Kabila la "WAIRAQ" kutoka "ARUSHA"

Status
Not open for further replies.
Kwa urembo tu baba hapo umepata, na watakuzalia watoto wazuri sana, ila uweke mbali mambo ya wivu...akija kaka yako haya, mdogo wako haya, jirani sawa, house boy twende
kweli wivu inabidi ukae pembeni, yaani anagawa tu hovyo?
 
Hapo kwenye bold, jibu ni NDIYO. Huu uzao wa Wairaqw, Wasomali, Watutsi, Warangi, Wahabeshi (Ethiopia na Eritrea), kwa jina collectively wanajulikana kama (Hamites) wametokea middle east, miaka mia nyingi sana iliyopita.
Alaah....! kumbe.
 
Idimi. Sikuwa na fahamu kama warangi nao wanaingia katika jamii hii! Nilifahamu warangi ni jamii ya wabantu.

Hivi na wanyaturu nao wanaingia katika jamii hiyo ya Hamites?

Mkuu, sina uhakika na Wanyaturu.
Ila Wairaqw ni wahamiaji, hawa wamesafiri toka pande za kaskazini mashariki mwa Afrika na kujikuta wake-settle huku Afrika ya Mashariki. In fact hawa ni Wakushi (Cushites) na si Hamites kama nilivyoandika hapo awali. Kuna kabila lingine dogo lenye Uhusiano na Wairaqw, wanaitwa Wambugu. Hawa wanaishi kata za Malinndi na Kwai wilayani Lushoto, Tanga, sura zao la lugha yao haina tofauti na hawa Wairaqw na chanzo chao ni kimoja.

 
kaka hawa watoto ni malaya wakutupwa kuwaoa inahitaji moyo wa kijasiri unaweza kuua hata ndugu yako hakiyanani......ni noma
 
Ninachojua ni kwamba wana urembo wa nje ila kimaadili si waelewa kabisa, hawaonywi wakasikia, hawatahadharishwi wakakubali bali hisia zao ziko mbele kuliko akili. Akina mama walioolewa hawajui kuwatunza waume ni kiguu na njia. Kama nabisha fuatilia unyumba wa waziri fulani mwanamke anayetokea Endasak Hanang ambaye naye ni Mwiraq upate habari zake. Majority ya Hawa wa dada na wanawake wa ki-iraq in short "THEY NEVER MAKE A GOOD WIFE" labda uoe kwa ajili ya shughuli nyingine. Nina evidence za kutosha
 
Mkuu, sina uhakika na Wanyaturu.
Ila Wairaqw ni wahamiaji, hawa wamesafiri toka pande za kaskazini mashariki mwa Afrika na kujikuta wake-settle huku Afrika ya Mashariki. In fact hawa ni Wakushi (Cushites) na si Hamites kama nilivyoandika hapo awali. Kuna kabila lingine dogo lenye Uhusiano na Wairaqw, wanaitwa Wambugu. Hawa wanaishi kata za Malinndi na Kwai wilayani Lushoto, Tanga, sura zao la lugha yao haina tofauti na hawa Wairaqw na chanzo chao ni kimoja.


Hawa ni hamites ambao pia ni cushites hawako kwenye bantus wala nilotes
 
Idimi. Sikuwa na fahamu kama warangi nao wanaingia katika jamii hii! Nilifahamu warangi ni jamii ya wabantu.

Hivi na wanyaturu nao wanaingia katika jamii hiyo ya Hamites?

Jifunze kwanza historia ya Tanzani nani kakuambia kuna Hamites Tanzania na ni makabila gani?
 
Last edited by a moderator:
dah hawa watu wanapenda sex kuliko chakula af hawalidhiki asubuh mchana jion...hadi nilikonda nilipompataga mmoja
 
tabia zao hazina tofauti sana na wasingida aka wanyaturu ama wanyirama. sifa zao ni 1. malaya sanaaaaa, 2. wakatili sana ( kama ukimuoa ujue umeolewa): anaweza chukua maamuzi magumu sana wakati wowote. Kama unataka kuhakikisha tembelea baa upate mmoja kisha ujenge naye urafiki utaona.
 
kwa rangi ni kiboko, kwa tabia siwajui vizuri, ila nilikuwa naye mmoja, ana hasira kali sana. na huwa hasahau. tulihitilifiana nikachukua jiko la kifipa, mtani wangu hasa, na mchawi wa tanzania. kaz kwelikweli.

ni kweli heshim hisia zako, mengine utasolve mbele ya safari, kumbuka kwa sas hampendani, bali ni tamaa zinazowapeleka puta, mkisha kaa kwenye mahusiano, mtajuana tabia, kila mtu atamjua mwenzio na namna ya kusocialize ikiwa mtahitilifiana.

mapenzi nayo ni unyonyaji tu, si vitu halisi.
 
tabia zao hazina tofauti sana na wasingida aka wanyaturu ama wanyirama. sifa zao ni 1. malaya sanaaaaa, 2. wakatili sana ( kama ukimuoa ujue umeolewa): anaweza chukua maamuzi magumu sana wakati wowote. Kama unataka kuhakikisha tembelea baa upate mmoja kisha ujenge naye urafiki utaona.

Teh teh teh!
Watu na experience zao bwana!
 
Hapo kwenye bold, jibu ni NDIYO. Huu uzao wa Wairaqw, Wasomali, Watutsi, Warangi, Wahabeshi (Ethiopia na Eritrea), kwa jina collectively wanajulikana kama (Hamites) wametokea middle east, miaka mia nyingi sana iliyopita.
Nimeipenda hii ndiyo maana wanakuwa wazuri sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom