Kabla hawajatuletea madaktari, je hali ya maisha Iran ikoje?

Wewe dogo unaongozwa na udini au?kwataarifa yako iran inatengeneza nyambizi,ndege pia ndege sizo kuwa na rubani.na bidhaa zote za nyumbani hawaagizi nje.
 
Wewe dogo unaongozwa na udini au?kwataarifa yako iran inatengeneza nyambizi,ndege pia ndege sizo kuwa na rubani.na bidhaa zote za nyumbani hawaagizi nje.
Sasa hapo udini uko wapi? Nadhani ww ndio mdini kabisa
 
Ushabiki wako wa kisisiemu unapeleka hadi kwa Persians Huwajui Wairan kinachowasaidia ni pesa zao za Mafuta wapo radhi kutumia kiasi chochote kuiba Technolojia na kuchukua watu watengenezee kwao au kwenda kusomesha watu kuna kesi kibao za raia wa israel waliokuwa wanawauzia silaa na technolojia wairan na ujue hii mizunguko ya biashara haiwezi kuisha kwani ma ajent ni wengi na wana kila njia za kufanikisha kwenu wakimbizi mbona wanapita na nie ccm hamjui hadi kikinuka mnabaki mnashangaa....

Taja chochote wanachotengezeza Wairan na mimi nikupe majibu walipotolea...

Jua kuwa Mashine zao nyingi wamenunua Ujerumani Wacha ushabiki kwa Kichama
LOL akili ya kijiweni.ve transformer oil naharibu akili yako,kwanza hamna kitu najuva kuhusu iran,naamini haujavahi kutoka tanzania ndiyo maana nabishana kama iko kwenye kijiwe ya kahawa lumumba,angali Iran aircraft manufacturing industry(HESA) halafu fananisha na africa.
 
wako juu saana wanatengeneza boti zenye kasi pia zisizoonekana hata kwa darubin
 
Ninavyokuwasha hizo kwako unaona si Akili? wewe inaonesha una akili za kufundishwa... Nitajie Mgunduzi wa Kitu chochote from Iran...!

hahahahahahahah kwani kuna kitu duniani kimevumbuliwa na mtu mwingine zaidi ya mzungu? hizo ni propaganda za wazungu kuiaminisha dunia kuwa wao wana akili sana kuliko races nyingine dunian watu wengi wamegundua vitu vingi sana bt awapati credit zozote mfano mike na max wagunduzi wa jamii forum si kutu kidogo kuwa namba 9,944most popular social network duniani according to allexa rankings huu ni ugunduzi mkubwa sana zaidi ya 96 million visitors na 12
million page views kwa mwezi c kitu cha mchezo bt kwa vile c wazungu na wako Africa inaonekana ni simple tu.

kwa taarifa yako iran inaesabiwa kuwa great strides in different sectors including aerospace, nuclear science, medical development, stems cell, cloning.

Kwa sasa mabigwa wa nuclear science duniani kwenye nchi mbalimbali wanawatumia wataaram kutoka Iran takribani mabigwa 150,000 wa fani mbalimbali wanaenda kufanya kazi katika nchi mbalimbali duniani kila mwaka

Israel inawaua wana sayansi wa iran lakini program zinaendelea kama kungekuwa na upungufu wa wana sayansi basi program ingesimama kama nchi kwa mwaka inazalisha graduate 750,000 best student 150,000 wa fani mbalimbali ata ukiuwa 100 aitosaidia ndo maana Israel inawauwa rakini usikii impact kubwa kutoka Iran bt kauwe mtaalam wa Israel au wazungu ukaskia balaa ni kwa sababu wanaupungufu wa wataaram bt c kwa iran.

Note: iran ni persion ni babylonians mwaka 1700 BC karne ya 7 tayali wana engineers tayali wanatumia advanced winds power machines na ndio mabigwa wa hesabu duniani kipindi hicho Us na UK wanakunya kwa mafungu wenzao wana engineers technology nyingi wazungu wamezipora kutoka middle East tafuta history ya ottoman empire ya mwaka 1299-1922 unajua nazungumzia nn.
 
Kuna watu wakiona majengo basi imetosha. Hivi mtu akipiga picha hospitali Private hapa bongo kama Trauma, Aga Khan, na uka-focus kuonesha machine si itaonekana Tanzania mambo swafi?

Kwenye point yako kuhusu ni watu gani wanaletwa, hapa ndipo penye mtahani. wataleja majasusi tupu maana hawa Iran wanataka sana Uranium. Lakini kweli hebu tujiulize, watakaa milele? Wakiondoka tutakuwa na nini? Hii kwangu ni sawa na kuuwa sekta ya afya.
Hivi wewe unaona hizo private za kwetu zinaonekana baba kubwa? pole sana, endelea kuamini hivyo.
 
iran hospitali zao ni kama za kwetu so wakija hapa wataweza kufanya kazi muhimbili...huwezi mtoa daktari kwenye hospitali za ulaya ukamleta hapa mazingira ya kazi yatawashinda

No research no right to speak comrade, Iran iko katika 10 bora ya nchi zinazotoa huduma bora za afya duniani, ina madaktari wa binadamu ktk kila fani wa kutosha ,ina vifaa tiba vya kisasa na hospitali zenye viwango, kwa kweli wako vizuri sana, wametumia vyema pato la mafuta kuendeleza technology,kusomesha watu wao kwenye fani mbalimbali na kujenga miundombinu ya kisasa ya barabara,maji,umeme wa jua,nyuklia n.k
 
nijuavyo mimi
wamarekani walimuwaka Dikteta anayeitwa SHAA, ambapo hakukubalika na wananchi wa Irani ndio wakafanya mapinduzi ya miaka ya 70's. Toka hapo Iran na wa Magharibi hawakupatana.
Wairani wamejifunza kujitegemea na kuishi kwa Vikwazo toka miaka hiyo na wameweza kujiimarisha kijeshi kwa msaada wa Warusi hivyo kukabiliana vilivyo na choko choko za Wamgaribi

NIMEPENDA SANA MISIMAMO YAO NA MIFUMA YA SERIKALI YAO AMBAYO NI MADHUBUTI KUPINGE UKOLONI MAMBO LEO

Cheki hii video kidogo
 
Last edited by a moderator:
Nimeambiwa kuwa Iran bado wanaishi kwenye zama za mawe sasa iweje wao leo wanataka kutuletea madaktari?

Hii ni nafasi yetu sote kufanya research kujua huko Iran hali ikoje?
Usingoje kuambia tafuta habari mwenyewe,Iran ni Nuklia power kwa sasa inatengengeneza zana na silaha zake za Kivita mpaka Submarines na ndege za kivita zinapiga bila kuwa na mtu, ukiacha Madawa ya magonjwa mbali mbali. Hakuna kitu cha nje kinaingia Iran ukiacha Matrekta,Mabasi, spea, vifaa na zana za hospitali NK. Kwa taarifa yako wapo madaktari wengi maspecialist katika mahospitali za Uingereza, Umarekani wametoka Iran. Emirates wamefungua mpaka mahospitali.
 
Back
Top Bottom