Kabila la "WAIRAQ" kutoka "ARUSHA"

Status
Not open for further replies.
Ninachojua ni kwamba wana urembo wa nje ila kimaadili si waelewa kabisa, hawaonywi wakasikia, hawatahadharishwi wakakubali bali hisia zao ziko mbele kuliko akili. Akina mama walioolewa hawajui kuwatunza waume ni kiguu na njia. Kama nabisha fuatilia unyumba wa waziri fulani mwanamke anayetokea Endasak Hanang ambaye naye ni Mwiraq upate habari zake. Majority ya Hawa wa dada na wanawake wa ki-iraq in short "THEY NEVER MAKE A GOOD WIFE" labda uoe kwa ajili ya shughuli nyingine. Nina evidence za kutosha

Usemalo ni kweli kabisa,
Zaidi ni wavivu hawapendi kujishughulisha kabisa!
Yaani kama wazaramo kwa uvivu!
 
Usemalo ni kweli kabisa,
Zaidi ni wavivu hawapendi kujishughulisha kabisa!
Yaani kama wazaramo kwa uvivu!

Dah mmenitisha, but mi ndo nimefall hivo, kwani cwezi kumbadilisha kitabia?
 
Mh tabia ya mtu haibebwi na kabila dawa ni kungoa visiki vya kwao kwa maombi happy ndoa ndao che kake umependa pambania
 
sASA kijana kapata negative nyingi kuliko positive. Mpeni direction aelekee wapi sasa? au mkoa gani kila mmoja amufagilie dadaake.
 
Mayai mayai................. Kuna ya kuku wa kienyeji, wa kisasa, ya kanga, mbuni.................

Ni ngumu kuweka kabila zima kwenye kapu moja....sample size iwe ya kutosha.
 
Dah mmenitisha, but mi ndo nimefall hivo, kwani cwezi kumbadilisha kitabia?

Miye nimeona mwiraqw wapo ambao ni wazuri depending na wewe unavyomhandle. Mwombe Mungu kwanza, Roho mtakatifu atakuongoza kumpata mke mwema.
 
Miruzi mingi humpoteza....tabia sio kilema kwani kama analolote ambalo wewe hupendi mtarekebishana.
 
Mkuu, sina uhakika na Wanyaturu.
Ila Wairaqw ni wahamiaji, hawa wamesafiri toka pande za kaskazini mashariki mwa Afrika na kujikuta wake-settle huku Afrika ya Mashariki. In fact hawa ni Wakushi (Cushites) na si Hamites kama nilivyoandika hapo awali. Kuna kabila lingine dogo lenye Uhusiano na Wairaqw, wanaitwa Wambugu. Hawa wanaishi kata za Malinndi na Kwai wilayani Lushoto, Tanga, sura zao la lugha yao haina tofauti na hawa Wairaqw na chanzo chao ni kimoja.

Mkuu kama ni Wakushi Mbona unanifanya nikapime DNA Naweza jikuta na mimi ni Mkushi na Kushi Walichukuliwa na kupelekwa Israel, na bado wanahitajika kwa Sana kwani walipewa haki zote kama Raia wengine wa Israel... Wacha nikapime DNA Kwa Muda nilikuwa nataka Nitafute Asili yangu Wapi sasa umenipa mwongozo nikijikuta na DNA Zinazofanana na Jew nawakimbieni kwenye Nchi yenu....
 
Mimi namtafuta mmoja wa kuoa, sijui mpaka niende huko Hanangi ndio nimpate?.

Karibu sana Yego..tumejaa tele kuanzia Manyara, Karatu, Mbulu, Rhotia, Hydom,Dongobesh, Basotu, Katesh, Endasaki, Mamaisara, Dareda etc.....ushindwe wewe tu!!

Umalaya ni tabia ya mtu..sura, nywele,rangi tumejaaliwa..miguu no comments:)) Ukikutana na mie usijechanganyikiwa, ha ha!!
 
Wapo zaidi mkoa wa Manyara,katika wilaya za Babati Mjini na Vijijini, Mbulu na Hanang'. Arusha wapo Karatu.

Hakika ni wazuri. Ila naona jamii yao kama wana katabia ka ubaguzi hivi kwa wale wasio wa kwao! Nimekaa sana pale Babati Mjini,ambapo kuna wafiome (jamii hiyo hiyo ya wairaqw - kama wanyamwezi na wasukuma),kule Dareda,Bashnet,Madunga,Qameyu hadi Merr. Kwa kweli nilikuwa naona hiyo dhana ya ubaguzi. Sasa kama ukiweza kuoa fahamu tu hilo.

Hawana ubaguzi, wewe inaelekea ulikua unajishtukia tu. au wewe ndio ulikuwa unawabagua.
 
Ninachojua ni kwamba wana urembo wa nje ila kimaadili si waelewa kabisa, hawaonywi wakasikia, hawatahadharishwi wakakubali bali hisia zao ziko mbele kuliko akili. Akina mama walioolewa hawajui kuwatunza waume ni kiguu na njia. Kama nabisha fuatilia unyumba wa waziri fulani mwanamke anayetokea Endasak Hanang ambaye naye ni Mwiraq upate habari zake. Majority ya Hawa wa dada na wanawake wa ki-iraq in short "THEY NEVER MAKE A GOOD WIFE" labda uoe kwa ajili ya shughuli nyingine. Nina evidence za kutosha

Si kweli kwamba kila wakati samaki mmoja akioza basi wote wameoza. Hata makabila mengine wapo wabaya na wazuri.
 
Ngoja memba mmoja maarufu humu JF kwa jina ni Slaa, yeye ni Mu-Iraq atakuja kupa habari zao kamili, tena huyu ni kiongozi wa chadema, tegemea majibu mazuri kutoka kwake.

Haya Dokta (wa kanoni) lete habari.
uzee unakusumbua
 
Wadau kunadada mmoja toka Arusha kabila ni muiraq, namkubali sana sana sana, lakini sijajua wasifu wa kabila hili, nawaombeni mnisaidie tabia na tamaduni la kabila hili kwa wale wanaolifahamu kiundani zaidi, katika positive na negative way.

God wanna bless you.

kuna wasifu wa kabila siku hizi kweli?
 
Wapo zaidi mkoa wa Manyara,katika wilaya za Babati Mjini na Vijijini, Mbulu na Hanang'. Arusha wapo Karatu.

Hakika ni wazuri. Ila naona jamii yao kama wana katabia ka ubaguzi hivi kwa wale wasio wa kwao! Nimekaa sana pale Babati Mjini,ambapo kuna wafiome (jamii hiyo hiyo ya wairaqw - kama wanyamwezi na wasukuma),kule Dareda,Bashnet,Madunga,Qameyu hadi Merr. Kwa kweli nilikuwa naona hiyo dhana ya ubaguzi. Sasa kama ukiweza kuoa fahamu tu hilo.

Ubaguzi ni kitu ambacho hatuna kabisa kama jamii .. please kama umeamua ku judge basi
Judge kila mtu kivyake usituchanganye ..
Everyone is different ..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom