bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Wadau kunadada mmoja toka Arusha kabila ni muiraq, namkubali sana sana sana, lakini sijajua wasifu wa kabila hili, nawaombeni mnisaidie tabia na tamaduni la kabila hili kwa wale wanaolifahamu kiundani zaidi, katika positive na negative way.
God wanna bless you.
God wanna bless you.