toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Kuna nchi ya Iran hii ipo huko uarabuni wao ni supporter wa magaidi kila hali. Hapa nchini wanagawa misaada ya kuwawekea watu mitego ili wabadili dini.
Ila Iran wanawagea materorist sapoti huko mashariki ya kati uwarabuni na duniani
Ni watu wa chuki visasi na roho ya kigaidi wanayo na ndio wanafadhili ugaidi na misimamo mikali hapa kwetu wanaeneza dini kupitia misaada ya na kuwabadili watu dini hawa teeran
Huko maandamano yamekolea wanawake wamegoma kuwa watumwa wa kujifunikafunika
Serikali ya IRAN itaanguka? Na itakua ni lini maana wamechoka sana hao raia wake
Tutarajie hawa kudondoka? Au Irani bado wapo?
Ila Iran wanawagea materorist sapoti huko mashariki ya kati uwarabuni na duniani
Ni watu wa chuki visasi na roho ya kigaidi wanayo na ndio wanafadhili ugaidi na misimamo mikali hapa kwetu wanaeneza dini kupitia misaada ya na kuwabadili watu dini hawa teeran
Huko maandamano yamekolea wanawake wamegoma kuwa watumwa wa kujifunikafunika
Serikali ya IRAN itaanguka? Na itakua ni lini maana wamechoka sana hao raia wake
Tutarajie hawa kudondoka? Au Irani bado wapo?