajakamtwa? Kulikoni.

Rostam tunamtarajia kizimbani wakti wowote na kama JK na serikali yake watashindwa kumsimamisha kzimbani hatutamwelewa kabisa bila kujali kile ambacho ameshanza kuwafanyia Mafisadi wengine.
 
Najsikia kama naumwa tumbo la kuharisha baada ya kuona Jina la Aggrey Mareale. Yaani huyu kijana ambaye inasemekana ni miongoni mwa wataojitosa kugombea Ubunge pale Moshi 2010 naye yumo! Yaani serikali inatuambia imeshindwa kumkamata? Siamini!

Huyu bwana tangia akwepue fedha za wizi wa EPA amekuwa na nyodo kama za Johnson Lukaza! amebadilika sana sio kama alivyokuwa TBL. sitoshangaa akijitosa kwenye kugombea ubunge wa Moshi, lakini sasa tunamfahamu kwamba ni mwizi tu, na hafai kabisa kwenye uongozi, lazima apingwe kwa nguvu zote na yeye afikishwe kizimbani na arudishe fedha za walalahoi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom