Kabla hawajatuletea madaktari, je hali ya maisha Iran ikoje?

sasa mimi napiga petition Ubalozi wa Iran watuletee hao madaktari

naona wanacheewa sijui kwa nini

Nadhani kuja kwao ndio mwanzo wa mafanikio yetu kwasababu hayo matatizo ya vifaa pengine ikawa solution kwetu na kupewa mashine za kileo.Watakapo kuja watawaeleza wakubwa wao mazingira jinsi yalivo mabaya na nini kinahitajika na serikali itaona aibu na kujituma.Si unajua mgeni njoo mwenyeji apone.
 
Wewe kweli Duduwasha hujui chochote kuhusu Jomhuri-ye Eslam-ye Iran...nimecheka eti Iran mafanikio yake kuna Waisrael wanawapa huduma zote ha haa haaa! JF sio sehemu ya porojo weke ushahidi hayo maneno yako!

Halafu Ahmedinajad ndani ya Iran hana sauti yoyote..unamjua Reza Shah, Kashafrud, Ganj Par, soma historia ya Iran au pita kule kwenye jukwaa la Great Thinkers Nguruv3 kawaelezea kidogo wa Iran.

Iran adui yake mkubwa ni Israel na hawalitambui taifa la Wasrael leo wewe unatuletea stori za kwenye vijiwe vya mbege eti mafanikio yao ni Wasrael, Nuclear program of Iran wameanza toka 1950, kazi kubwa wamefanya kina Ayatollah Khomein na wenzake.
Ushabiki wako wa kisisiemu unapeleka hadi kwa Persians Huwajui Wairan kinachowasaidia ni pesa zao za Mafuta wapo radhi kutumia kiasi chochote kuiba Technolojia na kuchukua watu watengenezee kwao au kwenda kusomesha watu kuna kesi kibao za raia wa israel waliokuwa wanawauzia silaa na technolojia wairan na ujue hii mizunguko ya biashara haiwezi kuisha kwani ma ajent ni wengi na wana kila njia za kufanikisha kwenu wakimbizi mbona wanapita na nie ccm hamjui hadi kikinuka mnabaki mnashangaa....

Taja chochote wanachotengezeza Wairan na mimi nikupe majibu walipotolea...

Jua kuwa Mashine zao nyingi wamenunua Ujerumani Wacha ushabiki kwa Kichama
 
Assuming that mawasiliano baina ya hao Iran doctors na watumishi wengine wa hospital itakuwa sio shida sana,Sasa je kila doctor atakuwa na mkalimani wake anapoongea na mgonjwa au itakuwaje
 
Ushabiki wako wa kisisiemu unapeleka hadi kwa Persians Huwajui Wairan kinachowasaidia ni pesa zao za Mafuta wapo radhi kutumia kiasi chochote kuiba Technolojia na kuchukua watu watengenezee kwao au kwenda kusomesha watu kuna kesi kibao za raia wa israel waliokuwa wanawauzia silaa na technolojia wairan na ujue hii mizunguko ya biashara haiwezi kuisha kwani ma ajent ni wengi na wana kila njia za kufanikisha kwenu wakimbizi mbona wanapita na nie ccm hamjui hadi kikinuka mnabaki mnashangaa....

Taja chochote wanachotengezeza Wairan na mimi nikupe majibu walipotolea...

Jua kuwa Mashine zao nyingi wamenunua Ujerumani Wacha ushabiki kwa Kichama

Hakuna ushabiki wa kichama nadhani wewe ndio unakimbilia huko hapa tunaiongelea Iran, wewe leta ushahidi wa maneno yako weka data na facts za kutosha sio maneno matupu JF sio sehemu ya porojo.

Mie takuwekea orodha ya mabingwa wa fani mbali mbali kutoka Iran...wewe hujui chochote unataka kujifunza kutoka kwangu unataka nikutajie ukimbilie kwenye google.

Haya tuanze na space center...Safir Rocket, Kavashgar Rocket.

Kabla atujendelea na mjadala na wewe taja hao majina ya hao wanaowasaidia Wairan.
 
Kama wa kwenu hawataki kufanya kazi na hawana huruma na watu wao bora wakutoka elsewhere katika dunia hii, nyie mmegoma acheni plan B ifanye kazi manake kujambishwa watu wamechoka. Mkatafute mtakapolipwa 7m, mmemwaga mboga subirini watu wamwage ugali na muwe zaidi ya wapole.
 
sasa hizo ICU za kwenu ambazo ventrator na ECG machine ni zakubeep tena za kichina mara zisome mara zikwame wataziweza wamezoea mazingira mazuri kama ulivyo onyesha kwa picha .
 
Acha ujinga weye? Nani kakuambia mauritania,na shanara magharibi,afghanistan(lab ya mabomu) wana umuhimu kwetu?Pia huo urafiki wa Iran wa kutugawanya kwa dini si urafiki.Nyie ndivyo mlivyo wamatumbi.Mgeni upe hifadhi halafu akutafunie watoto na mkeo/wakezo?

issue ya mafuta acha uzembe wewe?Mafunta hao vimeo hawayafanyii process, wenyewe mafuta safi wananunua.Na mafuta yapo dunia nzima.kila siku nchi kibao zinatangazwa kuwa na mafuta mengi.

Ubaya wa uchumi unatokana na uislam kwani ndio unaopokea rushwa sasa hivi, na polisi waliopo Kova na Mwema, rais na makamu si waislam , na aliyemuumiza dr. Uli na wengine si waislam na ripoti yao itakuja kiislam.Itaongozwa na sheria ya uislam ya kutomshitaki wala mwadhimu muislam akiua kafir.waislam ndio mnawakimbilia hao wateule wenu.

wala hawatutegemei sisi,hata kama wanategemea mazao ya ardhi kama tuliyoikalia , na bakuli ni kawaida ya serikali duni, ni sisku mtasikia jamaa alikuwa katk process ya kuwa full shoga.msome mistari .Jamaa kuchukua mazao ya ardhi tuliyoikalia haimaanishi kututugemea kwa lolote.

Hoja yako imekaa ki udini zaidi na huna hoja za msingi kwahio ni bora nisikufafanulie chochote ubakie na udini wako.
 
iran ina maneeo inafanya vizuri ila bado si nchi ya kuweza tushawishi tuache mrafiki wengine wenye maana na maendeleo.irani wasitufanye chambo wakati wamezidia,huku hawaheshimu ustawi wetu.ni vipi watake support kwa kutulazimisha kuchukiwa na mtaifa yote muhimu duniani, halafu bado watudhalilishe kwa kutuvuga ndani ya nchi kwa kuwafadhili uamsho na kufadhili waandishi duni wanaoeneza propaganda za kubadili historia yetu na kuandika historia isiyo.leo tuna watanzania wapuuzi wanatafuta watu wa dini yao katika kila chema cha nchi:sijui uhuru wa nchi, sijui mwanzilishi wa hospital ya muhimbili, etc.
kinachosumbua hapa ni legacy kuwa nao waonekane watu wao wanaweza infact hizi ni propaganda. Je kikwete atawalipa shnngapi ambazo anashindwa kuwapa madr. Waliopo. Udiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii harufu kali sana
 
Hoja yako imekaa ki udini zaidi na huna hoja za msingi kwahio ni bora nisikufafanulie chochote ubakie na udini wako.

Wewe mwenyewe unatetea kwa mitazamo iliyokaa kidini Zaidi ndio maana huoni hasara ya kujiunga na Michezo michafu ya Iran badala ya kukaa katika Jamii ya Kimataifa.

Udogo wa ubongo wako na kujiamini ndiko kunakufanya ujione kuwa upo very smart and fair.Sasa linapokuja suala la wewe kukosa cha kusema unajaribu jificha ktk sababu za kijinga kama hizi.

Sijui una ufafanuzi gani hapa zaidi ya kutaka nisikilize story zako ktk mitizamo kama ile ya mawaidha ambayo inawapeleka katika uovu.Unless una kichaa huwezi kubali kutetea Ujinga na propaganda za iran.Si bora hata tuchague kanchi km sweden na kukaita rafiki yetu pekee.
 
sasa kwa manesi kama hawa mtu utaacha kupona?

X00907543011.jpg


khordad_2th_meeting_4.jpg



n14810165_42045436_6643120.jpg



ndav007.preview.jpg


3501402695_280174a221.jpg



6ekp04.jpg


537df4ef.jpg


6556.jpg


971cd5d4.jpg


95240995.jpg


IMG_0770.jpg


l_3969dd31672401e0dec413d7b7f8414f.jpg


iractor_pesar_tehrani_15.jpg


projectpgaj0.jpg


aksha_ir_3.jpg


aksha_ir_9.jpg


aksha_ir_5.jpg


aksha_ir_1.jpg


f60ae2e2.jpg

Hao ni manesi au watu wako kwenye kampeni za uchaguzi????????????
 
kinachosumbua hapa ni legacy kuwa nao waonekane watu wao wanaweza infact hizi ni propaganda. Je kikwete atawalipa shnngapi ambazo anashindwa kuwapa madr. Waliopo. Udiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii harufu kali sana
Kikwate/pa atawalipa kwa kubeba aibu , na vikwazo huku iran akiingilia mambo ya ndani kwa kulazimisha udini, na vita zao za ushia na usunni.HUku wakiupiga Ukristu vita
 
Upo dunia gani wewe? eti umeambiwa kumbe hujui kitu....IRAN sio wenzetu ata kidogo fatilia documentary mbalimbali na utaona GREECE AND PERSIAN ndo elimu toka zama na zama imelala....IRAN wanaexport all medicines including medical equipments na mgogoro wao mkubwa ulikua ni shida ya ku import vifaa vya kutibu cancer kwani hii technology ilikua kwa nchi za magaribi km vile huduma za mionzi na ndo mwanzo kutrain watu wao kwenye nuclear issue kwani wagonjwa wa cancer matibabu yake ni miionzi ya nuclear....IRAN ana export vifaa mpaka kwa nchi ULAYA mfano GERMANY ameoda meli kubwa toka IRAN sasa hao utajilinganisha nao na walikua km sisi tu lakini wamewekeza ktk elimu...Tembelea websites zao kwenye ishu za technology na last year ndo ilikua leading nation kwa kuchapisha vijarida vingi vya sayansi...wenzako wanategemea by 2017 warushe asrtonomy ktk sayari, wanaexport ndege,magari,meli,silaha mbalimbali na optical obejct eg binocular,lenses na upuuzi mwingine....Hawa sio waarabu hawa ni wapersia bro
ktk red: hawarushi as...nomy ila astronaut.Na hawajaweza hata fikisha mtu mwezini, huko ktk sayari wangefikaje?Na ni sayari ipi?hao jamaa wameenda umbali fulani ktk maeneo ya kuitoka anga ya dunia na kuizunguka dunia.
We kimeo usitudanganye, kipindi hicho ilikuwa Persian na si Iran.Kuwa Iran kunabadili mambo sana.Kama ilivyokuwa kwa Waarabu kabla ya Uislam walikuwa na tamaduni zao waandishi wao, washairi,na walikuwa wakishirikiana vizuri sana na wayahudi na watu wengine.Ila hi Iran inatafuta maadui ili iweze jikubali.
.Waislam wanataka chukua credits toka katika staarabu hizi. Kipindi Iran ikiwa Persia ilikuwa na mahusiano na ustaarabu wa sehemu tofauti na walijiendeleza sana ktk nyanja nyingi.Baada ya uislam walijifunga ktik mambo mengi,ingawa bado kwa asili si waarabu na hivyo kutomaliza kabisa upande wao wa kielimu.

Cha kushangaza pia mwandishi anasahau Iran sio medical tourist destination kwa calibre ya India,Brazil, Agentina,cuba, etc.Wote hawa wanapokea watalii masupa star wanaokuja kufanya mamabo mbalimbalia ya kiafya na kiurembo .Hapa tuaongelea zaidi suala la Madaktari na ghrama ya ushenzi wanaotuletea.Brazill wana uwekezaji mzuri nchini, na Maximo ni sehemu ya Lobbying entity.Kwanini Jk asiwaombe kama alikuwa anadhani mamabo yake yana busara?

Hata kipindi cha miwnyi hadi mkapa kulikuwa na vijarida vingi sana vya mapenzi, udaku etc .hadi vikapigwa marufuku ila haikumaanisha tulikuwa wazuri sana ktk hizo nyanja.hata wasomi wa kiislam wana vijariba na vitabu vingi vya hovyohovyo viavyozunguka ktk kuupamba uislam ktk ulimwengu wa sayansi
 
Ni dhahiri kwamba Iran wanaweza kuisaidia Tanzania kwenye sekta ya afya.

Mbona hata Wapelestina walikuwa wanatusaidia kwa kuendesha ile hospitali pale Sinza? Iweje Iran nchi yenye mamlaka kamili ishindwe?
 
ktk red: hawarushi as...nomy ila astronaut.Na hawajaweza hata fikisha mtu mwezini, huko ktk sayari wangefikaje?Na ni sayari ipi?hao jamaa wameenda umbali fulani ktk maeneo ya kuitoka anga ya dunia na kuizunguka dunia.
We kimeo usitudanganye, kipindi hicho ilikuwa Persian na si Iran.Kuwa Iran kunabadili mambo sana.Kama ilivyokuwa kwa Waarabu kabla ya Uislam walikuwa na tamaduni zao waandishi wao, washairi,na walikuwa wakishirikiana vizuri sana na wayahudi na watu wengine.Ila hi Iran inatafuta maadui ili iweze jikubali.
.Waislam wanataka chukua credits toka katika staarabu hizi. Kipindi Iran ikiwa Persia ilikuwa na mahusiano na ustaarabu wa sehemu tofauti na walijiendeleza sana ktk nyanja nyingi.Baada ya uislam walijifunga ktik mambo mengi,ingawa bado kwa asili si waarabu na hivyo kutomaliza kabisa upande wao wa kielimu.

Cha kushangaza pia mwandishi anasahau Iran sio medical tourist destination kwa calibre ya India,Brazil, Agentina,cuba, etc.Wote hawa wanapokea watalii masupa star wanaokuja kufanya mamabo mbalimbalia ya kiafya na kiurembo .Hapa tuaongelea zaidi suala la Madaktari na ghrama ya ushenzi wanaotuletea.Brazill wana uwekezaji mzuri nchini, na Maximo ni sehemu ya Lobbying entity.Kwanini Jk asiwaombe kama alikuwa anadhani mamabo yake yana busara?

Hata kipindi cha miwnyi hadi mkapa kulikuwa na vijarida vingi sana vya mapenzi, udaku etc .hadi vikapigwa marufuku ila haikumaanisha tulikuwa wazuri sana ktk hizo nyanja.hata wasomi wa kiislam wana vijariba na vitabu vingi vya hovyohovyo viavyozunguka ktk kuupamba uislam ktk ulimwengu wa sayansi










Iranian President Mahmoud Ahmadinejad announced on state television… (Vahdati/Getty )

Iran brags it launched rocket into space... with mouse, turtles & worms


BY MICHAEL SHERIDAN
DAILY NEWS STAFF WRITER
Wednesday, February 03, 2010

Iran has apparently sent its first astronauts into space - a mouse, two turtles and a collection of worms.
The pint-sized crew was housed in a 10-foot-long rocket called Kavoshgar-3, according to officials and is the third in a series of launches Iran has conducted since 2008.
"The scientific arena is where we could defeat the [West's] domination," said President Mahmoud Ahmadinejad, who boasted the launch on state television on Wednesday.
Iran launched a home-made satellite-carrier rocket named Safir (Messenger) late Sunday, arousing western governments' concerns over its purpose.

Reza Taghipour, head of Iran's space agency, told Iran's English-language Press TV satellite channel on Monday that the Safir launch will pave the way for Iran to send its domestically-built telecommunications satellite, Omid (Hope), into orbit "in the near future."

Safir is Iran's first domestically made satellite carrier, capable of putting lightweight satellites into low earth orbit.
P200808190905395145320413.jpg

An image grab from the Arabic-language Iranian TV station Al-Alam shows the launching into space of Iran's Safir Omid rocket, which is capable of carrying a satellite into orbit, an undisclosed location in the Islamic republic.
On Sunday, the official IRNA news agency quoted a statement of the armed forces as saying that the satellite, Omid, was also launched in the day by using Safir satellite-carrier rocket.
P200808190906062524426228.jpg

Iran's President Mahmoud Ahmadinejad (2nd R) looks at the Safir (ambassador) satellite-carrier rocket before launch at Iran's space centre in Tehran August 17, 2008.
Iran's space agency confirmed to Xinhua on Monday the successfully launch of the domestic rocket carrying a test satellite late Sunday, but said that the country's first domestically built communications satellite, Omid (Hope), has not been launched yet.

The launch of Safir rocket is aimed to test remote sensing, satellite telemetry, and geographic information system (GIS) technology as well as remote and ground station data processing, Press TV said.
P200808190906336848889558.jpg

The Safir (ambassador) satellite-carrier rocket, which will carry Iran's Omid (hope) satellite, is seen before launch at Iran's space centre in Tehran August 17, 2008.
 
TD-2 Safir Comparison (2009)​
. . . and that, as the saying goes, is the $64,000 question


aunching a man into space.
 
Wewe mwenyewe unatetea kwa mitazamo iliyokaa kidini Zaidi ndio maana huoni hasara ya kujiunga na Michezo michafu ya Iran badala ya kukaa katika Jamii ya Kimataifa.

Udogo wa ubongo wako na kujiamini ndiko kunakufanya ujione kuwa upo very smart and fair.Sasa linapokuja suala la wewe kukosa cha kusema unajaribu jificha ktk sababu za kijinga kama hizi.

Sijui una ufafanuzi gani hapa zaidi ya kutaka nisikilize story zako ktk mitizamo kama ile ya mawaidha ambayo inawapeleka katika uovu.Unless una kichaa huwezi kubali kutetea Ujinga na propaganda za iran.Si bora hata tuchague kanchi km sweden na kukaita rafiki yetu pekee.


Nakataa kabisa kama mimi nakubaliana kidini isipokuwa nakubaliana kitaifa ila kwa mtazamo wako unataka kuchakachua na uwe wa kidini.Well..bila ya ubishi tumewazoea watu kama nyinyi na ngumu kuwafahamisha kutokana na mtazamo wangu nakuhisi wewe ni mdini na kuwakataa hawa jamaa ni kutokana na dini yao kwakuwa hutokuwa na sababu za msingi za kuwakataa ila nawakubali kutokana na msimamo wao na utekelezaji wao katika ujenzi wa taifa lao na msimamo wao.

Sasa mimi naomba unipe sababu ya msingi ambayo itaweza kushawishi hili jukwaa kwamba hawa sio watu wazuri au utendaji wao ni mbaya na utupe data za ukweli.Nasubiri
 
Nakataa kabisa kama mimi nakubaliana kidini isipokuwa nakubaliana kitaifa ila kwa mtazamo wako unataka kuchakachua na uwe wa kidini.Well..bila ya ubishi tumewazoea watu kama nyinyi na ngumu kuwafahamisha kutokana na mtazamo wangu nakuhisi wewe ni mdini na kuwakataa hawa jamaa ni kutokana na dini yao kwakuwa hutokuwa na sababu za msingi za kuwakataa ila nawakubali kutokana na msimamo wao na utekelezaji wao katika ujenzi wa taifa lao na msimamo wao.

Sasa mimi naomba unipe sababu ya msingi ambayo itaweza kushawishi hili jukwaa kwamba hawa sio watu wazuri au utendaji wao ni mbaya na utupe data za ukweli.Nasubiri

Ni wadini kama wewe, na kuwakaribisha ni kuruhusu matendo yao ya kutuingiza katika migogoro na maadui zao wote.(Saudi Arabia,Qatar, Israel, US,EU na jumia nzima ya kimataifa.).Wote hapa ni muhimo kuliko Iran.

Kama kwa miaka yote hujaona kazi ifanywayo na iranian embassybasi una matatizo makubwa ktk uelewa wa uzalendo, uelewa wa tatizo lipo wapi.
 
Back
Top Bottom