Kabila Lako Lina Sifa Gani?

Tunapenda kucharaza sana na kwa kweli tunapenda watu.Tu wapole tukipenda ku smile.
 
according to some ppl, ninaweza kusema kabila langu lina sifa ya kuwa na watu wenye "akili" sana nchini (viz. "wazungu wana akili kuliko watu weusi" thread). Ila, huwa wanatubambikia eti tu malaya na tuna majisifu, soma zaidi hapa kupata undani: http://blacfoundation.org/historia_yake.pdf
Waitu?
Wewe Nshomile acha majigambo! ujiulize huko Uhayani kuna shule ngapi? ilhali ndugu zako wengi wako huko! Are you in top three on the number of secondary schools in Tanzania? how many Kagera schools are in top ten even in this year exam results? how many colleges do you have in Kagera? kukusaidia tu angalia sehemu kama Kilamanjaro hata kabla ya Uhuru tayari Ushirika college ilikuwapo! sasa leo ukiacha Ushirika, kuna Mwenge teachers college, KCMC Medical college, Mweka college, Masoka Management Training Institute (MMTI) and Mwika Lutheran Bible College (LBC), Moshi technical college ukiachia Police and Immigration college (government owned) na vingine ambavyo kila siku vinachipukia kama Rodney Mutie Heart institute, Moshi College of Mining ukiacha numerous Agricultural institutes that exist and carry out researches everyday!

Najua utasema ati huwa mnaenda Makerere, hata wa Kilimanjaro na Arusha wanaweza kusema huwa wanaenda Nairobi ukiachia mbali Makerere penyewe! tofauti ni kwamba watu wa makabila yanayotoka Kilimanjaro generally hawana majigambo on what they have achieved as individuals! you can hardly know what they have!
 
wajanjawajanja unapenda pesa kuliko utu......uko radhi kuoa roho ya mu kisa vijesenti,tumeenea kila kona ya nchi hii tunamiliki mabaa na maduka...maarufu wa kuchoma nyama...kupiga rangi viatu na kuuza scrapers.Tuna abia ya kujenga majumba kwetu na kuyafunga hadi siku za krismas ambapo tunarudi wote nyumbani hata kama ukipandishiwa nauli maradufu.Tunapenda kupiga kilauri......wengi wa matajiri wa kabila letu utajiri wao una utata sana

hongera kwa kutoficha unavyolifahamu kabila lako
 
Watu wa kabila langu ni wapole, wenye heshima, wanamapenzi ya kweli kwa wake zao, hodari wa kazi, ni wafugaji, wakulima, wavuvi,wachimba madini, ni wafanyabiashara, ni kabila lenye watu wengi kuliko kabila lolote hapa nchini, tunataniwa na kila mtu, ni washamba, tunakandamiza maneno, tunapenda wanawake weupe, sisi ni warefu, wapana na wenye nguvu.
je watu wa kabila lako wana sifa gani?
Mkuu wanishangaza sana , katika dunia ya leo wewe unaongelea kabila lako kwa sifa zake?
Exactly the myopic views ambazo Baba wa Taifa aliziondoa kwa taabu sana miaka ya sitini.
Baadaye utaongelea kijiji chako na ukoo wako,
Katika karne hii tunapo jaribu kuondoa tofauti za muungano, kuenzi umoja wa Afrika Mashariki na Umoja wa Afrika mtu unaleta kakabila kako tukajadili.
What nonsense.
As I am writing niko India ambako nashangaa shangaa jinsi wenzetu umoja wao unavyopaisha uchumi wao.
Wake up man THINK NATIONALLY
 
BujiBuji ,wajaluo ni decent people.wanapenda kusoma.hawana mambo ya ufisadi.angalia mzee wetu Timothy Apiyo!wana msimao vilevile.
Nimekuta na wajaluo wa kenya wengi sana.mkikuyu ni kama mchaga wa tanzania.
mjaluo yeye ni shule sana.hata mkikuyu anajua hivyo.ndio maana baada ya uhuru,kenyata aliwaweka chini sana,ni tishio lao.

tulipokuwa jeshini tuliimba :NA TOM MBOYA HUYO ,NI KIONGOZI MZURI.....
Huyu Tom Mboya alikuwa mjaluo.angalia akina Odinga ,Ouko etc.
Wajaluo tujue wametoa RAIS WA MAREKANI.

tatizo la wajaluo wanaume ,ilikuwa kurithi mke wa kaka yake kama kaka akifaliki.
na hali ya ukimwi afrika ,hii ni hatari sana
 
wasukuma ndo the best
wana roho ya kitajiri,
hawana dharau na mtu,
hawana kujisikia.
wana miili mikubwa.
afya njema.wacheshi....
Boss, for the first time leo umeni-disappoint!!! ukisoma post za makabila umeweka all others as trash with exception ya hawa jamaa... eniwei, thats greatest stink of all time

Nina imani mtoa mada alikua na nia bora tu!!
 
mkuu wanishangaza sana , katika dunia ya leo wewe unaongelea kabila lako kwa sifa zake?
Exactly the myopic views ambazo baba wa taifa aliziondoa kwa taabu sana miaka ya sitini.
Baadaye utaongelea kijiji chako na ukoo wako,
katika karne hii tunapo jaribu kuondoa tofauti za muungano, kuenzi umoja wa afrika mashariki na umoja wa afrika mtu unaleta kakabila kako tukajadili.
What nonsense.
As i am writing niko india ambako nashangaa shangaa jinsi wenzetu umoja wao unavyopaisha uchumi wao.
Wake up man think nationally
baba wa taifa hakuziondoa, ila alisema tunaulizana makabila kwa sababu ya kujuwa nani mtani wako na nani siyo
 
sisi tunapenda ng'ombe kuliko kitu chochote kile, tunavaa marubega meusi, tunazurura na ng'ombe (ng'ombe zinaamua muelekeo, sisi tunazifuata tu!) zikienda kwenye shamba la mahindi ya raia mwingine mi naona sawa tu! kwangu mm mahindi ni majani. nimetokea kwenye kabila kubwa sana, sipendi nyama sana, napenda maziwa na ugali mgumuuuu.
 
Watu wa kabila langu ni wapole, wenye heshima, wanamapenzi ya kweli kwa wake zao, hodari wa kazi, ni wafugaji, wakulima, wavuvi,wachimba madini, ni wafanyabiashara, ni kabila lenye watu wengi kuliko kabila lolote hapa nchini, tunataniwa na kila mtu, ni washamba, tunakandamiza maneno, tunapenda wanawake weupe, sisi ni warefu, wapana na wenye nguvu.
je watu wa kabila lako wana sifa gani?

wabeja
 
KABILA LANGU NI MASHUHURI KWA KUCHEZA NGOMA, UMALAYA UZINZI, WANAWAKE WANAPENDA KUITA MAFIGA MATATU, hatuwezi uongozi maana hata Rais wa nnchi anatoka wilayani kwetu ndo hayo mnayo yaona.
Uchawi ndio jambo lililoturudisha nyuma

mamaaa weee mbavu zangu mie..kha kumbe na wewe mwanakwetu..kweli kabila letu tunapenda ngono tena tukigonga kavu kavu ndo wanawake wanaona tunawapenda
 
sisi kabila letu asili yake ni Border baina ya afghanistan na Pakistan tunapenda kufuga wanyama na hodari wa kupigana vita na mpaka leo tunapigana vita na Majeshi ya Nato yakiongozwa na Amerika na tunatumaini hayo Majeshi ya Nato na Bwana wao Mkubwa Amerika yatoondoka katika ardhi yetu tukufu ya Afghanistan na Border na Pakistan Allahu Akbaru.
 
wazaramo....mdomo mwingi na uvivu...
wadigo......ngono tu..na ushirikina..
wahaya.....umalaya.....na masifa masifa...
wachaga...wizi,na kutafuta pesa..
wahehe....utiifu,na kazi za ndani....
wasambaa...kulima sana,na ucheshi
wamakonde...ngoma,na kazi za ulinzi
wamasai...wana maadili,na kazi za ulinzi..
wagogo....kuomba omba tu
waha...ubishi na kijifanya wanajua..
wakwere....uvivu na starehe
wanyamwezi.....ujuaji nao kama wazaramo.
wafipa ....uchawi nakulima sana.
wanyakyusa...kulima sana na kujisikia sana.

wakwere-uvivu ,kupenda kuchekacheka na umalaya ndo sifa zetu kuu
 
wakwere-uvivu ,kupenda kuchekacheka na umalaya ndo sifa zetu kuu
Usinikumbushe jinsi shosti alivyokuwa anaangua kicheko kwenye ile siku ya uzindizi wa kampeni dhidi ya malaria,
mpaka nikahisi kuwa huenda mwenzetu ana malaika wa kicheko amemuingilia.
 
Mie kwetu wavuvi na wakulima hodari sana, tunaishi kisiwani hivyo kupiga mbizi ni fani yetu pia, wengi wetu ni warefu na wenye miili iliyojengeka, tupo tupo pia kwenye majeshi yetu lakini si wengi kama wasukuma na wakurya, generally tupo serious na ni wapole lakini huwa wakali sana pale inapobidi, mwanaume wa kabila hili akifurahi chochote alichonacho atakupa lakini ukimuudhi chochote alicho nacho atakupiga nacho.
 
Back
Top Bottom