Coolhigh
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,338
- 1,221
Kwa upande mwingine namshukuru muumba kwa kuniepusha na nyinyi emu. Wakati ule wa JKT tulilazimishwa kujiunga na Umoja wa vijana na nilikuwa na kadi kwa huo mwaka lakini nahisi niliitupia quarter guard siku ya kutoka maana sijawahi kuiona kamwe tangu wakati huo. Sikuona na hata sasa sijaona mantiki ya kujiunga na chama cha siasa kwa TZ.