Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Hiyu ni kijana wa pili Muislamu kuuaua na CCM kwa ushirikiano na BAKWATA kwa sababu tu ya upenzi wao kwa CHADEMA. Kijana Muislamu wa kwanza kutwangwa risasi kama mnyama aliuliwa Arusha kwa sababu za kisiasa.
Sheikh Issa Ponda, hivi kweli hakuna taasisi nyingine yoyote huru ya kuweza kuwaunganisha na kuwatetea Waislamu wote nchini bila kujali itikadi zao za kisiasa kama ambavyo wafanyavyo hii taasisi ya CCM iitwayo BAKWATA????????
Sheikh Issa Ponda, hivi kweli hakuna taasisi nyingine yoyote huru ya kuweza kuwaunganisha na kuwatetea Waislamu wote nchini bila kujali itikadi zao za kisiasa kama ambavyo wafanyavyo hii taasisi ya CCM iitwayo BAKWATA????????