Tuheshimu Katiba. Uchaguzi Mkuu ufanyike 2026

Desprospero

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
887
2,201
Wajumbe, aliyekuwa Rais wa JMT Dk. John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/3/2021 hapo Mzena kisha Samia Suluhu Hassan kutangaza kifo chake saa 5:57 usiku "akiwa ziarani Tanga".

Baada ya hapo aliyekuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alitawazwa kuwa Rais wa JMT. Katiba yetu inaelekeza kuwa Rais atakuwa madarakani kwa miaka 5 (si minne wala sita) na kama atataka kugombea tena kwa awamu ya pili na ya mwisho basi ataomba ridhaa kwa chama chake.

Katiba imeweka bayana kuwa Rais ataacha Urais kwa (1) kufariki
(2) Kuumwa na kushindwa kutekeleza majukumu yake na (3) kwa kujiuzulu. Katiba haisemi kwamba Rais akipatwa na hayo matatu let's say ndani ya miaka minne basi atakayemrithi atamalizia awamu yake (marehemu).

Naamini hii ndiyo maana uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umetambuliwa kama Awamu ya Sita na si ya Tano. Kama ni hivyo basi, tutakuwa hatujamtendea haki Rais Samia Suluhu Hassan endapo tutafanya uchaguzi Mkuu Oktoba mwakani Jumapili ya mwisho maana haitokidhi matakwa ya Katiba ya miaka mitano madarakani.

Kwa hiyo tuheshimu Katiba na haki ya Samia tufanye uchaguzi mwezi machi 2026 siku aliyoapishwa. Ova!
 
Kwani Samia si alikuwa mgombea mwenza wa Magufuli?na walipoapishwa Magufuli kuwa Rais na Samia Makamu inamaana kipindi chao cha pili kilikuwa kiishe Oktoba 2025;baada ya Magufuli kufariki Samia anaapishwa kumalizia muda uliobaki wa Magufuli;sasa Machi 2026 umeitoa wapi?
 
Kwani Samia si alikuwa mgombea mwenza wa Magufuli?na walipoapishwa Magufuli kuwa Rais na Samia Makamu inamaana kipindi chao cha pili kilikuwa kiishe Oktoba 2025;baada ya Magufuli kufariki Samia anaapishwa kumalizia muda uliobaki wa Magufuli;sasa Machi 2026 umeitoa wapi?
Samia aligombea Uwenza ili hatimaye aje kuwa Makamu wa Rais si Rais. Samia hamalizii Awamu ya Jiwe mbona hamuelewi? Kwa nini ni AWAMU YA SITA? JPM alitawala awamu ya ngapi?
 
Wajumbe, aliyekuwa Rais wa JMT Dk. John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/3/2021 hapo Mzena kisha Samia Suluhu Hassan kutangaza kifo chake saa 5:57 usiku "akiwa ziarani Tanga".

Baada ya hapo aliyekuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alitawazwa kuwa Rais wa JMT. Katiba yetu inaelekeza kuwa Rais atakuwa madarakani kwa miaka 5 (si minne wala sita) na kama atataka kugombea tena kwa awamu ya pili na ya mwisho basi ataomba ridhaa kwa chama chake.

Katiba imeweka bayana kuwa Rais ataacha Urais kwa (1) kufariki
(2) Kuumwa na kushindwa kutekeleza majukumu yake na (3) kwa kujiuzulu. Katiba haisemi kwamba Rais akipatwa na hayo matatu let's say ndani ya miaka minne basi atakayemrithi atamalizia awamu yake (marehemu).

Naamini hii ndiyo maana uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umetambuliwa kama Awamu ya Sita na si ya Tano. Kama ni hivyo basi, tutakuwa hatujamtendea haki Rais Samia Suluhu Hassan endapo tutafanya uchaguzi Mkuu Oktoba mwakani Jumapili ya mwisho maana haitokidhi matakwa ya Katiba ya miaka mitano madarakani.

Kwa hiyo tuheshimu Katiba na haki ya Samia tufanye uchaguzi mwezi machi 2026 siku aliyoapishwa. Ova!
Huyo bibi wa kizanzibari tunatamani hata kesho muda wake uishe.
 
Wajumbe, aliyekuwa Rais wa JMT Dk. John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/3/2021 hapo Mzena kisha Samia Suluhu Hassan kutangaza kifo chake saa 5:57 usiku "akiwa ziarani Tanga".

Baada ya hapo aliyekuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alitawazwa kuwa Rais wa JMT. Katiba yetu inaelekeza kuwa Rais atakuwa madarakani kwa miaka 5 (si minne wala sita) na kama atataka kugombea tena kwa awamu ya pili na ya mwisho basi ataomba ridhaa kwa chama chake.

Katiba imeweka bayana kuwa Rais ataacha Urais kwa (1) kufariki
(2) Kuumwa na kushindwa kutekeleza majukumu yake na (3) kwa kujiuzulu. Katiba haisemi kwamba Rais akipatwa na hayo matatu let's say ndani ya miaka minne basi atakayemrithi atamalizia awamu yake (marehemu).

Naamini hii ndiyo maana uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umetambuliwa kama Awamu ya Sita na si ya Tano. Kama ni hivyo basi, tutakuwa hatujamtendea haki Rais Samia Suluhu Hassan endapo tutafanya uchaguzi Mkuu Oktoba mwakani Jumapili ya mwisho maana haitokidhi matakwa ya Katiba ya miaka mitano madarakani.

Kwa hiyo tuheshimu Katiba na haki ya Samia tufanye uchaguzi mwezi machi 2026 siku aliyoapishwa. Ova!
Sasa wewe ni mtaalamu wa Sheria kutafsiri hivyo , sasa hiyo iliyopo ya kusema uchaguzi ni kila baada ya miaka 5 ni batili.
 
Samia aligombea Uwenza ili hatimaye aje kuwa Makamu wa Rais si Rais. Samia hamalizii Awamu ya Jiwe mbona hamuelewi? Kwa nini ni AWAMU YA SITA? JPM alitawala awamu ya ngapi?
Hizo AWAMU zipo kwenye katiba? au ni vitu tu vya kujitungia, yaani hilo neno AWAMU limeandikwa kwenye katiba kuwa AWAMU ya kwanza itakuwa hivi na hivi na yapili .......
 
Hizo AWAMU zipo kwenye katiba? au ni vitu tu vya kujitungia, yaani hilo neno AWAMU limeandikwa kwenye katiba kuwa AWAMU ya kwanza itakuwa hivi na hivi na yapili .......
Tafuta Katiba u some ukomo wa Rais na majukumu yake.
 
Wajumbe, aliyekuwa Rais wa JMT Dk. John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/3/2021 hapo Mzena kisha Samia Suluhu Hassan kutangaza kifo chake saa 5:57 usiku "akiwa ziarani Tanga".

Baada ya hapo aliyekuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alitawazwa kuwa Rais wa JMT. Katiba yetu inaelekeza kuwa Rais atakuwa madarakani kwa miaka 5 (si minne wala sita) na kama atataka kugombea tena kwa awamu ya pili na ya mwisho basi ataomba ridhaa kwa chama chake.

Katiba imeweka bayana kuwa Rais ataacha Urais kwa (1) kufariki
(2) Kuumwa na kushindwa kutekeleza majukumu yake na (3) kwa kujiuzulu. Katiba haisemi kwamba Rais akipatwa na hayo matatu let's say ndani ya miaka minne basi atakayemrithi atamalizia awamu yake (marehemu).

Naamini hii ndiyo maana uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umetambuliwa kama Awamu ya Sita na si ya Tano. Kama ni hivyo basi, tutakuwa hatujamtendea haki Rais Samia Suluhu Hassan endapo tutafanya uchaguzi Mkuu Oktoba mwakani Jumapili ya mwisho maana haitokidhi matakwa ya Katiba ya miaka mitano madarakani.

Kwa hiyo tuheshimu Katiba na haki ya Samia tufanye uchaguzi mwezi machi 2026 siku aliyoapishwa. Ova!
Hiyo 2021 Samia aligombea na nani?
 
Wajumbe, aliyekuwa Rais wa JMT Dk. John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/3/2021 hapo Mzena kisha Samia Suluhu Hassan kutangaza kifo chake saa 5:57 usiku "akiwa ziarani Tanga".

Baada ya hapo aliyekuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alitawazwa kuwa Rais wa JMT. Katiba yetu inaelekeza kuwa Rais atakuwa madarakani kwa miaka 5 (si minne wala sita) na kama atataka kugombea tena kwa awamu ya pili na ya mwisho basi ataomba ridhaa kwa chama chake.

Katiba imeweka bayana kuwa Rais ataacha Urais kwa (1) kufariki
(2) Kuumwa na kushindwa kutekeleza majukumu yake na (3) kwa kujiuzulu. Katiba haisemi kwamba Rais akipatwa na hayo matatu let's say ndani ya miaka minne basi atakayemrithi atamalizia awamu yake (marehemu).

Naamini hii ndiyo maana uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umetambuliwa kama Awamu ya Sita na si ya Tano. Kama ni hivyo basi, tutakuwa hatujamtendea haki Rais Samia Suluhu Hassan endapo tutafanya uchaguzi Mkuu Oktoba mwakani Jumapili ya mwisho maana haitokidhi matakwa ya Katiba ya miaka mitano madarakani.

Kwa hiyo tuheshimu Katiba na haki ya Samia tufanye uchaguzi mwezi machi 2026 siku aliyoapishwa. Ova!
Urais wa Samia na Magufuli unaenda pamoja. Samia alikuwa ni backup wa Magufuli. Ndiyo maana alikuwa mgombea mwenza na kapigiwa kura kwenye uchaguzi wa rais kuwa makamu wa rais, ndiyo maana watu wanaosema Samia kawa rais bila kuchaguliwa hawana hoja.

Hivyo, kipindi ambacho Samia alichaguliwa kuwa makamu wa rais,na backup wa rais Magufuli atakayechukua urais Magufuli akifariki, kilianza 2020 na kinaisha 2025.

Hii dhana yako ni ndoto tu, uchaguzi utafanyika 2025.

Urais si mtu, urais ni taasisi.
 
Unahoja unapaswa kusikilizwa;
Mimi nimeshindwa kukukatalia kwa mujibu wa vifungu ulivyoweka pale mbele ila ukweli kuna mambo mawili yaliyoleta shida juu ya hili swala.

1. Samia suruhu hasani alikosea
kujitangazia awamu ya sita wakati bado tupo awamu ya tano ya Uraisi tukiwa na raisi wa sita wa taifa letu.

2. Katiba yetu ilikuwa na makosa makubwa sana kumpitisha makamu wa rais kushika wadhifa wa uraisi bila kupigiwa kura.

Kwangu mimi; twende kimzobe mzobe hivyo hivyo 2025 uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na Rais. Ukizua hoja hiyo kuna watu wanaweza kuanza kuipigia debe
 
Urais wa Samia na Magufuli unaenda pamoja. Samia alikuwa ni backup wa Magufuli. Ndiyo maana alikuwa mgombea mwenza na kapigiwa kura kwenye uchaguzi wa rais kuwa makamu wa rais, ndiyo maana watu wanaosema Samia kawa rais bila kuchaguliwa hawana hoja.

Hivyo, kipindi ambacho Samia alichaguliwa kuwa makamu wa rais,na backup wa rais Magufuli atakayechukua urais Magufuli akifariki, kilianza 2020 na kinaisha 2025.

Hii dhana yako ni ndoto tu, uchaguzi utafanyika 2025.

Urais si mtu, urais ni taasisi.
Samia hakuwahi kugombea Urais wala kuota kuwa Rais. Amekuwa Rais kwa mujibu wa Katiba. Ukihesabu kuwa huu ni Urais wa Magufuli (awamu ya 5) maana yake ni kwamba Samia atagombea Urais rasmi kwa mara ya kwanza 2025 na kwamba ili amalize awamu mbili kama Katiba inavyoeleza basi atagombea tena 2030 ili afike 2035 kwa mantiki kwamba miaka 4 aliyokaa madarakani ni "dash", Yani alimshikia Magufuli . Dhana nyepesi kabisa.
 
Unahoja unapaswa kusikilizwa;
Mimi nimeshindwa kukukatalia kwa mujibu wa vifungu ulivyoweka pale mbele ila ukweli kuna mambo mawili yaliyoleta shida juu ya hili swala.

1. Samia suruhu hasani alikosea
kujitangazia awamu ya sita wakati bado tupo awamu ya tano ya Uraisi tukiwa na raisi wa sita wa taifa letu.

2. Katiba yetu ilikuwa na makosa makubwa sana kumpitisha makamu wa rais kushika wadhifa wa uraisi bila kupigiwa kura.

Kwangu mimi; twende kimzobe mzobe hivyo hivyo 2025 uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na Rais. Ukizua hoja hiyo kuna watu wanaweza kuanza kuipigia debe
Mkuu kwa nini twende mzobe mzobe kubaka Katiba?
 
Samia hakuwahi kugombea Urais wala kuota kuwa Rais. Amekuwa Rais kwa mujibu wa Katiba. Ukihesabu kuwa huu ni Urais wa Magufuli (awamu ya 5) maana yake ni kwamba Samia atagombea Urais rasmi kwa mara ya kwanza 2025 na kwamba ili amalize awamu mbili kama Katiba inavyoeleza basi atagombea tena 2030 ili afike 2035 kwa mantiki kwamba miaka 4 aliyokaa madarakani ni "dash", Yani alimshikia Magufuli . Dhana nyepesi kabisa.
Kwa mujibu wa katiba yetu na sheria za uchaguzi, Samia atagombea urais mwaka 2025, huo ndio utakuwa uchaguzi wake wa mwisho kugombea urais kwa mujibu wa katiba hii, kugombea tena 2030 kwa katiba hii hawezi, labda abadilishe katiba.

Hata hili jambo lililowekwa wazi kwenye katiba hulijui?
 
Back
Top Bottom