William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mzee wangu,
Kama ninakuelewa vizuri, then the ishu hapa ni ile anayoisema Mzee Moshi kuwa as a nation hatuna priority ya elimu, ndio maana zinatolewa hela nyingi kwenye bajeti ya kununulia furniture za ofisi ya waziri mkuu, kuliko za elimu!
Nani wa kulaumiwa hapa, kama sio sisi wanachi tunaoendelea kuwachagua viongozi wetu bila ya kuwapa mandate?
Kama ninakuelewa vizuri, then the ishu hapa ni ile anayoisema Mzee Moshi kuwa as a nation hatuna priority ya elimu, ndio maana zinatolewa hela nyingi kwenye bajeti ya kununulia furniture za ofisi ya waziri mkuu, kuliko za elimu!
Nani wa kulaumiwa hapa, kama sio sisi wanachi tunaoendelea kuwachagua viongozi wetu bila ya kuwapa mandate?