Ngoiva Lewanga
Senior Member
- Aug 19, 2011
- 160
- 19
Hii habari itakuwa imeandikwa na Mzee Yusufu wa Jahazi Taarabu, imejaa mipasho
Nawe ni hewa kama baba yangu. Unafanya utani kwenye roho za watu.
Hii habari itakuwa imeandikwa na Mzee Yusufu wa Jahazi Taarabu, imejaa mipasho
Hapata Chimbika. Watanzania ni watu wa Sound tu,kwani uhuru tuliupata kwa sound,hatuna uwezo na hatuthubutu kufanya siasa za misuli kama kenya,Misri,Tunisia etc.Ok ok ok Kishongo, Hata kule Tunisia baada ya kifo cha yule kijana serikali ilipoona wananchi munkari umepanda ilisema PATACHIMBIKA. Na kweli palichimbika na majibu unayo. Usidanganywe na hao Polisi waliotanguliza vitambi mbele kama nguvu ya umma itaamua kuchukua nchi yao wataweza kuzuia lolote. MUNGU ainusuru CCM ili yasitokee hayo.
Duuu baba Riz na wenzake ni noma. RIP Kamanda!
Duuu baba Riz na wenzake ni noma. RIP Kamanda!
Kinachonisikitisha kwenye michango yetu hapa ni udhahili wamgawanyiko wa kisiasa katika tukio hili. Wale wanaofahamika kuwa pro CCM hapa JF hawaoni kuwa tukio la kuuwawa kijana huyo kuwa ni la kusikitisha. Wakati pro CDM wanasikitika na kuishutumu CCM na wako sahihi maana CDM walitoa taarifa Polisi kuhusu kupotea kwa marehemu. Hili halishangazi maana Polisi wetu hupagawa na kufanya kazi barabara pale CCM wanapotendewa.
Tukumbuke, sisi sote ni WaTZ hivi vyama haviondoi UTz wetu, uhai ni bora kuliko vyama
Hii kitu kwa kweli kimeniuma sanna, ngoja nihizime PC yangu mpaka kesho, sina hamu na uyu mdudu C.C.M
Bungeni wanaongeleaga swala la AMANI mpaka machozi yanawatoka, sasa wanafanya nini iki kwa kijana Mbwana.
Ole mnaojiita C.C.M, siku yenu itafika tu.
umeanza vizuri nkajua una akili kumbe nawe ni mwendawazimu!yan unaona hyo migawanyiko ni sahihi?upande mmoja kutokuonyesha concern huku wengine wakiwarushia lawama ni sahihi?nadhani ni vyema ukapige mswaki ndo uje apa jf.
Inawezekana cdm wamemua ili kupata public sympathy kama kawaida
Besides, I reserve my comments mpaka uchunguzi ufanyike..
Kwanini atolewe temeke aende mpaka igunga? wanatumika vijana very cheap
kama hawa jamaa wakishindwa kulaani mauaji lakini walilaaani sana la hijabu basi ndiyo utajua maana ya MASABURI ni nini!
Unafikiri kwa kutumia nchemba.Kiherehere chake cha kujifanya anajua haki kimemponza.
Mungu ailaze roho ya marehemu panapostahili.
Amen!
Mkuu, ndio maana haya majamaa nikikutana nayo jukwaa lolote lile yanajichekesha nayapa za pua tu!!Mkuu kinachonishangaza hapa ni kina Kishongo, Ritz, Topical et all kuona mauaji hayo kuwa si kitu kikubwa ati kwa kuwa tu Marehemu alikuwa wakala wa CDM. Hawaoni thamani ya uhai uliopezwa wala Utanzania wa marhemu, wanaona kivuli cha CDM tu.
Huyo aliyekubali kununuliwa na cdm (cheap amount) kwenda mpaka igunga na kuuliwa ili mpate public sympathy..
Ili mpate madaraka for you ill-intentions anahitaji elimu na kuondolewa upumbavu wake...
namsikitia zaidi kwakuwa hajui yeye ni muislam ni target group kwa cdm (kama walivyomfanya kwa hijab)
Vijana wanatumika vibaya[/QUOTE]
Lazima wewe nu mchawi.
Hawa lazima watakuwa CDM tu toka lini wakawa na mapenzi na Waislam? Wamemua Muislam bana