Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
ipeleke museum itakua adimu miaka michache ijayo!
Tuko maelfu kwa maelfu wanachama hai kabisa wa chama cha mapinduzi, lakini tumechoshwa kabisa jinsi chama kinavyozidi kutumbukia shimoni kila kukicha, tufanyeje? Na hizi kadi zetu tumeshazilipia hadi Dec.2011, tuzifanye nini? JK uenyekiti umemshinda, na Msekwa umri umesonga, Makamba ndio ucseme, naona tupangue sekretarieti nzima tuanze tena moja kama mwaka 1977, au wana ccm wenzangu mnasemaje? Tukidharau mwiba, guu litaota tende na wananchi wanazidi kuteseka. Viva ccm viva, ila ufisadi ni kansa na dawa ya kuutokomeza tunayo sisi wananchi!
Tuko maelfu kwa maelfu wanachama hai kabisa wa chama cha mapinduzi, lakini tumechoshwa kabisa jinsi chama kinavyozidi kutumbukia shimoni kila kukicha, tufanyeje? Na hizi kadi zetu tumeshazilipia hadi Dec.2011, tuzifanye nini? JK uenyekiti umemshinda, na Msekwa umri umesonga, Makamba ndio ucseme, naona tupangue sekretarieti nzima tuanze tena moja kama mwaka 1977, au wana ccm wenzangu mnasemaje? Tukidharau mwiba, guu litaota tende na wananchi wanazidi kuteseka. Viva ccm viva, ila ufisadi ni kansa na dawa ya kuutokomeza tunayo sisi wananchi!
kaka taratibu! unanivunjambavu mwenziooooooo!!!Jambo linaloniuma sana ndugu zangu ni kwamba hata viongozi wangu wa ccm ngazi ya kata wamekata tamaa kabisa, ukiwauliza msimamo wao wanasema uongozi wa juu umewatelekeza, halafu wanasema 'acha tu chadema wachukue'. Yaani tunakoelekea ccm cjui wapi, nisaidieni jamani!
kama una choo cha shimo nenda kachambie hiyo kadi yako.
ipeleke museum itakua adimu miaka michache ijayo!
Tuko maelfu kwa maelfu wanachama hai kabisa wa chama cha mapinduzi, lakini tumechoshwa kabisa jinsi chama kinavyozidi kutumbukia shimoni kila kukicha, tufanyeje? Na hizi kadi zetu tumeshazilipia hadi Dec.2011, tuzifanye nini? JK uenyekiti umemshinda, na Msekwa umri umesonga, Makamba ndio ucseme, naona tupangue sekretarieti nzima tuanze tena moja kama mwaka 1977, au wana ccm wenzangu mnasemaje? Tukidharau mwiba, guu litaota tende na wananchi wanazidi kuteseka. Viva ccm viva, ila ufisadi ni kansa na dawa ya kuutokomeza tunayo sisi wananchi!
Fanyeni mapinduzi ya uongozi ndani ya chama!
Alichokiongea Makamba kuhusu milango kuwa wazi kwa aliyeichoka ccm, mimi napingana naye kabisa, iweje sisi tupinge ufisadi ndani ya chama alafu mtendaji wetu mkuu atuambie milango iko wazi? Kwa nini actoke yeye? Go Makamba go....go JK go...mtuachie ccm yetu ili tuisafishe kama dhahabu inavyopita kwenye tanuru ya moto!