Jussa: Hakuna "kupatana" na Watanganyika

Mzee Nasor Moyo amesema BLW lililokasimiwa madaraka na Baraza la Mapinduzi ndiyo wenye dhamana ya kuiokoa Zanzibar kutoka katika'ukoloni'. Jambo la kushangaza mzee wa watu ameshambuliwa hata kuitwa Kibaraka, juha asiye na elimu, na wengine wamekwenda mbali na kusema hajawa waziri kiongozi au Rais kwahiyo uelewa
wake ni mdogo sana.

Hao wanaomkashifu mzee Moyo ndio hao hao wanaomshangilia Jusa ambaye hajawahi kuwa hata waziri au katibu mkuu.
WZNZ waelewe kuwa tatizo lao si uwepo wa Tanganyika ni wao kutaka kuvunja muungano.
JF imetoa options nyingi sana za kufanya hivyo lakini hakuna hata mmoja anyethubutu kuzitumia.

Jusa anayeongea akiwa India hakuwahi kuongea ndani ya Bunge au BLW ambako yeye ni mwakilishi.
Hajajaribu kuwasilisha hata nusu karatasi ya mswada wa kutaka ZNZ yenye mamlaka na kuvunja muungano.
nja muungano ilikuja kwa kasi sana, hatukusikia mkataba au serikali 3.
Tukasikia hata kama mafuta ni kijiko kimoja muungano uvunjwe.
Leo jeuri imekwisha na WZNZ wanAtaka mkataba na nchi ya Nyerere wasIyetaka hata kumsikia.
Ukipenda boga penda na maua yake.
Ukiwachunguza sana wanaopiga kelele na kuendesha propaganda za chuki dhidi ya bara utagundua wengi wao ni wale au wenye asili ya uarabuni au waliochanganya damu hata kwa mbali kama hao kina Jussa.
Sasa ndiyo naelewa alichomaanisha Nyerere aliposema "Chama legelege
huzaa serikali legelege" Upuuzi unaofanyika siku hizi Zanzibar usingewezekana kama chama kinachunda serikali yaani CCM kingekuwa imara. Chama kimechakachuliwa, ni dhaifu, kimeingiwa na funza wanaokipekecha toka ndani na kila kiongozi ana bei yake! Ni wazi sasa hatazile vurugu zawahalifu wanaojiita "wana uamsho" zinafadhiliwa na viongozi walio ndaniya serikali akiwemo Seif mwenyewe! Ndiyo maana hutasikia wahalifu waliofanya uharamia ule hawafikishwi kwenye mikono ya sheria! Hata ustawi wa CUF umechangiwa na watu wenye 'connections' na watawala waliofurushwa miaka karibu 50 iliyopita. Propaganda hatari za 'waliofanya mapinduzi hawakuwa wazanzibari eti wamakonde toka bara zinaongeza chuki na kuandaa visasi kwa wazee na familia za wazalendo walioikomboa Zanzibar 1964 na tusishangae yakitokea mauaji kama ya Rwanda, safari hii Zanzibar. Haiingii akilini kuona yote haya yakitendeka chini ya pua zavyombo vya dola bila ya kuchukuliwa hatua. Kuna msemo unaosema kuwa 'ukimwona ngdere mjini ujue wa mwenyewe; kafugwa, nami nasema ukimsikia Jussa anabwabwaja, Uamsho wanatamba; ujue wana wenyewe ndani ya serikali wanaowatuma, kuwamiki nakuwalinda.
 
Ukiwachunguza sana wanaopiga kelele na kuendesha propaganda za chuki dhidi ya bara utagundua wengi wao ni wale au wenye asili ya uarabuni au waliochanganya damu hata kwa mbali kama hao kina Jussa.
Sasa ndiyo naelewa alichomaanisha Nyerere aliposema "Chama legelege
huzaa serikali legelege" Upuuzi unaofanyika siku hizi Zanzibar usingewezekana kama chama kinachunda serikali yaani CCM kingekuwa imara. Chama kimechakachuliwa, ni dhaifu, kimeingiwa na funza wanaokipekecha toka ndani na kila kiongozi ana bei yake! Ni wazi sasa hatazile vurugu zawahalifu wanaojiita "wana uamsho" zinafadhiliwa na viongozi walio ndaniya serikali akiwemo Seif mwenyewe! Ndiyo maana hutasikia wahalifu waliofanya uharamia ule hawafikishwi kwenye mikono ya sheria! Hata ustawi wa CUF umechangiwa na watu wenye 'connections' na watawala waliofurushwa miaka karibu 50 iliyopita. Propaganda hatari za 'waliofanya mapinduzi hawakuwa wazanzibari eti wamakonde toka bara zinaongeza chuki na kuandaa visasi kwa wazee na familia za wazalendo walioikomboa Zanzibar 1964 na tusishangae yakitokea mauaji kama ya Rwanda, safari hii Zanzibar. Haiingii akilini kuona yote haya yakitendeka chini ya pua zavyombo vya dola bila ya kuchukuliwa hatua. Kuna msemo unaosema kuwa 'ukimwona ngdere mjini ujue wa mwenyewe; kafugwa, nami nasema ukimsikia Jussa anabwabwaja, Uamsho wanatamba; ujue wana wenyewe ndani ya serikali wanaowatuma, kuwamiki nakuwalinda.

nonsense.... porojo hizi wapelekee woto cheke chea.
 
Unajuwa Ni RAHISI SANA KUWADANGANYA WATU, LAKIN NI VIGUMU SANA KUWAAMBIA WATU KUWA MUMEDANGANYWA.

Basi Nyerere aliwadanganya WaDanganyika kuukana utaifa na Serikali yao ya Tanganyika.
 
Huyu jussa alipaswa kumjibu huyo kamishna maneno hayo aliyoandika fesibuku.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mkuu, hiyo ni kawaida ya wanafiki....wanawasema watu migongoni mwao.
Mbona yeye hajawahi kupeleka hoja BLW kudai Znz iwe nchi huru?

Kwanini huwa anasemea vijiweni na kwenye maskani za kahawa tu?
Mnafiki.

Na wale wanaosema Watanganyika wadai Tanganyika yao nao hamnazo tu, kwamba kwa vile Jusa na genge lake wanadai znz huru, basi na watanzaia bara wadai tanganyika?!

Anadai znz huru kwenye face book?
Si afadhali Tundu Lisu aliwapa za uso bungeni bila kutafuna maneno....

Jusa na genge lako, acheni unafiki.
 
Kwenye facebook wall yake ametupia kitu hiki:
"Wakati tunaelekea India wiki iliyopita tukiwa Uwanja wa Ndege wa Dubai wakati tunabadilisha ndege, tulikutana na mmoja wa Makamishna wa Tume ya Katiba kutoka upande wa Tanganyika ambaye ni msomi wa hali ya juu.

Katika majibu ya kustaajabisha wakati nilipomuuliza vipi hali ya utoaji maoni inaendelea, alitujibu kuwa inaendelea vizuri na pamoja na kwamba upande mmoja (nna hakika alikusudia Zanzibar) unatoa madai makubwa, yeye haimpi tabu kwa sababu anajua wanaofanya hivyo wanajipa nafasi kubwa ya kuja kupatana (alitumia neno la Kiingereza 'bargaining') ili kupata muafaka wa kati na kati.

Bahati mbaya mawazo kama haya ya Kamishna huyu ndiyo mawazo mgando ya watunga sera na sheria wengi wa Tanganyika wanaojiona kama ni watawala au wamiliki wa Zanzibar na hivyo kujipa matumaini kuwa Zanzibar tunaposema tunataka kurejesha mamlaka yetu kamili kitaifa na kimataifa tukiwa na kitu chetu Umoja wa Mataifa huwa tunatafuta 'kupatana' au kwamba hatuna uwezo huo mpaka Tanganyika waridhie.

Wanapaswa wajue sasa kabla hawajachelewa kwamba mamlaka kamili ya Zanzibar (Sovereign Zanzibar) siyo ombi ni matakwa ya Wazanzibari na tutayasimamia kwa nguvu na uwezo wetu wote. Na katika kulifikia lengo hilo hakuna wa kutuzuia isipokuwa Mwenyezi Mungu. Pamoja Daima!"


My take
Naanza kuona kwamba Tanganyika inafaidika na huu muungano kuliko zanzibar.Kama isingekuwa inafaidika,basi wangejitokeza hadharani wanaharakati (kutoka Tanganyika wanaotambuliwa na serikali) kufanya harakati kama hizo za akina Jussa na Maalim Seif kuhusu Tanganyika huru.

Hivi akina Lipumba na Mtatiro huwa wanasemaje kuhusu hili au ni MABUBU mbele ya akina Jussa na Maalim?

Unataka wasemeje? Walishasema serikali TATU, wewe unataka nini zaidi?
 
Mimi naona wangepatikana watu 20 tu waTanganyika wenye uthubutu kama wa Tindu Lissu Kwenye Bunge la Muungano basi mambo yangekuwa sawia kabisa.

Hebu pitieni kwenye ansard za Bunge muone maneno yake haya.

``Mheshimiwa Spika, mapendekezo ya Rasimu ya Muswada hayakubaliki kwa sababu yanaweka mchakato wa Katiba Mpya kwenye huruma na/au fadhila ya Rais wa Zanzibar na siasa za Zanzibar kwa ujumla. Kwa mapendekezo haya, Rais wa Zanzibar asipokubaliana na jambo lolote linalohitaji ridhaa yake basi mchakato mzima utasimama au kusitishwa. Aidha, endapo katika kura ya maoni inayopendekezwa, theluthi mbili ya Wazanzibari hawatakubaliana na Katiba Mpya basi Katiba hiyo haitapitishwa hata kama inakubaliwa kwa kiasi kikubwa na wananchi wa Tanzania Bara.

Mustakbala wa taifa letu hauwezi kuwekwa tena rehani kwenye siasa za Zanzibar na kwenye matakwa ya Wazanzibari kwa kiasi hicho. Kuhusiana na jambo hili, Kambi Rasmi ya Upinzani inapendekeza kwamba Rais wa Zanzibar ahusishwe tu katika masuala ya kikatiba ambayo ni ya Muungano tu. Nje ya masuala hayo, Rais wa Zanzibar hana sababu yoyote ya kuhusishwa na mchakato wa kikatiba unaohusu mambo ya Tanzania Bara."

Aidha, wajumbe wa Tume ya Mapitio ya Katiba ambao watatoka Zanzibar wahusike tu katika mchakato wa masuala ya kikatiba ambayo ni ya Muungano tu. Vile vile, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inapendekeza wananchi wa Zanzibar washiriki katika kura ya maoni inayohusu mfumo mpya wa Muungano tu. Hii ndio kusema kwamba, kama vile ambavyo viongozi, wawakilishi na wananchi wa Tanzania Bara hawajashirikishwa katika mchakato wa kikatiba wa Zanzibar kwa sababu ulihusu mambo yasiyokuwa ya Muungano, vivyo hivyo viongozi, wawakilishi na wananchi wa Zanzibar wasishiriki katika mchakato wa kikatiba wa mambo yasiyokuwa ya kikatiba kwa upande wa Tanzania Bara.``



Mkuu Barubaru,

mimi hapa ndipo nashindwa kuwaelewa wazanzibar, solution ya kutoutaka muungano ni kuwaambia wabunge wenu wote tena wengi wa cuf wasusie bunge, yaani wajitoe kwenye bunge la jamhuri ya muungano, mawaziri wote na makamu wa rais wafunge vilango warudi kwao zanzibar hiyo ndio njia pekee ya vitendo ya kuvunja muungano na si kukaa kubwabwaja majukwani kama akina maalim seif na jusaa
 
Lipumba and Mtatiro are hired guns. They are handsomely paid for their mercenary Job.
 
Unataka wasemeje? Walishasema serikali TATU, wewe unataka nini zaidi?

Nani anayedai serikali tatu anayetokea tanganyika zaidi ya chadema ambao wameshindwa pia kulisimamia suala hili kama akina jussa wanavyosimamia suala hili?
 
Zanzibar na iachwe iende zake.
Hivi Watanganyika mnajua wajumbe wa baraza la mapinduzi ni akina nani na kazi zao ni zipi?maana mie nasikia mwenyekiti wa baraza la mapinduzi ZANZIBAR ambaye pia ndiyo rais wa zanzibar.Je wajumbe wa baraza hili wanachaguliwaje?Kama hamjui hakuna sababu ya kupatana na wazanzibar maana hawatutaki watanganyika.
 
Hivi Watanganyika mnajua wajumbe wa baraza la mapinduzi ni akina nani na kazi zao ni zipi?maana mie nasikia mwenyekiti wa baraza la mapinduzi ZANZIBAR ambaye pia ndiyo rais wa zanzibar.Je wajumbe wa baraza hili wanachaguliwaje?Kama hamjui hakuna sababu ya kupatana na wazanzibar maana hawatutaki watanganyika.


Kuna mhesmiwa mmoja hivi hataki historia iandikwe mikononi mwake. Sijui kwa nini ni nanii?/. Zanzibar Go, ila msituvuruge maana mtaanza chokochoko zenu hamkai bila ugomvi.
 
Kwa nini Tanganyika hataki kumpa mtu talaka yake?. Natamani apewe tatu za mpigo.
 
huyu mwenawazimu mbona kaachiwa sana?au ndio mtandao wa dini umeshikilia zoezi?
 
Haya yote yanafanywa na huyu mtoto wa Hassan Diria yaani Amani Abeid Karume
Kwenye facebook wall yake ametupia kitu hiki:
"Wakati tunaelekea India wiki iliyopita tukiwa Uwanja wa Ndege wa Dubai wakati tunabadilisha ndege, tulikutana na mmoja wa Makamishna wa Tume ya Katiba kutoka upande wa Tanganyika ambaye ni msomi wa hali ya juu.

Katika majibu ya kustaajabisha wakati nilipomuuliza vipi hali ya utoaji maoni inaendelea, alitujibu kuwa inaendelea vizuri na pamoja na kwamba upande mmoja (nna hakika alikusudia Zanzibar) unatoa madai makubwa, yeye haimpi tabu kwa sababu anajua wanaofanya hivyo wanajipa nafasi kubwa ya kuja kupatana (alitumia neno la Kiingereza 'bargaining') ili kupata muafaka wa kati na kati.

Bahati mbaya mawazo kama haya ya Kamishna huyu ndiyo mawazo mgando ya watunga sera na sheria wengi wa Tanganyika wanaojiona kama ni watawala au wamiliki wa Zanzibar na hivyo kujipa matumaini kuwa Zanzibar tunaposema tunataka kurejesha mamlaka yetu kamili kitaifa na kimataifa tukiwa na kitu chetu Umoja wa Mataifa huwa tunatafuta 'kupatana' au kwamba hatuna uwezo huo mpaka Tanganyika waridhie.

Wanapaswa wajue sasa kabla hawajachelewa kwamba mamlaka kamili ya Zanzibar (Sovereign Zanzibar) siyo ombi ni matakwa ya Wazanzibari na tutayasimamia kwa nguvu na uwezo wetu wote. Na katika kulifikia lengo hilo hakuna wa kutuzuia isipokuwa Mwenyezi Mungu. Pamoja Daima!"


My take
Naanza kuona kwamba Tanganyika inafaidika na huu muungano kuliko zanzibar.Kama isingekuwa inafaidika,basi wangejitokeza hadharani wanaharakati (kutoka Tanganyika wanaotambuliwa na serikali) kufanya harakati kama hizo za akina Jussa na Maalim Seif kuhusu Tanganyika huru.

Hivi akina Lipumba na Mtatiro huwa wanasemaje kuhusu hili au ni MABUBU mbele ya akina Jussa na Maalim?
 
Watanganyika wanafiki, hawako wazi juu ya Muungano. Mimi binafsi faida za muungano huu ni chache kuliko kero/mabaya ya muungano wenyewe. Hautufai, tuwe na serekali tatu, Tanganyika, Jamhuri ya watu wa Zanzibar na Serekali ya shirikisho la Tanganyika na Jamhuri ya watu Wa Zanzibar. Full stop.


Serekali Tatu Mkuu ni non sence
Hapa ni serikali moja nchi moja ndugu moja hawataki wachape mwendo wavivu halafu wa kwanza kulalamika Kama Huyu sharubu Sijui sharif anapokea mshahara uku anaropoka kudai uhuru huu ni upuuzi ila simshangai maana Hata viongozi wa dini wanasema hawana dhambi wakati hapo hapo wanaogopa kufa :)
 
Mkuu Barubaru,

mimi hapa ndipo nashindwa kuwaelewa wazanzibar, solution ya kutoutaka muungano ni kuwaambia wabunge wenu wote tena wengi wa cuf wasusie bunge, yaani wajitoe kwenye bunge la jamhuri ya muungano, mawaziri wote na makamu wa rais wafunge vilango warudi kwao zanzibar hiyo ndio njia pekee ya vitendo ya kuvunja muungano na si kukaa kubwabwaja majukwani kama akina maalim seif na jusaa

Hii ni dalili Tosha kabisa kuwa Tanganyika hawajiamini kuwa wanaweza kujiongoza bila Znz.

Poleni sana.
 
faida za muungano.....
...loading....please wait....:hand:
ni pale trh 26 April inapoangukia Jumatatu au Ijumaa :sleep: kwa raha zangu

ndiyo ukweli wangu jamani!
 
Back
Top Bottom